Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

🤩 I'm lucky.

Kwamba hiyo too emotional mmeumbiwa wanawake tu? 😂😂 anatamani aache hiyo uphaller lakin uphaller haitaki kumuachilia.
Yes you’re.😘

Mara nyingi ni Kwa wanawake.Kwa mwanaume kulia huko vipi kama kafiwa
😄😄.

Mwambie apambane uphaller umtoke kwa hedi 🤓
 
Screenshot_20230112-202100_WhatsApp.jpg
 
We umejuaje?! Au una makandokando pembeni yakianza kukupiga mzinga uyalee ndo unamkumbuka faza hausi alafu unaanza kuwaona makandokando wayeyushaji [emoji3][emoji3][emoji1][emoji1474]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti nn?
Mbna cjaelewaaa.
 
Back
Top Bottom