Wadada wengi sasa wamekuja na huu ujanja mpya, wanaume tuwe makini

2000 sio ndogo bob kuna watu wanakaa siku mbili hawajaigusa
 
imagine kakuku robo ka 2000 nako unamnyima mtu
My dear sister Amehlo

Sijui kama umeelewa maana ya uzi wangu, kila mtu anapitia kipindi ambacho kuna muda huwa anakwama kipesa, na hio inaeleweka, na mtu mwenye shida genuine ya msosi anajulikana, nikigundua hivyo mimi huwa ni mkarimu sana kwenye swala la msosi na nakuwa sitegemei chochote in return.

Shida ni ile unakuta mdada mko wote kazini mnafanya kazi, anakuwa kama vile anaku "finesse/manipulate" yani indirectly anakujengea idea kichwani kuwa ukimnumulia msosi utampata kimapenzi, mfano mdada anaweza kuja kwangu na macho ya kurembua huku akinigusa gusa mkono akinambia balqior ninunulie breakfast basi, nkimwambia aninunulie yeye anajibu mwanamke hanaga hela, na hapo sijawahi mtongoza 😁, I wonder why wanafanya hivyo, whether they do it for fun or what.

Sometimes mdada ana hela za kujitoa out, ila anaenda bar akiwa hajabeba hela, maana anajua kuna wanaume watajitokeza wa kumnunulia bia za bure, hlf baadae anawakimbia hao wanaume, same goes to misosi, mwanamke anakubali mitoko ya wanaume wanaomtongoza ili a-save hela yake ya msosi (foodie calls) baada ya mtoko, wanaume wanakimbiwa, mbaya zaidi baada ya mtoko wanaenda jisifu na kukucheka kwa rafiki zao wa kike kuwa kuna boya amemnunulia msosi akidhani atapata sex.

It's a very sad & wicked world, na wanaume wengi sahivi tumeshtukia hii mbinu.
 
now I got you….

usikubali hepa zako ziliwe kizembe mdogo wangu
 
Alafu mkuu haya mambo wanafanyiwa underground..

Uwezi ukakuta mdada anamfanyia hayo mambo mtu matured kwenye mapenzi...

Huo utoto kabisa...
Japo kuna kenge mmoja yule alichukua flash yangu 32GB kwa 5k aiseeee
Oya fundi manyumba kibanda cha chumba self na sebule kinaweza gharimu tofali ngapi
 
Ah wee hawa ni mashetani sema mbususu zao tamu sana.
Wee wakomeshe hivyo hivyo akirembua macho muombe umshike tako na titi
 
Mada ya kijana aliyeanza Balehe juzijuzi. Hakuna uhalisia wa ulichokiandika, ni ndoto nyevu tu za balehe.
 
Mkuu dinner tu unatoa povu ivi
 
Tupe history zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…