Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Huwa nakereka sana hawa jamaa wanaochambua soka la bongo wanavyopambana kufa na kupona kuongea kiingereza. Hivi hawawezi kuchambua mpira bila kuingiza hivyo viingereza vyao vya ugoko?
Badala ya kusema "Value" kwa nini wasiseme thamani?
Badala ya kusema "Flanks" kwa nini wasiseme eneo la kulia au kushoto?
Badala ya kusema "assists" kwa nini wasiseme amesaidia wengine kufunga?
Na vingereza vingine vingiiiiiiiii!!
Badala ya kusema "Value" kwa nini wasiseme thamani?
Badala ya kusema "Flanks" kwa nini wasiseme eneo la kulia au kushoto?
Badala ya kusema "assists" kwa nini wasiseme amesaidia wengine kufunga?
Na vingereza vingine vingiiiiiiiii!!