Mpetde
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 3,955
- 6,546
NI MIKONO YA WATU, KUSIKIA HUSIKII SAWA ILA HATA KUONA HUONI YAAN HUONI KM HAWA WANAULIWA KABISA HAWAvifo vyao visiwe na mikóno ya watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NI MIKONO YA WATU, KUSIKIA HUSIKII SAWA ILA HATA KUONA HUONI YAAN HUONI KM HAWA WANAULIWA KABISA HAWAvifo vyao visiwe na mikóno ya watu
Haa haa😂😂😂haa..Inafaa pia kujua walipofanyia kazi zao. Je, Ripoti ya CAG iligusa maeneo waliyofanyia kazi?
Tukijua hayo tutaanza kujenga mnara.
Apumzike kwa amaniHuyo marehemu namjua yaani nimesikitika sana Na kuhuzunika mno! [emoji24]
He was a gentleman and hardworking
Mkaguzi Mkuu wa Mahesabu alikuwa anabana matumizi.Hiyo barua hata jina la nchi halijakamilika
Ndo tunako elekea hukoMmeanza kuwapiga vipapai wakaguzi au tumerudi zama zile za akina Mwakyembe kulishwa sumu na kunyonyoka nywele kisa wamegusa mirija.
WANAWAUA SABABU YA RIPOTIWananchi tunataka tujulishwe vyanzo vya vifo vya hao watumishi wa NAO,
Hili sio la kuliacha lipite kimya kimya hapana aisee!
Watuambie kulikoni?
Siyo kawaida kuona CAG akitangaza vifo vya wafanyakazi wake kwa mfululizo
Poleni sana
RIP Ndimwaga
RIP Geoffrey
View attachment 2605457View attachment 2605458
Mambo ya meko yamerudi kimyakimyaWameamua kuwaondoa dabo dabo.
Poleni wote mlioguswa na misiba hiyo.
AmenMwenyezi Mungu aipe uvumilivu zaidi familia ya Mwalimu wangu Lawrence Makonyu katika wakati huu mgumu kwao kutokana na kuondokewa na mwanafamilia huyu.
Aiseeee !!!February Marope aulizwe kwenye hili. Mtakuja kunishukuru mkizinduka.
Namshauri CAG nae Asali sana kama ni Mcha Mungu au Aroge mno kama ni Mpenda Ushirikina au Aiamini zaidi Mizimu ya Kwao ( kama nifanyavyo GENTAMYCINE ) ili awe Salama kwani taratibu Mafia wameanza Kukata Matawi ya Mti na najua sasa wanaelekea Kuukata Mti Wote ili wabakie Salama na Ushahidi wa Kuwajibishwa upotee na Upigaji wa Keki ya Tanzania uendelee.
Kama kawaida yenu mtaanza kuwasingizia Msoga gang!!Tumepoteza wapambanaji