Checheto
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 836
- 694
Kwa faida gani mbona amekufa?MAJIZI YANAENEZA PROPAGANDA MTANDAONI ZA KUMTWEZA JPM.
Ni kundi limeajiriwa lililo na MULTIPLE IDENTITIES mitandaoni kwa kazi maalumu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa faida gani mbona amekufa?MAJIZI YANAENEZA PROPAGANDA MTANDAONI ZA KUMTWEZA JPM.
Ni kundi limeajiriwa lililo na MULTIPLE IDENTITIES mitandaoni kwa kazi maalumu.
Ss wengine ayo maridhiano Wala ayatugusi SS tunaka aliyetu ya maisha irudi kama wakati wa magu au iboleshwe zaidi maana tunapoenda tunaweza kwenda nunua mkate Kwa pesa kujaza torori. Huu mfumuko ni mkubwa mno arafu kipindi kifupi. Arafu wenye akili tupige makofiNaam sheikhe. Genge S mtakufa kwa chuki zenu dhidi ya Samia na maridhiano na Mbowe na wengine. Ungeni mkono juhudi za maridhiano la sivyo mtapotea kabisa.
... mama anawawezesha graduates kujiajiri kwenye kilimo na matokeo yataonekana soon! Shughuli hiyo adhimu imefanyika 17.03.2023 na sio kwenda kutembelea makaburi kama mlivyokuwa mnalilia.
MAOVU YA MAGUFULI NI SEHEMU YA HISTORIA YETUMbona kama wewe ndio bado hujaamini?
Huyu mtu alitungisha mimba nyingi sana hapa nchini!
Inafika hatua maiti ina nguvu kuliko walio hai! Haijawahi kutokea.
Nawaombe amani kila siku manake wengine imekuwa ajira , sijui huko majumbani wanaadithia vitu gani....vilivyojiri kazini.Miaka 2 sasa wanaoumizwa na kifo cha jpm ni wapinzani wake kuliko waliokuwa wakimsapoti.
Huwezi furahia kifo cha mwenye haki ukabaki na amani,labda Mungu awe shemeji yako.
Huyu jamaa alikengeuka akaanza kumtukana hadi kikwete wakati kikwete ndiyo aliyempa mashavu.Happy.
Umetengeneza maovu mweee. Amani ikufikie.MAOVU YA MAGUFULI NI SEHEMU YA HISTORIA YETU
ANDREW Jackson ni Rais wa Saba wa Marekani. Aliongoza mwaka 1829-1837. Historia ilimkweza. Mwaka 1928, sura yake ikawekwa kwenye noti ya dola 20.
Miaka 88 baadaye, Serikali iliamua kuondoa picha ya Jackson kwenye noti ya dola 20. Sababu, Jackson alikuwa mfanyabiashara ya utumwa, alionea watu weusi na kukandamiza wahindi wekundu.
Kisha, picha ya mwanamama mwanaharakati, Harriet Tubman, ikapendekezwa ichukue nafasi ya Jackson.
Ingekuwa Tanzania, wagonjwa wa Stockholm Syndrome (wenye mahaba na watesaji), wangesema wanashindana na marehemu.
Pokea habari, historia hufundishwa kwa ajili ya mwendelezo wa mema na mafundisho ya kukwepa maovu yasijirudie.
Ukiona kiongozi anatolewa mifano mingi hasi, ujue alifanya maovu yaliyovuka kiwango cha ubinadamu.
Kuna tofauti kati ya makosa (errors au mistakes) na maovu (evils). Kukosea ni ubinadamu, kutenda maovu ni ushetani.
Wafanyabiashara kudhulumiwa fedha benki. Wamiliki bureau de change kunyang'anywa na kufilisiwa kikatili. Watu kuuawa kisha miili yao kuokotwa kwenye viroba fukwe za Bahari ya Hindi, hayo hayakuwa makosa ya kibinadamu. Ni maovu.
Tundu Lissu baada ya kupigwa risasi, akanyimwa mpaka matibabu, ubunge akafukuzwa, akadhulumiwa stahiki zake za ubunge akiwa kwenye kitanda cha matibabu. Haya hayakuwa makosa. Ulikuwa unyama. Ni uovu.
