Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Habari Wadau Nashukuru Nimerudi mkoan salama Jana Mrejesho kwenye ununuzi wa bidhaa za yebo yebo Na slippers Zipo Mtaa wa Msinbazi kariakoo kuna Ndala, slippers,yebo yebo Za Kila Aina Bei za jumla nilizokutana nazo zipo za 2600,2800,3500,5500,6000 kuanzia pic's 6 Nami nimeondoka Na mzigo wa Kuanzia biashara pic's 107 nizizuungushe masokoni nteleta mrejesho Wakuu.
Safi sana kiongozi mapambano muhimu. Piga kazi kanyaga twende.
 
Na tshirt zipo
shirt kma hzi unazo??
20230616_141515.jpg
 
Chimbo la viatu aina ya moka brand ya clacks naweza pata wapi kariakoo wajuvi?
 
Nilisikia huwa vinapatikana saa kumi na moja alfajiri kule kariakoo kwenye vipodozi

Mkuu Hornet , uko poa?

Kuna uzi fulani siukumbuki, ulikuwa wewe na mdada (simkumbuki) mnajadiliana kuhusu namna/formula ya kutengeneza 'mkorogo' wa asili/kienyeji for women. Huyo mdada ndiye mkufunzi wa hiyo formula na akasema huo mkorogo alikuwa anauza sana.

Nikumbushe username ya huyo mdada.
 
Msaada kidogo ndugu, rafiki na jamaa ni chimbo gani naweza kupata spea za magari na pikipiki wa bei ya jumla kwa ajili ya duka langu nipo mkoani lindi.?
 
Mkuu Hornet , uko poa?

Kuna uzi fulani siukumbuki, ulikuwa wewe na mdada (simkumbuki) mnajadiliana kuhusu namna/formula ya kutengeneza 'mkorogo' wa asili/kienyeji for women. Huyo mdada ndiye mkufunzi wa hiyo formula na akasema huo mkorogo alikuwa anauza sana.

Nikumbushe username ya huyo mdada.

Naitafuta pia siioni
Hata ile uzi siuoni pia
 
Msaada kidogo ndugu, rafiki na jamaa ni chimbo gani naweza kupata spea za magari na pikipiki wa bei ya jumla kwa ajili ya duka langu nipo mkoani lindi.?

0778 736 821
Mchek huyu
Ila WhatsApp only
 
Back
Top Bottom