Wafuasi wa Hayati Magufuli bado hawajaamini kikamilifu kuwa alishafariki na siasa zake nyingi zinazikwa na Rais Samia

Wafuasi wa Hayati Magufuli bado hawajaamini kikamilifu kuwa alishafariki na siasa zake nyingi zinazikwa na Rais Samia

Wewe ni miongoni mwa wale wasiokuwa na hekima au kichwanj wewe ni kichaa. Kauli zenu hizi zinamletea mazingira magumu sana kisiasa Rais Dr Samia. Kwa ufupi Rais Samia kura za kanda ya ziwa mpaka sasa hana kabisa na asikudanganye mtu.
Aliyekuambia Ccm wanategemea kura ili kupata ushindi ni nani ?
 
Wapo wanasiasa wajanja waliokuwa wafuasi kindaki ndaki wa Magufuli waliweza kutambua kiuhalisia Magufuli hayupo tena na siasa zake hazina nafasi na kwa haraka sana wakaanza kuimba nyimbo mpya za kumsifia Samia huku wakimdhihaki kimtindo Magufuli na siasa zake.
Na huo unaita ujanja ?

Kweli tatizo ni mentality ya wengi na wala sio watawala, Yaani unaona watu ku-lack principles na kuwa machawa na flip-flopers ndio ujanja...

Hivi kichwani mwako unadhani faida ya siasa ni nini na ni kwa nani katika jamii ? Au umeshakubaliana na kinachoendelea kwamba ni platform ya kupata kura ili uweze kula ? Na kama ndivyo na wewe sio mlaji kwanini ushiriki katika kuwapa watu ulaji
 
Hao watu wanaamini kuwa japokuwa Magufuli kimwili alishakufa lakini kiroho bado anaishi katikati yetu, hivyo anaweza kuendelea kuathiri maisha yetu
Hii ni kweli kila wapendwa wetu wakitangulia mbele ya haki tunakuwa ni hatuko nao kimwili tuu lakini kiroho tunakuwa tuko nao hivyo hata Magufuli ni kweli ametangulia ila kwa wale wanaomkubali bado yuko mioyoni mwao, na ndio maana nikashauri Life After Life: Je, wajua Magufuli huko alipo anayaona yote? Je, tuendeleze 'double standards' ya 'cherry picking' au tuiachie Karma iwashughulikie?
au ipo siku utawala na siasa zake zitafufuliwa upya na kuendelea kuongoza Tanzania!
No hatuamini siasa zake zote lakini zile siasa zake nzuri na mazuri yake lazima yaenziwe na Samia ayaendeleze. Mambo kama haya
Wafuasi hao wa Magufuli hawafurahishwi na hatua yoyote ya maendeleo (kisiasa, kiuchumi, kijamii) inayopigwa na mama Samia ambayo Magufuli hakuifikia au hatua yoyote ya kufutwa kwa baadhi yq siasa za Magufuli zisizokuwa na maana kwa watanzania.
Sii kweli. Tuko akina sisi tulimkubali sana Magufuli na sasa tunamkubali sana Samia
Wao wanataka kuona Magufuli akisifiwa katikati ya utawala wa Samia (wakati Magufuli alikuwa kinara wa kubeza serikali zote za Tanzania zilizomtangulia) au kuona utawala wa Samia ukianguka kwa namna yoyote.
Hapana hatutaki Magufuli asifiwe, tusichotaka ni Magufuli asibezwe!. Tunaweza kumsifia Samia kwa mazuri yote anayoyafanya bila ya kumpondea Magufuli.
P
 
MAOVU YA MAGUFULI NI SEHEMU YA HISTORIA YETU

ANDREW Jackson ni Rais wa Saba wa Marekani. Aliongoza mwaka 1829-1837. Historia ilimkweza. Mwaka 1928, sura yake ikawekwa kwenye noti ya dola 20.

