MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Wakati mwingine unawaza, walikuwa wanafikira nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara nyingi wakati wanapiga Wananchi huwa hawana Insignia za kuwatambulishaSasa mbona wale wanajeshi wanaopigaga watu sijawahi kuskia wakisimamishwa,
Wanajeshi ndo huwa wanazingua zaidi.
Hapa ndipo huwa wana niacha hoi. Yaani ukweli una onekana wazi lakini ati uchunguzi.Video ni ushahidi tosha. Uchunguzi bado mnataka kuingia tena gharama za nini?
binafsi naungana na wale askari kwa kitendo walichokifanya!!!Lakn matapeli wanaumiza sana watu. Watu wamekufa kwa pressure watu wamejiua, wastaafu wanatapeliwa pension zao.
Mbaya zaidi hizi kesi za kutapeli zinapoteza muda tu mara nyingi wanaachiwa..
Kwani wapi wamesema wanafanya uchunguziVideo ni ushahidi tosha. Uchunguzi bado mnataka kuingia tena gharama za nini?
Kishoka yule......Tapeli kaogeshwa maji na kugaragara chini ndo salama yake ingekuwa kakamatwa mtaani wangempiga vibaya hata kumuuwa.
Na huyo tapeli aache utapeli.
Ni TaperiYule kama ni PCCB yale kwake ni mazoezi ya kawaida ni sawa na mtu kupata breakfast asubuhi.
Sent using Jamii Forums mobile app