Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

nilishawahi kuwa na pisi ya aina hiyo lakini cha ajabu haikurudi kijijini bado iko mjini inakomaa tafajsiri yake kuna madanga mengine yalikuwa nyuma yangu
Yaani wote mtaombwa pesa ya kuongeza kodi so kila mmoja atachangia kwa uwezo wake akiunganisha hapo anakuwa si na chini ya million na mbelee
 
Maskini..🥺🥺🥺keshapoteza muelekeo jamani.

Huwezi kumkomboa huko alipo ndugu yangu?🥺🥺🥺
Nilimuonea huruma sana, sina namba yake. Nadhani hata nikiipata, inatakiwa kwanza apelekwe rehabilitation house.

Maana kwa ulevi ule anaweza kufanya nini?
 
Kwani mjomba huyo si ni mimi jamani..mbona umenisahau mapema hivyo…
Jamani, wewe nakukumbuka vyema, huna umbo la hippopotamus, umbo lako ni la
1673441712139.png
 
Kuna siku nilikutana nae kwenye msiba wa mke wa rafiki yangu, walisoma wote pia CBE. Alikuwa amejichubua hadi kawa mwekundu machoni.

Alikuwa kashika chupa ya K Vant mkononi, anaonekana she's living to the fullest. Yaani analewa kadiri atakavyo, na atakuwa anatumika sana.

Nilimsahau, nikasikia mtu ananiongelesha kwa sauti ninayoifahamu, ilinichukua sekunde kadhaa kuvuta picha yake ya zamani na hii ya sasa. Akani hug, akawa ananitambulisha kwa wenzie, aibu naona mimi. Huyu alikuwa mume wangu, kanitompa wee akaniacha eti kisa nimemwita mama yake mchawi.
Hebu fikiria maneno hayo anaongea kwa makelele mbele ya watu msibani
Hahahaj, bora ulimuacha, huyo ashakuwa shamba la bibi
 
Jamani nilikua sijauona uzi..mi nipo Idodomya...mbona kashfa kubwa hii hebu mtajeni na sio kuharibu taswira ya watu wa Dodoma wenye mapene yetu 😆 😆 😆
 
Jana wana JF kadhaa wenye club yetu fulani hivi amazing tulikuwa tumekutana The Wine Coutry kwa ajili ya kuukaribisha mwaka mpya wa 2023.

Wanawake tulikuwa wawili tu, mimi na bidada mwingine na wanaume idadi yao ilikuwa kumi na kitu.

Jamani miongoni mwa mambo ambayo wanaume wanayaona ni kero ni swala la kupiga mizinga.

Wanawake tena mmetajwa kwa majina ambao mnashinda inbox mki zingalaizi. Mara mama anaumwa, mara dada kagongwa na bodaboda, mara nitumie hela ya kusuka nywele mara sina ada ya watoto.

Jamani kwa kweli mnahoyafanya huko PM aibu nimeona mimi. Ukitongozwa ndio usiseme. Hata kama una kazi ya ajira, tena mwajiriwa wa serikali, unaomba kuanzia vocha hadi hela ya chupi.

Wewe uko Dodoma mwanaume yuko Dar hajawahi hata kukulala zaidi ya kuonana mara moja na tena ulikuwa kwenye siku zako.

Nimekutaja wewe dada wa Dodoma sababu umekuwa na tabia ya kuwatongoza wanaume na baadae unaanza kuwa kero kwao na mizinga unayowapiga.

Jamani nawakaribisha Lindi tulime ufuta mbona kilimo poa tu, unapata hela ya kukukimu na huadhiriki.

2023 tubadilikeni jamani
Yaani umeongea ukweli mtupu, natamani wadada wengi watasoma huu ujumbe wabadilike khaaaaaa
 
Back
Top Bottom