Wafuasi wa Hayati Magufuli bado hawajaamini kikamilifu kuwa alishafariki na siasa zake nyingi zinazikwa na Rais Samia

Wafuasi wa Hayati Magufuli bado hawajaamini kikamilifu kuwa alishafariki na siasa zake nyingi zinazikwa na Rais Samia

Ni miaka miwili sasa tangu Magufuli afariki dunia, huku baadhi ya wafuasi halisi wa Magufuli wakigoma kuamini katika mioyo yao au kutambua katika akili zao kuwa...
Kwa ulivyoandika wewe ndiye unajibainisha kuwa ulikuwa na chuki na hayati JPM.
 
Ukiwa na vyeti feki lazima utumbuliwe.

Hakuna chuki, ni kufuata utaratibu.

Pole kwa KUTUMBULIWA ewe JIZI LA VYETI [emoji2][emoji2][emoji2]
... vyeti feki? Sikuungaunga wewe sahau hilo. Mimi sio wa sub-combi wewe kuwa na akili.
 
Ukitaka asaulike vyunja daraja la kijazi,stand zote iringa,sumbawanga,singida,Dodoma,mwanza,njombe, masoko mikoa yote, hospital zote za wilayaa,machinjio ya ng'ombe,barabara zote,umeme mpaka vijijini,kidume kilivyosimamia bwawa LA Nyerere wakati wakina zito ,mbowe waliufyata Kwa wazungu kidume kikalianzisha,sgr,Dara la tanzanitr,dalaja la musisi , elimu bule nk app tutamsaau
Sawa mkuu
 
Ni miaka miwili sasa tangu Magufuli afariki dunia, huku baadhi ya wafuasi halisi wa Magufuli wakigoma kuamini katika mioyo yao au kutambua katika akili zao kuwa...
Huenda atafufuka baada ya miaka mitatu
 
Wewe ni miongoni mwa wale wasiokuwa na hekima au kichwanj wewe ni kichaa. Kauli zenu hizi zinamletea mazingira magumu sana kisiasa Rais Dr Samia....
Magufuli ndio alikuwa anauza huo mchele? Acha uzwazwa rudi darasani ujue sababu ya vitu kupanda bei. Eti kanda ya ziwa huoni hata aibu? Unarudia siasa aa kibaguzi km zile za huo marehemu wako
 
... "theisis" ya jamaa iko wapi? Inatakiwa itumike kama rejea kwenye maandiko ya kisomi but that "public" document is nowhere to be seen. Lile ndio lilikuwa jizi #1 la elimu.
KALIME ACHA JANJA JANJA ZA VYETI FEKI.
 
KALIME ACHA JANJA JANJA ZA VYETI FEKI.
... mama anawawezesha graduates kujiajiri kwenye kilimo na matokeo yataonekana soon! Shughuli hiyo adhimu imefanyika 17.03.2023 na sio kwenda kutembelea makaburi kama mlivyokuwa mnalilia.
 
Ni miaka miwili sasa tangu Magufuli afariki dunia, huku baadhi ya wafuasi halisi wa Magufuli wakigoma kuamini katika mioyo yao au kutambua katika akili zao kuwa, kwa hakika Magufuli alishakufa na milele hataweza kurejea tena huku siasa zake mbovu taratibu zikizikwa na rais Samia Suluhu...

Mnaotaka kumuua Magufuli hamtafanikiwa.
 
Mtoa post na wenzako ambao mnalamba asali sasa hivi ndio mnahangaika na hamuamini bado kwamba MWAMBA hayupo tena, mnaweweseka kila siku na bado mnamuogopa.

Mnahangaika kufuta mazuri aliyofanya na kutaka kupandikiza chuki zenu na kuzifanya za Taifa lakini mmekwama.

Wafuasi wako busy kumuombea apumzike kwa amani na kuendelea kumpa sifa zake stahiki kwa saabu kama kazi nzuri alifanya na watanzania wanajua na wataendelea kumpongea siku zote.
 