Kuchota fedha za umma Hazina. Sh1.5 trilioni. Sh2.4 trilioni. CAG Mussa Assad akabaini ufisadi wa Rais. Akasema Bunge ni dhaifu, halifanyi kazi ipasavyo. Rais akavunja Katiba na kumfukuza kazi. Wizi mkubwa kama huu na uvunjifu wa Katiba, sio makosa. Yalikuwa maovu.
Watu kupotea na serikali kujikausha kufanya upelelezi, sio makosa ya kibinadamu, ni ushetani. Ni uovu.
Kama ambavyo nchi nyingine hupitia historia za viongozi wao na kurekebisha, nasi hatutakaa kimya. Maovu ya Magufuli ni sehemu ya historia ya nchi yetu. Tutayasema sana. Dunia haipaswi kupotoshwa.
Miaka miwili imepita tangu alipofariki dunia. Wasiwasi umeondoka. Maovu mengi yameondoka. Ikiwemo ujambazi wa kubambikia watu kesi za uhujumu uchumi na kulazimisha watoe fedha. Pesa zikaingizwa akaunti binafsi na kufichwa China.
Ndimi Luqman MALOTO
My taķe;
Haya nadhani ndio majibu yenu sahihi watu wa yule mwovu!
Acha kututukana Watanzania, yule muhamiaji wa Kirundi kwanza tujue uraia aliupataje(kwa process zipi, za kimagumashi au halali zinazotambulika na taratibu zetu za uhamiaji).... yule mtu alikuwa na chuki kupitiliza; sijui alikuwa na matatizo gani. Anaweza kuvunja rekodi kama mtanzania mwenye chuki zaidi kuwahi kutokea.
... yule mtu alikuwa na chuki kupitiliza; sijui alikuwa na matatizo gani. Anaweza kuvunja rekodi kama mtanzania mwenye chuki zaidi kuwahi kutokea.
.Weka ushahidi unaodhihirisha ukatili wake.
Hawana akili hao Sukuma gang, Jiwe ana PhD feki ya maganda ya korosho na Makonda/Bashite ndiyo kabisa mpaka hata jina lake halisi halijulikani.... "theisis" ya jamaa iko wapi? Inatakiwa itumike kama rejea kwenye maandiko ya kisomi but that "public" document is nowhere to be seen. Lile ndio lilikuwa jizi #1 la elimu.
Kwani KIKWETE NDO NANI? SI JIZI TU LILE?Huyu jamaa alikengeuka akaanza kumtukana hadi kikwete wakati kikwete ndiyo aliyempa mashavu.
Kijana wa samia hujambo?Maua hunyauka, story huisha na kumbukumbu husahaulika...
MAJIZI YANA HOFUKwa faida gani mbona amekufa?
Kuna baadhi ya mambo mengi sanaa sikuyapenda kutoka Kwa JPM....Ni miaka miwili sasa tangu Magufuli afariki dunia, huku baadhi ya wafuasi halisi wa Magufuli wakigoma kuamini katika mioyo yao au kutambua katika akili zao kuwa, kwa hakika Magufuli alishakufa na milele hataweza kurejea tena huku siasa zake mbovu taratibu zikizikwa na rais Samia Suluhu.
Hao watu wanaamini kuwa japokuwa Magufuli kimwili alishakufa lakini kiroho bado anaishi katikati yetu, hivyo anaweza kuendelea kuathiri maisha yetu au ipo siku utawala na siasa zake zitafufuliwa upya na kuendelea kuongoza Tanzania!
Wapo wanasiasa wajanja waliokuwa wafuasi kindaki ndaki wa Magufuli waliweza kutambua kiuhalisia Magufuli hayupo tena na siasa zake hazina nafasi na kwa haraka sana wakaanza kuimba nyimbo mpya za kumsifia Samia huku wakimdhihaki kimtindo Magufuli na siasa zake.
Wafuasi hao wa Magufuli hawafurahishwi na hatua yoyote ya maendeleo (kisiasa, kiuchumi, kijamii) inayopigwa na mama Samia ambayo Magufuli hakuifikia au hatua yoyote ya kufutwa kwa baadhi yq siasa za Magufuli zisizokuwa na maana kwa watanzania.
Wao wanataka kuona Magufuli akisifiwa katikati ya utawala wa Samia (wakati Magufuli alikuwa kinara wa kubeza serikali zote za Tanzania zilizomtangulia) au kuona utawala wa Samia ukianguka kwa namna yoyote.