TANZIA Wafanyakazi Wawili wa Ofisi ya CAG wafariki dunia
Kifo cha huyu Bwana kina utata, TANGAZO la kifo alijaeleza kafariki lini!

Je, ameletwa nchini kutoka Cameroon?

Postmortem ilifanyika huko nje? Kama ilifanyika report inasemaje?

Nadhani haya maswali yakijibiwa tunaweza kujua utata au mazingira ya kifo
 
Pole yao,vifo vyao visiwe na mikóno ya watu.Ripoti ijadiliwe mapema,hizi danadana za wakaguzi walikua na hitilafu wakati wakikagua,zifike kikomo,mara ripoti itajadiliwa mwezi November,italeta shida,ijadiliwe wakati bado wengi wakiwa hai.
 
Hivi Nchi hii KAMBA, Mwigu, Nape wameota mizizi kwenye viti walivyokalia?
Duh!

Mkuu, 'Rabbon', hata sielewi kwa nini unaelekeza hilo swali kwangu? Mimi sina jibu mkuu wangu, na wala sijui imekuwaje ukawawaza na kuwaleta hapa!
 
Duh!

Mkuu, 'Rabbon', hata sielewi kwa nini unaelekeza hilo swali kwangu? Mimi sina jibu mkuu wangu, na wala sijui imekuwaje ukawawaza na kuwaleta hapa!
Umejibu kama mtu anayehofia maisha yake.

Ni swali tu limenijia, maana vijana Hawa ni kama walisaini kiapo Cha uwaziri usio na kikomo.
 
Back
Top Bottom