Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Mbona wiki nyingi hivyo? Si utakonda uwe kama baiskeli😁
Nafikiri kwakuwa ninapenda mtu mmoja..mpka tuachane ndipo nihamie sehemu.

Niko kwenye training ya namna ya kuwa mpenzi zaidi ya mmoja na wasijuane..
Nafikiri nimafunzo ya mwaka mmoja.🤓🤓
 
Nafikiri kwakuwa ninapenda mtu mmoja..mpka tuachane ndipo nihamie sehemu.

Niko kwenye training ya namna ya kuwa mpenzi zaidi ya mmoja na wasijuane..
Nafikiri nimafunzo ya mwaka mmoja.🤓🤓
Ukimaliza hayo mafunzo unataka umiliki kikundi, hongera sijui huyo mmoja amekufanyia nn hadi umuendee kozi
 
Mwanaume anashida moja..akiona unampenda sana anakutesa..sasa ili kubalance mambo unakuwa na mbadala siku akileta miyeyusho chap unahama unaenda ota sehemu nyingine
Si mlikubaliana kuwa hapendwi mtu zinapendwa pesa au wewe hukuwa kwenye kikao 😆
Kwahiyo unamkomoa? Hakikisha unafanya kile unachopenda, kama haukipendi utaishia kujiumiza bure
 
Si mlikubaliana kuwa hapendwi mtu zinapendwa pesa au wewe hukuwa kwenye kikao 😆
Kwahiyo unamkomoa? Hakikisha unafanya kile unachopenda, kama haukipendi utaishia kujiumiza bure
Kwenye hicho kikao sikuwepo HA.

Hapana hakomolewi mtu hapo ni kuuridhisha moyo na kuuweka mbali na mazingira hatarishi😆
 
dahh! Tafadhali usiache kumsaidia huyo Mama.. muweke kwenye ratiba yako, ni sadaka kubwa mno! Kusaidia wajane na mayatima... unalipwa malipo makubwa sana! Utaona tu matunda yake hata kwa wanao.


Tafadhali usimuache huyo Mama
 
Nimekupenda bure
 
Mwanaume anashida moja..akiona unampenda sana anakutesa..sasa ili kubalance mambo unakuwa na mbadala siku akileta miyeyusho chap unahama unaenda ota sehemu nyingine
Hutoona tatizo la mapenzi tenaaaa.
Big up sanaa.
 
Jamani babu naomba 50k[emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…