Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuwa ni suala la mda tuHuyu ndiye aliyefichua uozo wa makamba .............
Mungu wa mbinguni atulinde!
kama ile ya LwajabeMafisadi sio watu wa kuwachekea na sasa wameingia jikoni, kazi tunayo!! Mpaka uchunguzi wa waliotajwa na CAG unamalizika na hatua kuchukuliwa dhidi yao, makaburi mengi yatajaa mizoga!!
Nchi hii haina mwenye nayo. Ni swala la muda.February Marope aulizwe kwenye hili. Mtakuja kunishukuru mkizinduka.
Simba/yangaNaamini ujinga ndo mtaji wa mwanasiasa .then Generation ya Sasa hivi kama imekata tamaa Sana to be honest .
Serikali inabidi initafakari kiukweli ni Bora waendeleaje kuiba lakini wasizitumie Simba na Yanga Kama ndo Jambo la muhimu la vijana kujadili 24/7 hii inafanya Mtu kutolewa mchezoni mapema Katika kujitafta.
Naona jamaa alikupiga bomba la maana kwenye shimo la 0713, mpaka uje kuzaa hiyo mimba ndio utaacha chuki kwa jamaa.Wafanyakazi wa C.A.G hawafagi? Mbona chacha wangwe mpaka Leo anatajwa yule jamaa
Yule kasuku Gem...kawataja na kuwafananisha na Biwot na Mbambazi. Kamtaja Kipara Makrego wa Bwawa la Nyerere na yule mwenye Mwanya wa machimbo ndio wanatajwa.Labda kuna mkono wa mtu
Kufa mtu ni minor issue ! basi Mungu akuzidishie mkuuKifo ni kifo tu,hakuna conspiracy theory,it's natural death,some thing must kill a man,tuache porojo za vijiweni,
Ishu kubwa ni gharama za maisha kupanda,ufisadi serikalini,mambo ya ushoga na Hz minor issues,zinatumika na wanapropagsnda wa ccm kutusahaulisha issues muhimu
Hiki cha Godfrey lawrence, siongei jambo, naumia kweli, namfahamu alikuwa mtu mwema kweli kweli,mpole, mwadilifu, nadhani tatizo hapo ni UADILIFU.Ni vifo vya aina gani kwanza tujue kama ni Natural au Man made!
Basi watakuwa walipiga parefu sanaYule kasuku Gem...kawataja na kuwafananisha na Biwot na Mbambazi. Kamtaja Kipara Makrego wa Bwawa la Nyerere na yule mwenye Mwanya wa machimbo ndio wanatajwa.
Watu wazuri hawafiHuyu ndiye aliyefichua uozo wa makamba .............