Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sio Mwalimu Mkuu na Wala sio Ccm na sipendi Simba na YangaUmemaliza andaa andalio la kesho?
Watakuwaje serious wakati wanatawala watu wajinga, na kupitia hao wajinga ndo wanapata sehemu ya kutawala?Mimi sio Mwalimu Mkuu na Wala sio Ccm na sipendi Simba na Yanga
Naamini if Ccm wangekuwa serious since day one tungeshapiga hatua kubwa.
Sisi tumekuwa wajinga mambo ya muhimu tumeyaacha na kuanza kujadili vifo vya watu ,Simba na Yanga na Ushoga.
Kosa lake lipi hasa?🤣Kama kuna namna wangeanza na CAG
Walimuua Magufuli sembuse hawaWafanyakazi wawili wa ofisi ya CAG wamefariki
Mmoja amefia nje ya nchi
Mwingine amefia Dodoma
Je kuna watu wanajaribu ficha kitu kwa kuwaondoa mmoja mmoja?View attachment 2605365
Kila anayeleta uzibe anaondolewa, ukitaka ishi kubali viliweWalimuua Magufuli sembuse hawa
Michango wao ni kuwaepusha hao wabunge waliochaguliwa na baridi la Dodoma🤣 Dodoma kuna baridi nyie, halisikii madirisha ya vioo wala duvet.Watakuwaje serious wakati wanatawala watu wajinga, na kupitia hao wajinga ndo wanapata sehemu ya kutawala?
Huoni kule bungeni kuna wabunge 100 ambao hawajachaguliwa na mtu, wamewekwa tu kwa jinsia zao?
Wale 100 hawatoi mchango wowote maana hawana majimbo ya uchaguzi.
Lini umesikia mchango wa maana kutoka kwa Mke wa #4?
Naamini ujinga ndo mtaji wa mwanasiasa .then Generation ya Sasa hivi kama imekata tamaa Sana to be honest .Watakuwaje serious wakati wanatawala watu wajinga, na kupitia hao wajinga ndo wanapata sehemu ya kutawala?
Huoni kule bungeni kuna wabunge 100 ambao hawajachaguliwa na mtu, wamewekwa tu kwa jinsia zao?
Wale 100 hawatoi mchango wowote maana hawana majimbo ya uchaguzi.
Lini umesikia mchango wa maana kutoka kwa Mke wa #4?
Hii nomaWafanyakazi wawili wa ofisi ya CAG wamefariki
Mmoja amefia nje ya nchi
Mwingine amefia Dodoma
Je kuna watu wanajaribu ficha kitu kwa kuwaondoa mmoja mmoja?View attachment 2605365View attachment 2605366
Sasa huoni tuna taifa la wajinga, wanaoongozwa na wajingaMichango wao ni kuwaepusha hao wabunge waliochaguliwa na baridi la Dodoma[emoji1787] Dodoma kuna baridi nyie, halisikii madirisha ya vioo wala duvet.
Shetani hana rafikiKufanya kazi na CCM ni very risky.
Tusitegemee maajabu kutoka generation ya kuanzia 2000s hawa washajikatia tamaa, ni waoga sana.Naamini ujinga ndo mtaji wa mwanasiasa .then Generation ya Sasa hivi kama imekata tamaa Sana to be honest .
Serikali inabidi initafakari kiukweli ni Bora waendeleaje kuiba lakini wasizitumie Simba na Yanga Kama ndo Jambo la muhimu la vijana kujadili 24/7 hii inafanya Mtu kutolewa mchezoni mapema Katika kujitafta.
Mi nimeuliza tu, maana hizo habari waliotoa ni NAOTUnamsikiliza kigogo kalipwa kuchafua watu.[emoji23][emoji23]