Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
AmenAllah ampunguzie adhabu za Kiama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmenAllah ampunguzie adhabu za Kiama.
Mbona umeguna?Mmhhh
Bwana alitoa Bwana ametwaa Jina lake Lihimidiwe!Isije kuwa ni Conspiracy ya kuitisha Ofisi ya CAG
R.I.P wapiganaji,hawajabahatika kujua hatima yao ripoti ya CAG.Mola awafanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu.
View attachment 2605338
View attachment 2605339
Poleni kwa misiba.
Mwendo wameumaliza.
Wapumzike kwa amani.
Tumepoteza wapambanajiMbona umeguna?
Mungu wa mbinguni atulindePoleni Wote Kwa Misiba
Wapumzike Kwa Amani Wote Waliotutangulia Mbele Ya Haki
Ipe pole familia yake , sikuwa na TaarifaMbona Dobi amefariki ushituki? Au yeye kufa ni sawa na wengine tujue chanzo
CAG: Poleni kwa Misiba
Mola awafanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu. Poleni kwa misiba. Mwendo wameumaliza. Wapumzike kwa amani.www.jamiiforums.com
Hakika.Tumepoteza wapambanaji
Wafanyakazi wa C.A.G hawafagi? Mbona chacha wangwe mpaka Leo anatajwa yule jamaa
Kwani sisi tumesemaje ?Wafanyakazi wa C.A.G hawafagi? Mbona chacha wangwe mpaka Leo anatajwa yule jamaa
MnahusikaKwani sisi tumesemaje ?
Siti ya mbele kabisaWafanyakazi wawili wa ofisi ya CAG wamefariki
Mmoja amefia nje ya nchi
Mwingine amefia Dodoma
Je kuna watu wanajaribu ficha kitu kwa kuwaondoa mmoja mmoja?View attachment 2605365View attachment 2605366