Wachaga tupe siri na sisi wengine

Kisaikolojia nimegundua unasumbuliwa na wivu na chuki
Hivi kukopa ni jambo la aibu? Kina bakhresa,mo não Wana mikopo ya hatari
Serikali yenyewe inadaiwa ma trillion acha USHAMBA kukopa sio ujinga,kwanza kukopa means una uwezo WA kurejesha
Lakini tofauti ni kwamba bakressa hakipo laki mbili
 
Nyota tu unaweza ambiwa abc za biashara na still ikakushinda
 
Je kwanini wapare nao wanaitwa wachagga! wapare kwasababu sio waongeaji watu wengi wanafikiri ni wa chagga. Hata Nandy na Lulu watu wanawaita wachagga wakati wote ni wa pare.
Wanafanana sana ni kama wazaramo na wandengereko au wakwere
Alafu mpare ata aseme yeye ni mpare watu hawamuelewi
 
1.Tafuta orodha ya walifutwa kazi kwa sbb ya vyeti feki
2.Ushirikiana upo, na ndio maana kuna mataaira ya kutosha huko kwenu
3.Kabila la wenye mali nyingi nchi hii ni wahindi
Kama mambo ni marahisi hivyo na makabila mengine waloge na wao wawe matajiri

Jiulize kwanin wafipa wa sumbawanga ni wachawi sana ila sio matajiri mambo sio marahisi kama unavyofikiri
 
Watanzania mnachekesha kweli kweli. Yaani wewe unataka ukae kwenye kiti cha sofa nyumbani halafu uletelewe mbinu zote za kusaka fedha? Kama kwa mfano unataka kujua mbinu za kuendesha restaurant basi ni kiasi cha kutafuta kazi restaurant na kufanya huku ukijifunza. Kwa taarifa kufanya biashara ni kipaji + uvumilivu na ubunifu wa mtu. Tatizo siyo kujua mbinu za kufanya biashara bali kuzi-apply zile mbinu.
 
Apa jf wenye zaidi ya mil 100 kwenye account awafiki 10
 
Wewe chuki zako kwa wachaga zinazidi kukufanya uendelee kuwa fukara. Utatumia muda mwingi kuomba waanguke lakini kama ujuavyo dua la kuku.... Kipindi cha Magufuli kuna watu walikuwa wanajitapa kuwa wachaga wanakomeshwa... kiko wapi? Tatuta na wewe upate acha kuishi kwa kijiba cha roho....
 
Umechelewa kuwazuia! Wameshaenea kila sehemu. Kama ni wizi na utapeli kwa nini na wewe usifanye? Ohooo.. nimesahu. Kumbe wewe ni mtume na mambo hayo ni mwiko kwako kufanya.
 
Chuki zip jamani tukisema mnasema ni chuki?

Eti Magufuli awachukie nn wakati wakina Manji wasemeje ? huwaga sipendi kubishana na washamba hamna hoja eti mnachukiwa kwa lip na hayo mafaniko ni yapi ?

Hata waarabu sina shobo nao kama hujui na ndo matajiri nyie wachuuzi kelele kibao😂😂
 
Umechelewa kuwazuia! Wameshaenea kila sehemu. Kama ni wizi na utapeli kwa nini na wewe usifanye? Ohooo.. nimesahu. Kumbe wewe ni mtume na mambo hayo ni mwiko kwako kufanya.
jamani Mo na Bakhresa hata mtoto anajua ndo matajiri hao wengine siwafahamu😂😂
 
Utaenelea kulala kwenye vibanda hasara mapaka na wajukuu zako. Fanya kazi acha kuombea wengine mabaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…