2000 sio ndogo bob kuna watu wanakaa siku mbili hawajaigusaNadhani hiyo 2,000 kwa kuwa ni ndogo tuseme 2,000 nayo ya kuomba mtu kwanini usiwe nayo tu mwenyewe.
Hivyo tumshangae aliyeiomba sio aliekataa kumpa kwasababu fedha ni yake na kutoa ni Moyo na sio lazima na Kuna wengi wanaohitaji msaada na wanadhiki yakweli kabisa kwanini ukawape wasiohitaji msaada ila wanaohitaji kuhongwa.
mi nakula pesa yangu bob siombi 😂😂😂Ndio nunua kwa Pesa yako nguvu hizo za Kula kuku ukimaliza unaenda kuzitumia wapi na nani?
Kumbe ndiyo michezo yako!😎Kwani baada ya huo mtoko, huwa mnaenda wapi?
Usiniambie unamuacha arudi kwao.
My dear sister Amehloimagine kakuku robo ka 2000 nako unamnyima mtu
now I got you….My dear sister Amehlo
Sijui kama umeelewa maana ya uzi wangu, kila mtu anapitia kipindi ambacho kuna muda huwa anakwama kipesa, na hio inaeleweka, na mtu mwenye shida genuine ya msosi anajulikana, nikigundua hivyo mimi huwa ni mkarimu sana kwenye swala la msosi na nakuwa sitegemei chochote in return.
Shida ni ile unakuta mdada mko wote kazini mnafanya kazi, anakuwa kama vile anaku "finesse/manipulate" yani indirectly anakujengea idea kichwani kuwa ukimnumulia msosi utampata kimapenzi, mfano mdada anaweza kuja kwangu na macho ya kurembua huku akinigusa gusa mkono akinambia balqior ninunulie breakfast basi, nkimwambia aninunulie yeye anajibu mwanamke hanaga hela, na hapo sijawahi mtongoza 😁, I wonder why wanafanya hivyo, whether they do it for fun or what.
Sometimes mdada ana hela za kujitoa out, ila anaenda bar akiwa hajabeba hela, maana anajua kuna wanaume watajitokeza wa kumnunulia bia za bure, hlf baadae anawakimbia hao wanaume, same goes to misosi, mwanamke anakubali mitoko ya wanaume wanaomtongoza ili a-save hela yake ya msosi (foodie calls) baada ya mtoko, wanaume wanakimbiwa, mbaya zaidi baada ya mtoko wanaenda jisifu na kukucheka kwa rafiki zao wa kike kuwa kuna boya amemnunulia msosi akidhani atapata sex.
It's a very sad & wicked world, na wanaume wengi sahivi tumeshtukia hii mbinu.
Baada ya mtoko wewe huwa unapelekwa wapi kwani?Kumbe ndiyo michezo yako!😎
Huwa naenda nyumbani kwa mama ephenBaada ya mtoko wewe huwa unapelekwa wapi kwani?
Oya fundi manyumba kibanda cha chumba self na sebule kinaweza gharimu tofali ngapiAlafu mkuu haya mambo wanafanyiwa underground..
Uwezi ukakuta mdada anamfanyia hayo mambo mtu matured kwenye mapenzi...
Huo utoto kabisa...
Japo kuna kenge mmoja yule alichukua flash yangu 32GB kwa 5k aiseeee
pamoja sanaKwenye situation kama hii, wewe upo Sahihi kumsaidia huyu mdada, situation ninayoongelea mimi ni tofauti kabisa Excel
Ah wee hawa ni mashetani sema mbususu zao tamu sana.My dear sister Amehlo
Sijui kama umeelewa maana ya uzi wangu, kila mtu anapitia kipindi ambacho kuna muda huwa anakwama kipesa, na hio inaeleweka, na mtu mwenye shida genuine ya msosi anajulikana, nikigundua hivyo mimi huwa ni mkarimu sana kwenye swala la msosi na nakuwa sitegemei chochote in return.
Shida ni ile unakuta mdada mko wote kazini mnafanya kazi, anakuwa kama vile anaku "finesse/manipulate" yani indirectly anakujengea idea kichwani kuwa ukimnumulia msosi utampata kimapenzi, mfano mdada anaweza kuja kwangu na macho ya kurembua huku akinigusa gusa mkono akinambia balqior ninunulie breakfast basi, nkimwambia aninunulie yeye anajibu mwanamke hanaga hela, na hapo sijawahi mtongoza 😁, I wonder why wanafanya hivyo, whether they do it for fun or what.
