KERO Wafanyakazi wa Elements Club (Masaki) kuweni na adabu. Mna madharau na kiburi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
The Capitalist world has its own standards Ticha!
 
Ndo mana hapo nmekwambia sisi pia hatukukuta hio Reserved ..
SAmaki Samaki sijuagi ubaya wao mana nakaaga na watu wanaojiweza kwahiyo sionagi tofauti...
SEhemu pekee nnazoona hudumua ziko poa ni Restaurants
Kalito Hana ujinga, ukipeleka malalamiko tu meneja anafukuza muhudumu kazi na ww unaona pale pale hataki kuleta ujinga 🀣🀣🀣🀣
 
Capitalist world has its own standards Ticha!
Wewe ndio umeongea point maana watu wanataka huduma lakini hawataki kutumia fedha. Kuna siku nilikuwa triple B pale Goba. Nilikuwa na kikao cha kazi na maboss wangu. Kuna watu walikuwa wanapiga kelele meza ya pembeni. Mzee Mushi akamwita muhudumu akamwambia'' kawape wale vijana bia kumi kumi waambie tuna kikao watpunguze kelele''. Aisee sikuamini palikuwa kimya ghafla vijana wakawa wapo kimya wanaongea kistaarabu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ . Pesa achana nayo aisee.
 
Mkuu bado inaweza isiwe kigezo kizuri. Kuna watumishi wa umma wana mihuri mizito mizito na safari zote wanalipiwa tu. Kuna mtu yeye anasafiri sana safari za kwenye makongamano, short courses n.k. na uchumi wake ni kawaida sana.
Kwanza mwalimu ataenda element kufanya nini
 
Mkuu bado inaweza isiwe kigezo kizuri. Kuna watumishi wa umma wana mihuri mizito mizito na safari zote wanalipiwa tu. Kuna mtu yeye anasafiri sana safari za kwenye makongamano, short courses n.k. na uchumi wake ni kawaida sana.
Kikubwa unaachana nao maana hapa Dar hasa masaki kuna mabar/Restaurants/ beach bars/cafe/Club za kutosha unachagua tu uende wapi
Unaweza enda zako Slow leopard ukamsikiliza Grace Matata huku unakunywa zako hizo bia sijui safii kabisa
 
Mkuu bado inaweza isiwe kigezo kizuri. Kuna watumishi wa umma wana mihuri mizito mizito na safari zote wanalipiwa tu. Kuna mtu yeye anasafiri sana safari za kwenye makongamano, short courses n.k. na uchumi wake ni kawaida sana.
Kama unasafiri kwenda Uswisi, Ufaransa na Uingereza kwa kulipiwa ukizibana hizo per diem ukirudi nazo huku zinakuwa kibunda.
 
That's the capitalist world brother! Jamaa analeta Ujamaa eti kila mtu sawa? Aende Korea Kaskazini! Ahahahahaha!!!
 
Mkuu, mimi sehemu yote ya biashara Iliyopo Bongo nikienda nikiona kuna dalili hata ndogo namna gani ya kunyanyapaliwa basi naondoka na sirudi tena pale kamwe.
Tutaivana mi na wewe Mkuu Ati naingia dukani unahangaika na simu.....wewe..nitafute Kwa shida na kutumia pia shida weeeee hakuna hiyo...pesa naitoa Kwa wanaoheshimu kazi zao.
 
Tatizo inaonekana huna nyash.., kama unavyoonekana kwa video!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…