Wadogo zangu mnapotea, bila nidhamu ya pesa utaenda kukariri plate number za wenzako

Wadogo zangu mnapotea, bila nidhamu ya pesa utaenda kukariri plate number za wenzako

Ile asubuhi unaamka unaanza kwanza kuitafuta wallet, unapapasa suruali unaikuta iko mfuko wa nyuma.

Issue inakuja kwenye kuifungua. Aisee...unachokumbuka ni kwamba jana yake ulipita kwa wakala ukatoa laki 2, labda elfu hamsini ukamtumia mdogo wako ambaye yuko Chuo.

Swali ni je, kwenye ile laki na nusu iliyosalia, ulitumia sh ngapi na bakaa ni sh ngapi?

Ukikuta imebaki 7,500/= lazima upate wenge urudi kulala [emoji23], ukikuta imebaki walau 70,000/= lazima ujisogeze tena kwenye ki-pub cha jirani ukazimue kwa furaha [emoji23]

Maisha haya...
Huu uzi burudan kweli, nasoma story nacheka sana aisee
 
Huyo anazungumza hivyo mawili, either akikaa mwenyewe nafsi inamuuma na kujiona mjinga ama hata hiyo pesa yenyewe hajaishika na kuifanyia ujinga huo anachangamsha genge tu 😂😂.

All in all hapangiwi mtu maisha fainali ni uzeeni.
Kabisa

Deepdown huwa inauma sana
 
Hii inaambatana na kufukuzia kale ka heshima ka kuwa 'wewe ndo mkuu wa meza, jemedari mwenyewe AKA Suleimani wao'

Ikukute unapenda sifa af kuna rafiki yako mmoja anajua kutoa sifa zile za kichawa chawa, mzee utarudi home pocket ina vumbi tu na ile harufu ya ten ten
Bingwaa kabisa usipokuwepo mezani wana hawana amani utapigiwa simu zote 😂😂
 
Ile asubuhi unaamka unaanza kwanza kuitafuta wallet, unapapasa suruali unaikuta iko mfuko wa nyuma.

Issue inakuja kwenye kuifungua. Aisee...unachokumbuka ni kwamba jana yake ulipita kwa wakala ukatoa laki 2, labda elfu hamsini ukamtumia mdogo wako ambaye yuko Chuo.

Swali ni je, kwenye ile laki na nusu iliyosalia, ulitumia sh ngapi na bakaa ni sh ngapi?

Ukikuta imebaki 7,500/= lazima upate wenge urudi kulala [emoji23], ukikuta imebaki walau 70,000/= lazima ujisogeze tena kwenye ki-pub cha jirani ukazimue kwa furaha [emoji23]

Maisha haya...
😂😂 inawezekana vipi hizi scenarios zinafanana hivi hivi???
Kuna mda ukijisachi na kugundua umebakisha 4500 unarudi kulala na hutaki kuamka tena 😂😂😂
 
😂😂 inawezekana vipi hizi scenarios zinafanana hivi hivi???
Kuna mda ukijisachi na kugundua umebakisha 4500 unarudi kulala na hutaki kuamka tena 😂😂😂
Yaan ndo kinachofanya huu uzi uwe interesting sana, story zote ni mulemule, mizunguko tofauti ila conclusion ni moja.

Hivi ushawahi kumka ukaanza kujisachi kila kona angalau ufikishe 3000 ukanywe supu na jana yake umetumia kama laki?
 
[emoji23][emoji23] inawezekana vipi hizi scenarios zinafanana hivi hivi???
Kuna mda ukijisachi na kugundua umebakisha 4500 unarudi kulala na hutaki kuamka tena [emoji23][emoji23][emoji23]
Tena usingizi wake unakuwa ule wa stress plus njozi mbayambaya tu[emoji1787][emoji1787]

Pengine na simu ukazima kabisa [emoji23].

Halafu unaanza kujiahidi kinafiki kwamba siku hiyo ndio ya mwisho kutumia pesa vibaya [emoji23][emoji23]
 
Yaan ndo kinachofanya huu uzi uwe interesting sana, story zote ni mulemule, mizunguko tofauti ila conclusion ni moja.