Sometimes mdada ana hela za kujitoa out, ila anaenda bar akiwa hajabeba hela, maana anajua kuna wanaume watajitokeza wa kumnunulia bia za bure, hlf baadae anawakimbia hao wanaume, same goes to misosi, mwanamke anakubali mitoko ya wanaume wanaomtongoza ili a-save hela yake ya msosi (foodie calls) baada ya mtoko, wanaume wanakimbiwa, mbaya zaidi baada ya mtoko wanaenda jisifu na kukucheka kwa rafiki zao wa kike kuwa kuna boya amemnunulia msosi akidhani atapata sex.
It's a very sad & wicked world, na wanaume wengi sahivi tumeshtukia hii mbinu.
Mada ya kijana aliyeanza Balehe juzijuzi. Hakuna uhalisia wa ulichokiandika, ni ndoto nyevu tu za balehe.Hello,
Utakuta uko na mdada kwenye environmental setting moja, mnaanza kuzoeana, mdada atakachofanya ni kuwa ata-flirt na wewe, ataweka idea of sex mbele yako, mwanaume ukijaa, mizinga inaanza, mara naomba vocha, dinner, etc, wengine siku hizi hawasubiri umtongoze, akikuona uko vizuri kimfuko, anakufata humo humo shimoni akupige kizinga.
Sometimes atajifanya amevutiwa na wewe kimapenzi (ilhali kiuhalisia hakutaki) ili tu ujae umhonge, au umnunulie msosi pale unapokua umemtoa out, yeah you read it right (msosi) it sounds crazy & unbelievable lakini ndo ilivyo, yani women never cease to amaze me.
Saa ingine mtu huna hata namba yake wala hujawahi mtongoza na hujamuonesha hata dalili kuwa unamtaka kimapenzi, anaanza mizinga😁, sometimes sio hela, anaweza akawa anakwambia kila siku umnunulie msosi flani, kwa hapa nashindwaga waelewa kwakweli.
Sahivi nishawajulia, nikiombwa favors k.v mizinga na misosi, ilhali mdada sina ukaribu nae sana, nawaambia wao waanze kwanza kuninunulia, halafu siku ingine mimi ntawanunulia (tangu niwe nawaomba hivyo, sikuwahi pewa hata pipi, wakati wao walitegemea niwape kuku mzima😁) au nawaambia wawaambie boyfriends wao wawanunilie.
Be wise,
Stay putinized.
Mkuu dinner tu unatoa povu iviHello,
Utakuta uko na mdada kwenye environmental setting moja, mnaanza kuzoeana, mdada atakachofanya ni kuwa ata-flirt na wewe, ataweka idea of sex mbele yako, mwanaume ukijaa, mizinga inaanza, mara naomba vocha, dinner, etc, wengine siku hizi hawasubiri umtongoze, akikuona uko vizuri kimfuko, anakufata humo humo shimoni akupige kizinga.
Sometimes atajifanya amevutiwa na wewe kimapenzi (ilhali kiuhalisia hakutaki) ili tu ujae umhonge, au umnunulie msosi pale unapokua umemtoa out, yeah you read it right (msosi) it sounds crazy & unbelievable lakini ndo ilivyo, yani women never cease to amaze me.
Saa ingine mtu huna hata namba yake wala hujawahi mtongoza na hujamuonesha hata dalili kuwa unamtaka kimapenzi, anaanza mizinga😁, sometimes sio hela, anaweza akawa anakwambia kila siku umnunulie msosi flani, kwa hapa nashindwaga waelewa kwakweli.
Sahivi nishawajulia, nikiombwa favors k.v mizinga na misosi, ilhali mdada sina ukaribu nae sana, nawaambia wao waanze kwanza kuninunulia, halafu siku ingine mimi ntawanunulia (tangu niwe nawaomba hivyo, sikuwahi pewa hata pipi, wakati wao walitegemea niwape kuku mzima😁) au nawaambia wawaambie boyfriends wao wawanunilie.
Be wise,
Stay putinized.
Kwanini asiliwe anapotaka mwenyewe?mi nakula pesa yangu bob siombi 😂😂😂
ila the slogan say usimle usiyemlisha😊
Soma vizuri shuka chini utaelewa vizuriMkuu dinner tu unatoa povu ivi
Tulia isome vizuri nyama zipo chiniMada ya kijana aliyeanza Balehe juzijuzi. Hakuna uhalisia wa ulichokiandika, ni ndoto nyevu tu za balehe.
Tupe history zaidiMkuu inategeme, mie kuna mmoja aliniambia tu kama utani nikamnunulia, aisee yaan akaona cha mchana hakitoshi akaja mpaka supu asubuhi, ilifika hatua yeye anakula unastukia wadeni kuja kuchukua hela.
Nilichofanya nikamtongoza kinguvu ingawaje nikaweka mazingira anipe ndogo(jicho) lengo lilikuwa na kumfukuza na nikafanikiwa
Hatareeee tupu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]