Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Yani wewe ni mbishi😄😄Makonzi ya mwenye Tv la chogo huwa hayaumi 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani wewe ni mbishi😄😄Makonzi ya mwenye Tv la chogo huwa hayaumi 😀
Impact of analog TvYani wewe ni mbishi😄😄
Yaani wote mtaombwa pesa ya kuongeza kodi so kila mmoja atachangia kwa uwezo wake akiunganisha hapo anakuwa si na chini ya million na mbeleenilishawahi kuwa na pisi ya aina hiyo lakini cha ajabu haikurudi kijijini bado iko mjini inakomaa tafajsiri yake kuna madanga mengine yalikuwa nyuma yangu
Nilimuonea huruma sana, sina namba yake. Nadhani hata nikiipata, inatakiwa kwanza apelekwe rehabilitation house.Maskini..🥺🥺🥺keshapoteza muelekeo jamani.
Huwezi kumkomboa huko alipo ndugu yangu?🥺🥺🥺
hahahahaKiweke wazi tukisikie 😜
Jamani, wewe nakukumbuka vyema, huna umbo la hippopotamus, umbo lako ni laKwani mjomba huyo si ni mimi jamani..mbona umenisahau mapema hivyo…
Yes Jaw...hata JF kuna raia jobless
sio kwako lakini🤩siwezi kuwa mgomvi mbele yamtoto mzuriKweli wee ni mgomvi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu nyoko sanaMuhuni kaomba jicho moja 🤣🤣🤣 baada ya kumzawadia macho matatu mrembo. Mkataba mgumu kmmmk "🤣🤣🤣🤣
Wamezidi😂 😂 😂 😂 Afu we Jemima Mrembo weweee..!! Eti komeni mara moja..!!
Kale kademu kanakonipiga mizinga kwenye uzi huu kamekata kamba, kama sio yeye anaupitia kwa mbalimbali tuWakati yeye hata ya jero hana
Hahahaj, bora ulimuacha, huyo ashakuwa shamba la bibiKuna siku nilikutana nae kwenye msiba wa mke wa rafiki yangu, walisoma wote pia CBE. Alikuwa amejichubua hadi kawa mwekundu machoni.
Alikuwa kashika chupa ya K Vant mkononi, anaonekana she's living to the fullest. Yaani analewa kadiri atakavyo, na atakuwa anatumika sana.
Nilimsahau, nikasikia mtu ananiongelesha kwa sauti ninayoifahamu, ilinichukua sekunde kadhaa kuvuta picha yake ya zamani na hii ya sasa. Akani hug, akawa ananitambulisha kwa wenzie, aibu naona mimi. Huyu alikuwa mume wangu, kanitompa wee akaniacha eti kisa nimemwita mama yake mchawi.
Hebu fikiria maneno hayo anaongea kwa makelele mbele ya watu msibani
Naona kabisa😄😄Impact of analog Tv
Mjomba ninaimani ukiamua kumpata utamtafuta Kwa kila namna na utampata.Nilimuonea huruma sana, sina namba yake. Nadhani hata nikiipata, inatakiwa kwanza apelekwe rehabilitation house.
Maana kwa ulevi ule anaweza kufanya nini?
Ayaaaaaaa….utakuwa umenifanananisha anko..sio mimi.Jamani, wewe nakukumbuka vyema, huna umbo la hippopotamus, umbo lako ni la View attachment 2477475
😁😁Naona kabisa😄😄
😂 umbo nambari 8Ayaaaaaaa….utakuwa umenifanananisha anko..sio mimi.
Mimi ndie huyo niliyejipost leo Kwa Half american
Yaani umeongea ukweli mtupu, natamani wadada wengi watasoma huu ujumbe wabadilike khaaaaaaJana wana JF kadhaa wenye club yetu fulani hivi amazing tulikuwa tumekutana The Wine Coutry kwa ajili ya kuukaribisha mwaka mpya wa 2023.
Wanawake tulikuwa wawili tu, mimi na bidada mwingine na wanaume idadi yao ilikuwa kumi na kitu.
Jamani miongoni mwa mambo ambayo wanaume wanayaona ni kero ni swala la kupiga mizinga.
Wanawake tena mmetajwa kwa majina ambao mnashinda inbox mki zingalaizi. Mara mama anaumwa, mara dada kagongwa na bodaboda, mara nitumie hela ya kusuka nywele mara sina ada ya watoto.
Jamani kwa kweli mnahoyafanya huko PM aibu nimeona mimi. Ukitongozwa ndio usiseme. Hata kama una kazi ya ajira, tena mwajiriwa wa serikali, unaomba kuanzia vocha hadi hela ya chupi.
Wewe uko Dodoma mwanaume yuko Dar hajawahi hata kukulala zaidi ya kuonana mara moja na tena ulikuwa kwenye siku zako.
Nimekutaja wewe dada wa Dodoma sababu umekuwa na tabia ya kuwatongoza wanaume na baadae unaanza kuwa kero kwao na mizinga unayowapiga.
Jamani nawakaribisha Lindi tulime ufuta mbona kilimo poa tu, unapata hela ya kukukimu na huadhiriki.
2023 tubadilikeni jamani