TANZIA Wafanyakazi Wawili wa Ofisi ya CAG wafariki dunia
Kigogo amenukuu vifo kadhaa kutoka Soguti Ofisi ya ukaguzi na kumhusisha Waziri Alemsha Mwezi wa kwanza ambaye anautaka Usultani na hataki kuchafuka,je ni kweli Waziri Alemsha Mwezi wa kwanza amechafuliwa au kapiga kweli?
 
Habari zenu waungwana mtu umesema unataka kuja Ila mishe yako unataka watu wa dagaa mi nikakuunganisha na watu wenye maboti ya dagaa na wale ikawa wanakuheshimu kwa sababu mimi waniheshimu Sasa ww unaleta uchoko Mambo ya dar unaleta huku mafia kumbe mtu mwenyewe shoga Sasa mpaka jamaa wa mabot wanajua labda mimi nakujua au nakufahamu sana kumbe Mimi nilikuona mshikaji mpambanaji mi nikajua mpambanaji mwenzangu kumbe **** Mayo mbwa ww
[
 
Kila mwaka watu ktk ofc hyo ufariki au wengine kuwa vichaa Nina ushihid

Jamaa angu mmoja moremi nae alifariki alikuwa best student wetu kwa mwaka wetu

Kisha kaja mzee mooja alikuwa mkaguzi rukwaa kapigwa uchizi mwalimu maro
 
Habari zenu waungwana mtu umesema unataka kuja Ila mishe yako unataka watu wa dagaa mi nikakuunganisha na watu wenye maboti ya dagaa na wale ikawa wanakuheshimu kwa sababu mimi waniheshimu Sasa ww unaleta uchoko Mambo ya dar unaleta huku mafia kumbe mtu mwenyewe shoga Sasa mpaka jamaa wa mabot wanajua labda mimi nakujua au nakufahamu sana kumbe Mimi nilikuona mshikaji mpambanaji mi nikajua mpambanaji mwenzangu kumbe **** Mayo mbwa ww
[
Ni nani huyo man?
 
Kila mwaka watu ktk ofc hyo ufariki au wengine kuwa vichaa Nina ushihid

Jamaa angu mmoja moremi nae alifariki alikuwa best student wetu kwa mwaka wetu

Kisha kaja mzee mooja alikuwa mkaguzi rukwaa kapigwa uchizi mwalimu maro
Aisee hahaha nimecheka Kama mazuri lakini ukweli Ni kwamba watu wanatandikana Sanaa.
 
Hiki cha Godfrey lawrence, siongei jambo, naumia kweli, namfahamu alikuwa mtu mwema kweli kweli,mpole, mwadilifu, nadhani tatizo hapo ni UADILIFU.
Tunaomba serekali iurudishe mwili toka kameroni kwani Tupo msibani toka Jumatano ya matawi mpaka leo hii.
Duuh toba toka Jumatano ya majivu hadi sasa??
 
Hiki cha Godfrey lawrence, siongei jambo, naumia kweli, namfahamu alikuwa mtu mwema kweli kweli,mpole, mwadilifu, nadhani tatizo hapo ni UADILIFU.
Tunaomba serekali iurudishe mwili toka kameroni kwani Tupo msibani toka Jumatano ya matawi mpaka leo hii.
Kumbe mpk Leo hawajamleta bado?!!duhh mda sana
Kafa ghafla tu
 
Back
Top Bottom