Merikiori vicent lukanga
Member
- Sep 11, 2024
- 9
- 10
Ni makosa makubwa kukiunganisha chama cha siasa na ukristo kwa hiyo unataka kutuambia CCm inaungwa mkono na waislam? Kitu ambacho si kweli hebu toeni sera zinazokubalika na wananchi na watu wakilizika na sera zenu mtachaguliwa tu, maana ndani ya chadema kuna wakristo na waislam na wasio na dini hivyo hivyo ndani CCm kuna wakristo na waislam na wasio na dini hivyo si vyema kuanza kuunganisha ukristo na chadema
Ma
Ma