Hivi ushawahi kumka ukaanza kujisachi kila kona angalau ufikishe 3000 ukanywe supu na jana yake umetumia kama laki?
[emoji23][emoji23] dah...haya mambo magumu sana.
 
Tena usingizi wake unakuwa ule wa stress plus njozi mbayambaya tu[emoji1787][emoji1787]

Pengine na simu ukazima kabisa [emoji23].

Halafu unaanza kujiahidi kinafiki kwamba siku hiyo ndio ya mwisho kutumia pesa vibaya [emoji23][emoji23]
You See! Same same things used to happen to me 😂😂😂
 
Yaan ndo kinachofanya huu uzi uwe interesting sana, story zote ni mulemule, mizunguko tofauti ila conclusion ni moja.

Hivi ushawahi kumka ukaanza kujisachi kila kona angalau ufikishe 3000 ukanywe supu na jana yake umetumia kama laki?
Unakutana na 1800, alafu unacheki luku imeisha na ni mwanzoni wa mwezi 😂
 
Ofcourse naelewa kwamba hakuna kupangiana matumizi, ila nisiposema hili nitakua sijatimiza wajibu wangu kama "kaka"(kwa baadhi ya wadogo zangu).

Wadogo zangu, ukiwa bado hustler, kupiga dili ya laki 2 na ukaji-shukuru kwa kutumia laki moja na nusu ni upuuzi grade A.

Usituone sisi tunalewa, tunaagiza vinywaji vinaletwa na wadada wameshika mabango yenye majina yetu ukadhan nn sijui na wewe ukatamani kuiga, hio sio sawa kama bado huna 'financial freedom'.

Kuna dogo mmoja namfahamu, nilimconnect akapiga dili nikampa laki tano, namjua bado ni hustler ila namkubali kwa sababu dogo anajua kazi na ana bidii ya kazi, sasa masikin ya Mungu weekend ilikua kesho yake nakuta yupo chimbo langu anakunywa hovyo na videm viwili, wanapiga piga picha tu, mimi nikapotezea sabab huwa sina mambo ya kuwapangia watu matumizi.

Kinachofanya niandike huu uzi ni kwamba jana (baada ya wiki 2) dogo nilimuita tena aje tupige dili jingine, dogo akawa analalamika anaumwa, nikaenda geto kwake kumcheki, kweli dogo yupo hoi, kumuuliza kama kaenda hospitali anasema eti hana hela, nikamwambie "wewe wiki 2 zilizopita si umepata hela ambayo mwalimu anatumia mwezi mzima kuipata" , dogo visingizio vikawa vingi, nikamkumbusha nilimuona bar, dogo ikabidi awe mpole akasema "nazisaka kwa tabu ndo maana lazima niburudike" Nikamwambia ukiendelea hivo utaenjoy burudan ya masaa machache kisha itakurudisha kwenye shida.

JIKAZE, JINYIME KWA MUDA ILE UJE UWE HURU KIUCHUMI MOJA KWA MOJA.

Out of topic, Mtoto mkali mmoja wa JF aliepo karibu na mikocheni anaependa bata anicheki, nipo mitaa hii weekend nzima

#Weekending
'Kaka' acheni wadogo zako wale bata hawana majukumu; wakiwa na majukumu wataanza kusave. Kwanini wajitese wakati huu ilhai bado wana nafasi ya kula bata? Bata inanoga ujanani; uzeeni unakuwa ni mtu wa kliniki ya presha, macho figo, filigisi, nk.....hutakuwa na nafasi ya kula bata.
 
ila pombe jamani[emoji119][emoji119][emoji119],

Nashukuru Mungu sina hulka ya mademu hata nilewajeee, ukiona nimekaa na demu ujue nimepanga na sitalewa

nazani ndomana nikitumia sana ela ni elf 40 hata niwe na laki na nusu....,

ila vijana wenzangu tujitahidi kula bata kwa pesa za pembeni au za Dili ila si hizi mishahara au Biashara....Najua kuacha ni changamoto
 
Back
Top Bottom