Nidhamu ya pesa ni mtihani mzito shekh!
Imagine umehangaika zako mara umepiga “mshindo” wako alafu ukiangalia ndio weekend imeingia kila mahali ukipita unamsikia mariooo
“Shiiiiiiii badiiiii”
“nilikuwa na wanangu kina chinooo”
“niseme nsisemee, semaaaa” X 2
Ukizidi kusogea unamsikia jux nae ,
“huyuuu demu ake naniiii, anpandisha midadiii, anitafutia lawama,……….”
Ukisema uzame ndaniii tu kwisha habari yako, unakuta watoto wamepanda juu ya meza wanacheza na wamependeza balaaa!
Unaendaje kulala mkuu, au tukuulize,
we kuwezaaa???
Nyie achenii banaa starehe ni tamuuu [emoji23][emoji23]
Tukiamka asubuhi ndio majuto huanza.