Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Mtaa wa Muhonda ndo kuna kila aina za nguo za ndani kama sox..tight..boxer za watoto..wanawake bila kusahau wanaume!
Asante kwa msaada, hata tuliokuwa na mawazo ya kuanza biashara tushapata mwanga kiasi flan
 
Madera mazuri wapi nitapata kwa bei ya jumla tafadhali .
IMG_20171009_191823_157.jpg
_20171002_164823.JPG
_20171002_164949.JPG
_20171002_164949.JPG
_20171002_165254.JPG
IMG_20170929_214716.jpg
_20171002_165254.JPG
_20171002_164949.JPG
_20171002_164823.JPG
 
Chimbo la manga na tshirt napotokeaga mm.. ni opposite na mlango wa kuingia shimon ukiwa ple ukiuliza kwa waburushi wa plain tshirt wap watakuonesha tu.. cz wako kwa ndan ndan iv sio nje tu.. so sio rahisi kukuelekeza sana lkn fanya ivo
Shukran mkuu.
 
Wadau nahitaji kujua maduka ya nguo za kike na viatu vya kike yanayouza jumla kwa bei poa yapo mitaa gani hapo Dar,mi nipo mikoani
 
Asanteh sana wakuu nimefanikiwa kupata baadhi ya bidhaa ambazo nimepata muongozo hapa mbarikiwe sana aisee.

Ila bado natafuta mtu ambae anauza hizi bidhaa kwa bei ya jumla, au anaepajua. Ahsanteh

IMG_20180420_075755.jpg
 
Naomba kufahamu robota la Koti na suruali grade A kutoka Korea ni sh ngapi? Tuwasiliane 0754710823
 
Ngoja nikupe machimbo eh best kizuri kula na mwenzio...Vitenge mara nyingi machimbo yake yapo NIDA kule mnazi mmoja wengi wanaouza k.koo wanaenda kufata huko, Viatu navyo vinapatikana huu mtaa wa Narung'ombe na congo pale nenda straight kwenye maduka ya wachina yaani sio wale machinga wanaomwaga chini nop unazama dukani utakuta zile simple wanauza 4000/pc na vile visandles wanauza 2500/pc. Cheni zama mchikichi katikati kuna mchina anauza mpaka 2000-3000/dz na hazipauki.Magauni nayo ingia ndanindani kule congo na aggrey wanauza nayo bei chee 6000-8000-1000-16000/pc. Vingine siku ingine nitakwambia nimechoka kutype ah.
Naomba kufahamu robota la makoti na suruali kutoka Korea grade A ni sh ngapi na yanapatiana wapi??
 
Huu uzi umeenda vizuri hadi raha tuendelee kusaidiana tu kuelekezana inapendeza zaidi,samahani niliochelewa kujibu quote zenu!tatizo sikuhizi sipati notifications za jf!!![emoji52]
Habari dada..
Naomba msaadaa kwa huyo mchina anayeuza cheni..
Na pia kama unajua chimbo la nguo za ndani za kike..
 
Back
Top Bottom