Huyo fundi wa kufanya hivyo atakuwa ni fundi kweli kweli!Kuugua kwa muda mfupi!
Lakini nimeyaona matangazo ya tanzia ya vifo hivyo. Sijaona uhusiano unaounganisha mnyororo wa kuanza kujengea stori hapa.
Au tuseme basi kuna habari ambayo haijaelezwa vizuri kuwahusu marehemu.