Ni kweli mkuu lakini alianza kumuadhibu kwa kutumia ukabila ,kitendo cha kumuamrisha zaidi ya mara 3 anasema atamke kwa lugha ya kihaya lengo ni lipi? Kwani watanzania wote wanajua lugha ya kihaya ? Wanatakiwa kuajibishwa.Wale ni wanajeshi sioni kosa lao,hizo ni adhabu ndg ndg za kijeshi kwanza amepewa mazoez ya kawaida tu,na hakuna aliyempiga zaid ya kupewa Yale mazoez.kwa hiyo siku hiz watuhumiwa wabembelezwe bembelezwe hata pushap wasipewe?!,siku zote ukipatikana na kosa na mjeda ,Yale mazoez niya kawaida sana.au nae alikuwa muwekezaji!?
...Kwa hiyo Mkuu unawaunga Mkono, ama ni yale mambo ya Msiba uusemee unapokuwa kwa jirani tu lakini maumivu yake utayasikia unapokuwa umetokea nyumbani kwako??? ...hebu fikiria tu kama jamaa angekuwa ni mdogo wako anayekufuata?? [emoji848]Wale ni wanajeshi sioni kosa lao,hizo ni adhabu ndg ndg za kijeshi kwanza amepewa mazoez ya kawaida tu,na hakuna aliyempiga zaid ya kupewa Yale mazoez.kwa hiyo siku hiz watuhumiwa wabembelezwe bembelezwe hata pushap wasipewe?!,siku zote ukipatikana na kosa na mjeda ,Yale mazoez niya kawaida sana.au nae alikuwa muwekezaji!?
Alipata adhabu iliyomstahili huyo kishokaWalimtendea fair sana,hata hawakumtandika ila walimpa tu mazoezi ya kupunguza kitambi kile kikubwa.
Walichokifanya ni sahihi hata kama ni tapeli?Kosa lao ni video waliochukua wakati wakimsulubu huyo waliomuita tapeli. Ingekuwa kimya kimya wala wasingeletewa huu msala wa sasa hivi.
Walijua ni enzi ya dikteta walikuwa wanafukuzia teuzi na promotionMaafisa wengine wapumbavu tu, unafanya vipi tukio kama lile? tena unalirecord kabisa.