Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwingine afariki leo Dodoma ni mwanamke
Sasa unamwitaje mzushi wakati wewe mwenyewe huna uhakika, je kama ni kweli mzushi atakuwa nani!Yule mzushi wa twita ameposti kuwa wamefariki wawili, sijui kama ni kweli au ni uzushi tu maana hajambo kwa kuzusha uongo.
Mmoja alikuwa upande wa walipa kodi wakubwaMmh. Kama walikuwa kitengo kimoja.. vifo vyao vinaacha maswali
Nani alimpangia safari huyo wa Cameroon? Huko mwenyeji wake alikuwa/ilikuwa taasisi gani? Aliumwa? Alipata ajali?Hao wote wamekufa siku 1
Mmoja kafa Younde
Mwingine Dodoma
Maswali mengi ambayo hatuwezi yajibuNani alimpangia safari huyo wa Cameroon? Huko mwenyeji wake alikuwa/ilikuwa taasisi gani? Aliumwa? Alipata ajali?
Umemaliza andaa andalio la kesho?Assumption tu hizo
CCM ndo tatizo lenyewe imetufanya watz kujadili matukio ya watu ,tu fumanizi vifo ,Umeme Taifa that all
UpoyoyooooToa upumbavu hapa
Hiyo sababu ya kifo ilitakiwa iwepo kwenye taarifa Kama vile aliugua ghafla, alipata ajali, alikabwa nkMaswali mengi ambayo hatuwezi yajibu
Kwani yule wa Hazina aliyejinyonga nini kilitokea?Hi
Hiyo sababu ya kifo ilitakiwa iwepo kwenye taarifa Kama vile aliugua ghafla, alipata ajali, alikabwa nk