rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,032
- 18,540
Punguza Jazba Boss..Uzuri Rubii anajielewa..Anajua kupangilia vizuri ratiba zake..Wasiwasi wa nn?
Kiss Kiss Love!
You're the only one unayenielewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza Jazba Boss..Uzuri Rubii anajielewa..Anajua kupangilia vizuri ratiba zake..Wasiwasi wa nn?
Teh teh..Pamoja loveKiss Kiss Love!
You're the only one unayenielewa
SitakiiiiiiiUsikate tama bana!!!
Papi ushapata mtu humu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
usiku anarudi kwako mamy wala sina madhara, uzuri me sitafuti ndoa
Bebi uzi ndo umefika huku..Mbona balaa..
Bado kabiisaa! Wote wazinguaji tu!Papi ushapata mtu humu?
Hahahahaha poleeemimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu
MweeeeehNDIO!
Nilimpata wakati niko na majonzi ya Usaliti kutoka kwa jamaa mmoja humuhumu jukwaani
Hata sasa mwaka umepita
Yeye ni rafiki kwangu
Mpenzi
SexPartner
Mwalimu
Kiongozi
Mshauri
Amenizidi sana umri lakini...(KidondaTamuNziNdioHufia)Nampenda Sana thou sijui yeye kama anafeel the same
Mungu akiruhusu nitamfanya Baba wa mtoto wangu wa kwanza
mimi nikisema nimekosa naonekana muongo .kumbe hisia zangu zipo kweli huku ni vimeoBado kabiisaa! Wote wazinguaji tu!
Mimi nna experience ya online dating... Ni ngumu mwanaume kunishawishi humu
[emoji13] [emoji13] [emoji13] wazee ndo wazur hawana mambo mengi kam vijanaKwa kuwapenda wazee hujambo!
Bebi mi naamini hata tukizinguana hautakuja kunivua nguo hadharani..Watu wazima wanakuwa kama watoto wa sec banaAaaah Bebe abiria chunga mzigo wako!
Vile Nakupenda..tafadhali sana usijeniacha nikapata fedheha humu jukwaani
ahahaaa huyo ndo mumeo? tufungue mafile yake hapaAaaah Bebe abiria chunga mzigo wako!
Vile Nakupenda..tafadhali sana usijeniacha nikapata fedheha humu jukwaani
ahaaaaaa poleMimi bado natafuta, nikijaribu Ku - pm watoto naambulia matusi
Nitafutie na mimimimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu
poa wweka cv pmNitafutie na mimi
Wengine wanapata bahati. Gingers rubiiiiNDIO!
Nilimpata wakati niko na majonzi ya Usaliti kutoka kwa jamaa mmoja humuhumu jukwaani
Hata sasa mwaka umepita
Yeye ni rafiki kwangu
Mpenzi
SexPartner
Mwalimu
Kiongozi
Mshauri
Amenizidi sana umri lakini...(KidondaTamuNziNdioHufia)Nampenda Sana thou sijui yeye kama anafeel the same
Mungu akiruhusu nitamfanya Baba wa mtoto wangu wa kwanza
Haya bana..Ngoja na we siku nikukute unatunishiana misuri na mwanamke mwenzako humu kisa Men..Bado kabiisaa! Wote wazinguaji tu!
Mimi nna experience ya online dating... Ni ngumu mwanaume kunishawishi humu