Miaka 88 baadaye, Serikali iliamua kuondoa picha ya Jackson kwenye noti ya dola 20. Sababu, Jackson alikuwa mfanyabiashara ya utumwa, alionea watu weusi na kukandamiza wahindi wekundu.

Kisha, picha ya mwanamama mwanaharakati, Harriet Tubman, ikapendekezwa ichukue nafasi ya Jackson.

Ingekuwa Tanzania, wagonjwa wa Stockholm Syndrome (wenye mahaba na watesaji), wangesema wanashindana na marehemu.

Pokea habari, historia hufundishwa kwa ajili ya mwendelezo wa mema na mafundisho ya kukwepa maovu yasijirudie.

Ukiona kiongozi anatolewa mifano mingi hasi, ujue alifanya maovu yaliyovuka kiwango cha ubinadamu.

Kuna tofauti kati ya makosa (errors au mistakes) na maovu (evils). Kukosea ni ubinadamu, kutenda maovu ni ushetani.

Wafanyabiashara kudhulumiwa fedha benki. Wamiliki bureau de change kunyang'anywa na kufilisiwa kikatili. Watu kuuawa kisha miili yao kuokotwa kwenye viroba fukwe za Bahari ya Hindi, hayo hayakuwa makosa ya kibinadamu. Ni maovu.

Tundu Lissu baada ya kupigwa risasi, akanyimwa mpaka matibabu, ubunge akafukuzwa, akadhulumiwa stahiki zake za ubunge akiwa kwenye kitanda cha matibabu. Haya hayakuwa makosa. Ulikuwa unyama. Ni uovu.

Kuchota fedha za umma Hazina. Sh1.5 trilioni. Sh2.4 trilioni. CAG Mussa Assad akabaini ufisadi wa Rais. Akasema Bunge ni dhaifu, halifanyi kazi ipasavyo. Rais akavunja Katiba na kumfukuza kazi. Wizi mkubwa kama huu na uvunjifu wa Katiba, sio makosa. Yalikuwa maovu.

Watu kupotea na serikali kujikausha kufanya upelelezi, sio makosa ya kibinadamu, ni ushetani. Ni uovu.

Kama ambavyo nchi nyingine hupitia historia za viongozi wao na kurekebisha, nasi hatutakaa kimya. Maovu ya Magufuli ni sehemu ya historia ya nchi yetu. Tutayasema sana. Dunia haipaswi kupotoshwa.

Miaka miwili imepita tangu alipofariki dunia. Wasiwasi umeondoka. Maovu mengi yameondoka. Ikiwemo ujambazi wa kubambikia watu kesi za uhujumu uchumi na kulazimisha watoe fedha. Pesa zikaingizwa akaunti binafsi na kufichwa China.

Ndimi Luqman MALOTO

My taķe;
Haya nadhani ndio majibu yenu sahihi watu wa yule mwovu!
Haya ni maelezo tu kama UDAKU kama ule kila ghorofa au petrol stations ni vya RIZWAN ili ku justify kile unachisema attach USHAHIDI...

Hayo yote uliyosema ambatanisha na ushahidi itakuwa bora zaidi
 
Kama MWENYEZIMUNGU alimundoa yule Lucifer hawezi shindwa kwa nyie shetani ndogondogo
Naona umji shetani maana nyie mnaafanana Mai la kulwa na doto ,inawezaje kuwa na vyeti feki wakati Kunatoto kakomaa nakuni ,shule ,mlo mmoja shule mpaka chuo apati kazi ,ala shetani ww umetengeneza cheti feki sababu mjomba ana cheo kakipa kazi mashetani nyiye
 
Mbona kama wewe ndio bado hujaamini?

Huyu mtu alitungisha mimba nyingi sana hapa nchini!

Inafika hatua maiti ina nguvu kuliko walio hai! Haijawahi kutokea.
USSR bhana una id kibao za kulinda legacy feki
 
Back
Top Bottom