Waganga wa jadi 10 wapelekwa Kigoma kupambana na Wachawi, DC aweka ngumu

Waganga wa jadi 10 wapelekwa Kigoma kupambana na Wachawi, DC aweka ngumu

Uchawi utapungua polepole ukianzia na mikoa iliyoendelea na mwisho mikoa iliyo nyuma. Uchawi hautakwisha kabisa ila utapungua.

Kigoma inasifika kwa jambo hilo.
Uchawi, ushirikiana na ugqnga wa kinyeji ni jadi Yao, hawawezi kuacha.

Kigoma my home place, nini tena huko?

Munaendekeza UCHAWI Sana, nipo hapa Mwanga Center uchaw tupu

Si wamuiite mwamposa

Mchawi mpaka umkosee hivi hivi uchawi haufanyi kazi

 
Halafu hao jamaa huwa wanalalamika kwa nini maendeleo yanachelewa kuwafikia..

Waamue moja.
 
Mwenye Enzi Mungu tunaomba hekima na busara zako zishuke kwa wana nchi wa Tanzania [emoji1241] yetu uwiiiii[emoji24][emoji24][emoji24]
 

Wananchi wa Kijiji cha Sunuka, Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma wameshirikiana na Serikali ya Kijiji kuchukua Waganga wa Jadi zaidi ya 10 kutoka Sumbawanga ili kukagua wachawi waliomo ndani ya kijiji chao wakidai ndicho chanzo cha utitiri wa vifo vya vijana katika mazingira ya kutatanisha.

Baadhi wa Wananchi walikusanyika na kuandama barabarani wakiimba “Tumechoka na uchawi” huku wakisapoti kile kinachofanywa na Viongozi wao.

Hata hivyo operesheni hiyo imepingwa vikali na Mkuu wa Wilaya ya Uvinza, Dinah Mathamani ambaye amezuiwa kuingia kijijini hapo ikiwa yupo kinyume cha mpango huo.

DC Dinah Mathamani amesema “Tumejadili na viongozi kuhusu suala hili, wale wanaojiita Waganda wanatakiwa kuondoka katika wilaya yetu, hatua kali zitachukuliwa dhidi yao na viongozi wanaoshirikiana nao.

Chanzo: UFM
Yaani mganga akapambane na mchawi?😳🤔
Sifa ya kwanza ya mganga lazima awe mchawi, sa hapo wanakuwa wamemfanya nn?
 
Hakuna uchawi wa kuzuia risasi. Hayo ni matokeo ya ujinga. Yalianza huko kwa Kinjekitile. Na si Kinjekitile tu, Wahindi wekundu walikuwaga nao na mganga aliyewadanganya kuwa ana dawa wakipigwa risasi na wazungu hazitawadhuru. Na zaidi ni kuwa jeshi hupingq vikali imani za kishirikina. Maana nirahisi sana kudemoralize jeshi linaloamini uchawi.
Jamaa na Kigoma yake ya Jeshi la wachawi alafu wanachangishwa malipo.Pumbafffff kabisa.
 
Unahisi huyo Dc kurogwa inashindikana kijana....kuna mambo ya kienyeji yapo sana na yanafanya Kazi.

Kuna trafki mmoja hapo KG alikuwa mtata alipigwa Ugonjwa na hedhi Mwaka mzima...unaambiwa sasa hivi kapoa.....kuna Hakimu alivimbishwa tumbo kama mimba mwishowe akafa.

Hatutakiwi kuamini ushirikina ila upo mzee,hapo Kigoma ni mambo yapo toka Kitambo.

Endometriosis au ovarian fibroids inaweza sababisha irregularities za hedhi. Tumbo kuvimba ni maradhi ambayo yapo na yanatibika. Nyie watu ni wapu.mbavu kiasi gani hadi mnaamini magonjwa yanayotambulika kisayansi na kutibika ni ushirikina? Ipo siku mtasema malaria na kipindupindu ni ushirikina.

Umaskini na ujinga bado ni janga la taifa.
 
Ndio naamini, kama fimbo ya musa iligeuka nyoka na ikameza nyoka wote wa waganga wafarao kwanini nisiamini kuwa mamba anaweza kugeuka kuwa mtu?

