Labda kama ni mapenzi aise…vinginevyo ni ngumu .Naamini wapo watu wa hivyo, inategemea na jinsi jambo linavyomgusa na wengi wao sio wepesi kuachia/kusahau.
Mbona wiki nyingi hivyo? Si utakonda uwe kama baiskeli😁Labda kama ni mapenzi aise…vinginevyo ni ngumu .
Yap mapenzi nitalia imezidi sana wiki baada ya hapo nakudelete chap
Nafikiri kwakuwa ninapenda mtu mmoja..mpka tuachane ndipo nihamie sehemu.Mbona wiki nyingi hivyo? Si utakonda uwe kama baiskeli😁
Ukimaliza hayo mafunzo unataka umiliki kikundi, hongera sijui huyo mmoja amekufanyia nn hadi umuendee koziNafikiri kwakuwa ninapenda mtu mmoja..mpka tuachane ndipo nihamie sehemu.
Niko kwenye training ya namna ya kuwa mpenzi zaidi ya mmoja na wasijuane..
Nafikiri nimafunzo ya mwaka mmoja.🤓🤓
Mwanaume anashida moja..akiona unampenda sana anakutesa..sasa ili kubalance mambo unakuwa na mbadala siku akileta miyeyusho chap unahama unaenda ota sehemu nyingineUkimaliza hayo mafunzo unataka umiliki kikundi, hongera sijui huyo mmoja amekufanyia nn hadi umuendee kozi
Si mlikubaliana kuwa hapendwi mtu zinapendwa pesa au wewe hukuwa kwenye kikao 😆Mwanaume anashida moja..akiona unampenda sana anakutesa..sasa ili kubalance mambo unakuwa na mbadala siku akileta miyeyusho chap unahama unaenda ota sehemu nyingine
Kwenye hicho kikao sikuwepo HA.Si mlikubaliana kuwa hapendwi mtu zinapendwa pesa au wewe hukuwa kwenye kikao 😆
Kwahiyo unamkomoa? Hakikisha unafanya kile unachopenda, kama haukipendi utaishia kujiumiza bure
dahh! Tafadhali usiache kumsaidia huyo Mama.. muweke kwenye ratiba yako, ni sadaka kubwa mno! Kusaidia wajane na mayatima... unalipwa malipo makubwa sana! Utaona tu matunda yake hata kwa wanao.Tokea mdogo nilikuwa mama kulia kulia
Nikiangalia movie ya kusikitisha machoz yanatoka tu ,kuna siku nilienda sehemu moja hivi nikaonana na mama mmoja hivi ukimuona ana shida sana hajui hata atakula nin mpaka akafanye vibarua vya kulima lima akikosa ndio imetoka hivyo,nikiwa njiani nililia nikamuambia Mungu asante kwa kila kitu kuanzia leo sitalalamika chochote na unisamehe sana huwa nalalamika mim nna shida kuna watu wana shida
Yule mama nilimoa 10000 alishukuru utafikiri nimempa pesa nyingi na unamuona kabisa ,nikasema ningekuwa kiongozi nisingeacha watu wahangaike hivi wamama wajane
Huwa nikiwa na kitu namtumia anashukuru sana na hajawah niomba chochote kabisa
Nimekupenda bureHakuna jambo la hatari mno kama kukuta watoto wa kiume wanapiga soga za umbea-umbea na watoto wa kike, hasahasa kuhusu maisha yao binafsi ya mahusiano. Ubaya zaidi wanamtuma mtoto wa kike kuja kuwasemea. Noma sana yani....
Halafu ninyi matajiri wa Jamii-Forums huwa mnashida sana. Hapa jukwaani huwa hamuachi majigambo. Mara kuishi Marekani, Ulaya, mko ofisi kubwa ,mna elimu nzito, na mifuko yenu imetuna mapesa.
Sasa mabinti wakianza kuwafuata huko PM kuwatandika vizinga au mkashindwa kumalizana vizuri huko nje, huwa mnarudi hapa jukwaani kuchafuana na kuanikana. Kwanini mambo yenu ya faragha msiyamalizie huko huko nje au PM. Yaani kila kitu chako binafsi lazima uje ukianike humu ???
NB: Kama huu uzi una ukweli, basi watoto wa kiume wamefika pabaya mno. It smacks a bad taste...
Hutoona tatizo la mapenzi tenaaaa.Mwanaume anashida moja..akiona unampenda sana anakutesa..sasa ili kubalance mambo unakuwa na mbadala siku akileta miyeyusho chap unahama unaenda ota sehemu nyingine
Jamani babu naomba 50k[emoji4]Sahihi Mkuu, na sio kwamba nafasi ya kuwasaidia hatuna, No isipokuwa vile Vizinga vya mara kwa mara ndiyo kero.
Na suala hili kadri linavyoendelea ndiyo nguvu za Kiume zinazidi kupungua.
Manake Mwanaume anakuwa stressed muda wote na ukiangalia unakuta amezama hasa kwenye Huba
Ngoja mtoa mada aje alete 1st eleven ya sisi Dodoma Ombaomba FC[emoji23]JF OMBA OMBA FC tutajie kikosi
Kwamba Somo la mtoa mada halijakuingia Mjukuu 🤗🏃🏃Jamani babu naomba 50k[emoji4]
Mizinga hata wasiotoka na mtu wanapigwa tuSijajua sasa Mkuu. Uliotoka nao watatupa ushuhuda.
We..! We..! We.! Wewe Valentina umeanza lini mizinga lakini?Jamani babu naomba 50k[emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23] wa dodoma matumbo jotoNgoja mtoa mada aje alete 1st eleven ya sisi Dodoma Ombaomba FC[emoji23]
Tunasubiri mkeka[emoji23][emoji23][emoji23] wa dodoma matumbo joto
Sawa.Mizinga hata wasiotoka na mtu wanapigwa tu