COVID-19 imehamia huko? Tueleze hivyo vifo vilisababishwa na ajali au...!Siyo kawaida kuona CAG akitangaza vifo vya wafanyakazi wake kwa mfululizo
Poleni sana
RIP Ndimwaga
RIP Geoffrey
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
COVID-19 imehamia huko? Tueleze hivyo vifo vilisababishwa na ajali au...!Siyo kawaida kuona CAG akitangaza vifo vya wafanyakazi wake kwa mfululizo
Poleni sana
RIP Ndimwaga
RIP Geoffrey
Kigogo anadai Makamba ndo kawamaliza 😂😂Mi nimeuliza tu, maana hizo habari waliotoa ni NAOT
Ile ofisi kubwa inakuwaje watu wake wafe kizembe zembe?Kigogo anadai Makamba ndo kawamaliza [emoji23][emoji23]
Kigogo ni Zitto kabwe inapenyeza Ajenda za uongo.Kigogo anadai Makamba ndo kawamaliza 😂😂
Inafaa pia kujua walipofanyia kazi zao. Je, Ripoti ya CAG iligusa maeneo waliyofanyia kazi?Msigwa alinukuliwa akisema inawezekana Ripoti ya cag ilikosewa.
Tuanze hapo kuunga dots.
Hivi Nchi hii KAMBA, Mwigu, Nape wameota mizizi kwenye viti walivyokalia?Inafaa pia kujua walipofanyia kazi zao. Je, Ripoti ya CAG iligusa maeneo waliyofanyia kazi?
Tukijua hayo tutaanza kujenga mnara.
Wengine wanaamini hata JPM kuondoka kwake kuna kulishwa kitu kama alichopewa MwakyembeMmeanza kuwapiga vipapai wakaguzi au tumerudi zama zile za akina Mwakyembe kulishwa sumu na kunyonyoka nywele kisa wamegusa mirija.
Kuugua kwa muda mfupi!COVID-19 imehamia huko? Tueleze hivyo vifo vilisababishwa na ajali au...!
Duh!Hivi Nchi hii KAMBA, Mwigu, Nape wameota mizizi kwenye viti walivyokalia?
Muda utaongea tu,Blaise Compaoré katiwa hatiani mauaji ya Sankara baada ya miaka zaidi ya 20 kupita.Wengine wanaamini hata JPM kuondoka kwake kuna kulishwa kitu kama alichopewa Mwakyembe
Umejibu kama mtu anayehofia maisha yake.Duh!
Mkuu, 'Rabbon', hata sielewi kwa nini unaelekeza hilo swali kwangu? Mimi sina jibu mkuu wangu, na wala sijui imekuwaje ukawawaza na kuwaleta hapa!