much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Lakini tofauti ni kwamba bakressa hakipo laki mbiliKisaikolojia nimegundua unasumbuliwa na wivu na chuki
Hivi kukopa ni jambo la aibu? Kina bakhresa,mo não Wana mikopo ya hatari
Serikali yenyewe inadaiwa ma trillion acha USHAMBA kukopa sio ujinga,kwanza kukopa means una uwezo WA kurejesha