Rogojin The Idiot
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 2,969
- 3,392
Maisha yetu yako mikononi mwa Mwenyezi Mungu. Ndiye aliyetuumba na anajua lini tutakuja na lini tutaondoka.Ajuaye ni Muumba , lakini si vibaya kujua chanzo cha kifo , mbona ni kawaida tu !
Waligusa Nini Yarabi Toba...Taarifa kamili hii hapa.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG). Bw. Charles E. Kichere anasikitika kutangaza kifo cha Bw. Geofrey Lawrence Makonyu, Mkaguzi Kitengo cha Walipa Kodi Wakubwa ambae amefariki akiwa Yaounde nchini Cameroon akiwa katika majukumu ya kikazi.
View attachment 2605320
Marehemu Geofrey Lawrence MakonyuBwana ametoa na Bwana ametwaa Jina la Bwana Lihimidiwe.
====
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Bw. Charles E Kichere anasikitika kutangaza kifo cha Mtumishi wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi-Divisheni ya Ufanisi, Marehemu Ndimwaga Shitindi kilichotokea leo Jumapil, Aprili 30, 2023 katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma akiwa kwenye matibabu. CAG na Watumishi wote tunaungana na Ndugu, Jamaa na Marafiki wa Marehemu Ndimwaga kuomboleza msiba huu.
View attachment 2605539
Marehemu Ndimwaga Shitindi
Bwana ametoa na Bwana ametwaa Jina la Bwana Lihimidiwe.
Godfrey Moremi hakuwa kwa CAG, alikuwa NBAA. Usiandike jambo usilo na uhakikaKila mwaka watu ktk ofc hyo ufariki au wengine kuwa vichaa Nina ushihid
Jamaa angu mmoja moremi nae alifariki alikuwa best student wetu kwa mwaka wetu
Kisha kaja mzee mooja alikuwa mkaguzi rukwaa kapigwa uchizi mwalimu maro
Kwanini hutaki mambo ya msingi yajadiliwe? umejaa uoga sana bora uhamie Burundi.Mleta mada uchonganishi huu unafanya!!!
Hili ni jambo la msingi linajadiliwa Leta hoja ya kuimarisha Mjadala usihamishe magoli kwa kuleta habari za Burundi!Kwanini hutaki mambo ya msingi yajadiliwe? umejaa uoga sana bora uhamie Burundi.
Wewe unasubiri mpaka wakanushe ndiyo ujue ni uongo?Tangu ripoti ya CAG iwekwe hadharani, maafisa wawili wa CAG wamefariki huku vifo vyao vikizunguka sana mitandaoni kana kwamba kuna jambo sio la kawaida/
Mbaya zaidi wanatajwa baadhi ya watu, kwanini tamko rasmi lisitolewe kuhusu sintofahamu hii...Je hadi kufikia Novemba ripoti ya CAG itakaporuhusiwa na Tulia kujadiliwa bungeni ushahidi mwingi kiasi gani utakaokuwa umepotea..
Tutakuja kuambiwa vielelezo fulani alikuwa navyo aliyefariki.
Kuna ombwe kubwa la vyombo vya habari Tanzania. Haya ni mambo ya media kuafanya uchunguzi na siyo kusubiri matamko ya serikali kama anavyodai mchangiaji mmoja.Tangu ripoti ya CAG iwekwe hadharani, maafisa wawili wa CAG wamefariki huku vifo vyao vikizunguka sana mitandaoni kana kwamba kuna jambo sio la kawaida/
Mbaya zaidi wanatajwa baadhi ya watu, kwanini tamko rasmi lisitolewe kuhusu sintofahamu hii...Je hadi kufikia Novemba ripoti ya CAG itakaporuhusiwa na Tulia kujadiliwa bungeni ushahidi mwingi kiasi gani utakaokuwa umepotea..
Tutakuja kuambiwa vielelezo fulani alikuwa navyo aliyefariki.
Acha wacheleweshe tatizo kwa muda kwa kuua wasio na hatia,iko siku watalipia udhalimu waoTangu ripoti ya CAG iwekwe hadharani, maafisa wawili wa CAG wamefariki huku vifo vyao vikizunguka sana mitandaoni kana kwamba kuna jambo sio la kawaida/
Mbaya zaidi wanatajwa baadhi ya watu, kwanini tamko rasmi lisitolewe kuhusu sintofahamu hii...Je hadi kufikia Novemba ripoti ya CAG itakaporuhusiwa na Tulia kujadiliwa bungeni ushahidi mwingi kiasi gani utakaokuwa umepotea..
Tutakuja kuambiwa vielelezo fulani alikuwa navyo aliyefariki.
Mambo yao yamekuchosha au sioWafajua wenyewe
Mambo yao yamekuchosha au sio
Kuuliza ndio uchonganishi?Mleta mada uchonganishi huu unafanya!!!
Kuuliza ndio uchonganishiMleta mada uchonganishi huu unafanya!!!
Ukizama kwenye bandiko lake hakuna kiulizo. Ni mwemdo wa serious and kind of heinous allegations !!! Tuhuma kama hizi zinatakiwa kuwa na vielelezo vinavyojitosheleza. Mleta mada katunyima vielelezo hivi.Kuuliza ndio uchonganishi?