Ni miaka miwili sasa tangu Magufuli afariki dunia, huku baadhi ya wafuasi halisi wa Magufuli wakigoma kuamini katika mioyo yao au kutambua katika akili zao kuwa, kwa hakika Magufuli alishakufa na milele hataweza kurejea tena huku siasa zake mbovu taratibu zikizikwa na rais Samia Suluhu...
Mleta mada fanya kazi kwa nguvu zako acha uchawa. Yaani unataka kutuambia kwamba ata kama Samia ni dhaifu kwa baadhi ya Mambo anashindwa kukontrol huo udhaifu wake na akashindwa kutambua ata hiyo nafasi aliyonayo aliipata tu kwa Mgongo wa JPM.

Kingine inamaana kwa sasa ccm huko ndani ya chama mnashindana na mtu aliyekwisha kufa ila bado mnaogopa Kivuli chake ndo mana kila siku mnaamka na Tuhuma mfu kabsaa dhidi ya Marehemu?

Mama atakua ni rais wa hovyo wa kiwango cha juu kama ataendelea kukumbatia wajinga wengine na kuijiongezea ujinga.

Mwambieni Mama ajitahid sana kufanya mambo ya msingi na yanayoonekana kwa jamii,ajitahidi kuendeleza miradi aliyoanzisha na kuicha Jpm JPm alisishupaze shingo akitumia watu wa pembeni waseme miradi haikuwa na tija na kuitelekeza wakati kuna hela ishawekwa hapo na cha kushangaza wakati wa kampaini hana cha kuombea kura zaidi ya hiyo miradi.

La sivyo Ajiandae kisaikolojia mana kuna mahali ataenda kwa wananchi ila atakutana na Mabango ya Picha za JPM.

Bbbb(Mimi sio muaini kwa utawala wa mama Ila nataka Afanye kazi)
 
Wakati bado anatamba ndani ya awamu yake muhula wa pili. Subirieni muhula wenu mpya mtakaohangaikia kura zenu hamtaona akitajwa JPM kwenye mafanikio yenu
 
Waswahili wanasema ‘nyani aoni ,………’

Magufuli hatunae, wanaofanya huyo mtu aendelee ku trend ni baadhi ya viongozi serikalini. Wao wanataka kumkejeli au kumtungia uongo hapo ndio kuna watu huwa wana jibu hasa mitandaoni

Wengine ni chawa wa mama au wenye chuki na huyo; kila kitu Magufuli aliharibu kwa facts za uongo, ambazo inabidi ziwekwe sawa.

Wanafanya Magufuli aendelee kuishi ni team Samia na serikali yake; ingelikuwa wao awahangaiki na Magufuli na awatoi sababu za watu kumtetea asingekuwa anajadiliwa kila siku.

Akikosolewa Samia innocently utawasikia upendi maendeleo sukuma gang, yaani kila mtu aafiki kila kitu. Ni chawa wa Samia ndio wanamuweka Magufuli hai, awawezi tetea hoja on merit; mama yako akikosolewa badala ya kujibu hoja utasikia kazikwe na Magufuli chato, unabaki unajiuliza anaingia vipi hawa.

Mama asajili chawa wenye uwezo wa kujibu hoja, bila ya hao watu kukimbilia defence ambazo hazipo, utasikia Magufuli aliweza; sasa Magufuli anahusika vipi.
 
Wafuasi hao wa Magufuli hawafurahishwi na hatua yoyote ya maendeleo (kisiasa, kiuchumi, kijamii) inayopigwa na mama Samia ambayo Magufuli hakuifikia au hatua yoyote ya kufutwa kwa baadhi yq siasa za Magufuli zisizokuwa na maana kwa watanzania. Wao wanataka kuona Magufuli akisifiwa katikati ya utawala wa Samia (wakati Magufuli alikuwa kinara wa kubeza serikali zote za Tanzania zilizomtangulia) au kuona utawala wa Samia ukianguka kwa namna yoyote.
Naam sheikhe. Genge S mtakufa kwa chuki zenu dhidi ya Samia na maridhiano na Mbowe na wengine. Ungeni mkono juhudi za maridhiano la sivyo mtapotea kabisa.
 
Back
Top Bottom