Wabunge Wetu, Macho ya Watanzania Wote Leo ni Kwenu!. Maslahi ya Taifa Mbele!. Tuwaogope Kama Ukoma Muflis Hawa!, Kama Huwezi, ni Lazima Usaidiwe Tuu!

Wabunge Wetu, Macho ya Watanzania Wote Leo ni Kwenu!. Maslahi ya Taifa Mbele!. Tuwaogope Kama Ukoma Muflis Hawa!, Kama Huwezi, ni Lazima Usaidiwe Tuu!

Moja na vitu muhimu kabisa kwenye nchi yetu ni Bandari, kwa hiyo Wabunge wa CCM mkithubutu kuiuza bandari yetu kwa waarabu aisee hapatatosha, pelekeni ujumbe huu kwa Mwenyekiti na Katibu wenu mkuu wa chama mapemaa kwamba kinakwenda kunuka.

Suala la kisingizio cha ufanisi ni la kitoto, yaani mnashindwa kuendesha bandari kweli? kweli ? sasa kama Bandari inawashinda je hii nchi mtaifikisha wapi?
Najiuliza sipati picha. Sababu ni ufanisi.
 
Najiuliza sipati picha. Sababu ni ufanisi.
Miaka mingi imepita hakuna ufanisi ngoja na wengine wajaribu lakini na tahadhari kubwa ziwepo !!

Mara nyingi kwenye mikataba mikubwa kama hii ndipo kwenye abracadabra nyingi !

Sijajua kama wenye kuisimamia mikataba ya aina hii kwa upande wetu huwa wanajiridhisha kwa kupitia kipengele kimoja kimoja mpaka mwisho !!

Maana kidhungu nacho huwa kina maneno maneno yanayochanganya sana akili !!
 
Ukweli upi? Yaani wote hatujui mnaojua ukweli ni nyie?
Ukweli ni kwamba, kinachoongelewa siyo mkataba wa kuendesha, kukodi au kuuaza bandari. Kinachoingelewa ni mkataba wa maridhiano ya ushirikiano wa kimaendeleo baina ya nchi mbili.

Umeelewa?
 
Ukweli ni kwamba, kinachoongelewa siyo mkataba wa kuendesha, kukodi au kuuaza bandari. Kinachoingelewa ni mkataba wa maridhiano ya ushirikiano wa kimaendeleo baina ya nchi mbili.

Umeelewa?
Wewe Sasa ndio Bogus number moja! Naonaga una akili kidogo kumbe hata hizo kidogo huna! Mkisharidhiana what next? Umeona kilichomo hicho unachosema wanataka kuridhiana? Acha ujinga Faiza
 
Back
Top Bottom