Kwa kweli tunacholipa sisi sio kikubwa cha kujivunia ila pia sio kidogo kiasi hicho ulichotaja mkuuBila shaka mtoa mada ana miliki supermarket...
Hua wanalipa wafanyakazi 120,000/= hadi 150,000/= huwezi kukwepa kuibiwa kwa mshahara huo...
Maana wafanyakazi wanaona pesa wanayokuingizia kwa siku ni nyingi sana then mwisho wa mwezi unawalipa 120 na wengine wana familia.
😃😃🤣🤣Ahaa kumbe yule shoga yako ni muongo siyo!
Mshahara unalipa kiduchu halafu tukichukua hela za kula unasema tunaakuibia?
Mikazi yote ile kweli boss huna huruma na sisi!
Mmm wewe boss huna lolote😃😃😃🤣🤣
Jichanganye shauri yako sio uongo we iba uone utakavyokua msukule wangu🤣🤣
Hufanyi stocktaking, maana yake vitu wanavyo kuibia ni tangible[emoji2][emoji2][emoji2][emoji16][emoji16]
Ni upuuzi kweli mkuu ila umenifaa so far.
Hapa najipanga tu niwe na standby generator kote sababu wanaiba wakati hamna umeme
Huna ubavu. Kama vipi tufukuze wote uone😃😃
Usithubutu kuiba mshahara wako utakua unarudi kwangu shauri yako.🤣
Hauna safe???Wanaiba hela mkuu.
Kwanini jioni after transactions usizi-bank, siku hizi kuna mawakala mpaka usikuWanaiba hela mkuu.
Hapana. Sijawahi☺️Ushawahi kuona ukuta unajigawa halafu mganga ndo anatokea?😁😃
Hapo ndo unakosea, zile fedha hatupeleki benki hukaa kwenye safe. Nunua safe mkuu.😁Sio zote zinaingizwa kwenye safe mkuu
Endelea kuwa observer Kuna kanamnaMbona mapato ya siku yameongezeka baada ya hapo dear?
Mmm uongo tu😃👆Good!😁
Basi mganga wa shosti angu anapoteleaga kwenye ukuta.😃
😳 Wakati hata manati tu huna. Boss gani wewee😃😃
Mwenyewe nimepikwa ukinipiga bastola bullets inageuka maji🏃