binafs mim yaan nikikopa tabu nitapat mim ninayedaiwa siwez deni kabis sijui kwa nin na kukopa siweziSawa lakini tunatofautiana ujue kuna mtu akiwa na deni yaani ile aibu hata njia anaweza badilisha na sio kwamba anapenda bali ni ile hali ya kukosa anahisi kama ndio utazidi kukwazika.
Na kuondoa hiyo sintofahamu inategemea na aina ya mtu kuna wengine wanajua kudai balaa aisee unaweza shangaa kule kupiga tu umeoga matusi ukajuta na kutamani bora ungekaa kimya na kusubiri upate ndio umgee.
Huyo dada alipe tu hela ya watukama sio wapez kulipa lazima ila kama ndo hivy ten basi ndo hivyo...
Asante mkuu ila sijapoa bado mpaka anipe pesa yangu kwa kweliPole sana
Hahahaaaa. Nimeyaona mdogo wangu.majibu umeyaona dada kasema harudi leo[emoji119] [emoji119]
Dawa ya jino kung'oaHuyo dada alipe tu hela ya watu
Kuna watu wana mioyo yao mdogo wangu. Acha kabisa yaani.binafs mim yaan nikikopa tabu nitapat mim ninayedaiwa siwez deni kabis sijui kwa nin na kukopa siwezi
Usijali sanaAsante mkuu ila sijapoa bado mpaka anipe pesa yangu kwa kweli
Ndio hivyo alipeDawa ya jino kung'oa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]Huyo dada alipe tu hela ya watu
ngoj nikafute paro dadaHahahaaaa. Nimeyaona mdogo wangu.
sitak kucheka cc ..... nitarud dadKuna watu wana mioyo yao mdogo wangu. Acha kabisa yaani.
Binafsi huwa nafanya Risk assessment kabla sijamkopesha mtu pesa... nikijiridhisha nampa. Naamimi mtu mpk anakueleza matatizo yake, obviously ameshikwa hasa... kukopa ni aina ya kujidhalilisha...!Ndio hivyo alipe
Ila kumkopesha mtu asilipe sawa eeh.Huwezi kuchukua pesa ya emergency ukaenda kula bata au kufanya shopping.
Hahahahaa. Lolsitak kucheka cc ..... nitarud dad
Ana shida, akishindwa kunilipa Mwenyezi Mungu atanilipia.Ila kumkopesha mtu asilipe sawa eeh.
Wengine hawana hata shida kubwa. Basi tu wanapenda kukopa.Ana shida, akishindwa kunilipa Mwenyezi Mungu atanilipia.