Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ulinitolea nje, miss natafuta naye ndio hanioni wala kunisikia...nimeacha kutafuta kabisa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wewe umetumia wangapi humu? Au umejipatia kabisa jiko?
huyo shemeji anafaa?asante mamy
hapana me hanifaihuyo shemeji anafaa?
ngoja na mi nilianzishe hahah ahahaDuh...kudadek Kaboom kumbe ulikuwa unatafuna manzi angu.....
basi sawa ngoja nipitie ofisini leo mchana kwa lunch babymiss chagga wewe ndio mbebs wangu wa ukweli....hadi kesho
Nimejifunza mengi leo shosti!!!kaa hapa ujifunze we kimbia kimbia sahuri yako
basi sawa ngoja nipitie ofisini leo mchana kwa lunch baby
kabisa mdogo wanguNimejifunza mengi leo shosti!!!
Yaani kabla ya kumkubalia mtu PM Ntamuanzishia thread kabisa na jina lake... Ili kama kuna wenzangu wanishambulie mapema kabla sijakosea njia aisee!
thanks baby yake mieCome over baby.....its gonna be a great lunch baby darling...super rocker
Nimejifunza mengi leo shosti!!!
Yaani kabla ya kumkubalia mtu PM Ntamuanzishia thread kabisa na jina lake... Ili kama kuna wenzangu wanishambulie mapema kabla sijakosea njia aisee!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...umenifurahishaNimejifunza mengi leo shosti!!!
Yaani kabla ya kumkubalia mtu PM Ntamuanzishia thread kabisa na jina lake... Ili kama kuna wenzangu wanishambulie mapema kabla sijakosea njia aisee!
Usikate tama bana!!!Si ulinitolea nje, miss natafuta naye ndio hanioni wala kunisikia...nimeacha kutafuta kabisa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bebi uzi ndo umefika huku..Mbona balaa..
miss chagga wewe ndio mbebs wangu wa ukweli....hadi kesho
Shoga angu!? Ama kweli ushoga kazibasi sawa ngoja nipitie ofisini leo mchana kwa lunch baby