Chance ndoto
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 4,363
- 10,265
mkuu naomba unipm au nicheck whatsapp 0769621149 natanguliza shukranHahahah nitakupa mtu akusindikize maana kwa nature ya job yangu sitoki nje weekdays na weekdays shop nyingi ndo zinakua wazi jmos nusu siku possibilty ya kufanikiwa inakua kidogo na jumapili ndo kabsaa.
Mtaa wa Narung'ombe mkuuHivi naweza pata wapi vifaa vya umeme,nafanya "wiring" nyumba.
Unayajua machimbo ya nguo za watoto kwa bei ya jumla hapo kariakoo?Viatu vya kike bos simple na vya wazi, bei ni kuanzia 3500 kwa viatu vya waz na 5000 kwa simple.
Habari ni aina gani ya bidhaaa?Mi kuna machinga nilikuwa nachukua mzigo kwake,hivyo nampa pesa ye anazunguka kwenda kuchukua mzigo.Ukimuuliza asemi, siku nilienda na vijana wangu watatu ambapo yeye hakuwaona. Hivyo nilivyomkabidhi pesa akaondoka, vijana wangu wakamfuatilia mpaka wakajua maduka yote aliyoingia. Tangia siku hiyo hajaniona na majamaa wa madukani washanizoea hata bila pesa wananipa mzigo au wanatuma mkoani.
Samahani charty,unaweza nitajia mitaa ninayoweza kupata nguo za watoto bei ya jumlaMzimbazi naona wanakuaga na punguzo kutokana na idadi unazochukua.
Akikujibu mkuu nitag!Namba simu