Uchawi ulisha kuwepo kabla hata ya ujio wa yesu ukisha lijua hilo basi huna hata haja ya kutilia shaka uwepo wa ushirikina katika ulimwengu wa leo

Wewe hiyo fimbo ya musa uliiona au nayo ni hearsay kama story zote za ushirikina zilivyo?
Mtu kugeuka mamba hearsay.
Watu kupaa na ungo hearsay.
Mama kujifungua jiwe hearsay.
Wachawi kupenya ukutani hearsay.
Fimbo ya musa hearsay.

Inabidi uwe zwazwa grade A1 kuamini hizi story za kusadikika.
 
Wewe hiyo fimbo ya musa uliiona au nayo ni hearsay kama story zote za ushirikina zilivyo?
Mtu kugeuka mamba hearsay.
Watu kupaa na ungo hearsay.
Mama kujifungua jiwe hearsay.
Wachawi kupenya ukutani hearsay.
Fimbo ya musa hearsay.

Inabidi uwe zwazwa grade A1 kuamini hizi story za kusadikika.
Hizi Ni picha halisi na sio edit... Sasa wewe peleka matako yako kwa hao mamba uone wanavyokutawanya mavi
 

Attachments

  • IMG-20221109-WA0039.jpg
    IMG-20221109-WA0039.jpg
    14.5 KB · Views: 7
  • IMG-20221109-WA0040.jpg
    IMG-20221109-WA0040.jpg
    15.9 KB · Views: 7
  • IMG-20221109-WA0038.jpg
    IMG-20221109-WA0038.jpg
    22.7 KB · Views: 7
Hizi Ni picha halisi na sio edit... Sasa wewe peleka matako yako kwa hao mamba uone wanavyokutawanya mavi

Watu wanacheza na cobra, Simba, bear wanyama wa Kila aina nini ajabu kucheza na mamba? Google Dean Schneider ujionee akicheza na wanyama wa Kila aina mbugani. Wewe kwako huu ndo uthibitisho wa ushirikina? Hapo Kuna mtu kageuka kuwa mamba? Huko shuleni mlisomea ujinga?

Ujinga na umaskini bado ni janga la taifa.
 
Hivi vitu vipo mdogo wangu...kitu ambacho hukijui au hukiamini haina maana hakipo. Unakuta ni upeo wako tu (ujinga) ndo unakusababisha ubishe.

Sitaki kuamini Mimi sio zwazwa. Nataka uthibitisho.
 
Nashangaa waganga kupelekwa Kigoma wakati kule ndio kwenyewe kwa uganga.

Wananchi wa Kijiji cha Sunuka, Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma wameshirikiana na Serikali ya Kijiji kuchukua Waganga wa Jadi zaidi ya 10 kutoka Sumbawanga ili kukagua wachawi waliomo ndani ya kijiji chao wakidai ndicho chanzo cha utitiri wa vifo vya vijana katika mazingira ya kutatanisha.

Baadhi wa Wananchi walikusanyika na kuandama barabarani wakiimba “Tumechoka na uchawi” huku wakisapoti kile kinachofanywa na Viongozi wao.

Hata hivyo operesheni hiyo imepingwa vikali na Mkuu wa Wilaya ya Uvinza, Dinah Mathamani ambaye amezuiwa kuingia kijijini hapo ikiwa yupo kinyume cha mpango huo.

DC Dinah Mathamani amesema “Tumejadili na viongozi kuhusu suala hili, wale wanaojiita Waganda wanatakiwa kuondoka katika wilaya yetu, hatua kali zitachukuliwa dhidi yao na viongozi wanaoshirikiana nao.

Chanzo: UFMha Wag
 
Wewe hiyo fimbo ya musa uliiona au nayo ni hearsay kama story zote za ushirikina zilivyo?
Mtu kugeuka mamba hearsay.
Watu kupaa na ungo hearsay.
Mama kujifungua jiwe hearsay.
Wachawi kupenya ukutani hearsay.
Fimbo ya musa hearsay.

Inabidi uwe zwazwa grade A1 kuamini hizi story za kusadikika.
Wewe bado mtoto na bado unalelewa na umekulia ndani kama kuku wa kisasa huna lolote unalo lijua katika kichwa chako zaidi ya theories za kukalili darasani ndio maana huwezi bishana na watu wazima walio ona mengi
 
Wewe bado mtoto na bado unalelewa na umekulia ndani kama kuku wa kisasa huna lolote unalo lijua katika kichwa chako zaidi ya theories za kukalili darasani ndio maana huwezi bishana na watu wazima walio ona mengi

Sasa nani aliyekariri Mimi au nyie mnaoamini binadamu anageuka mamba sijui fimbo ya musa imemeza nyoka? Hata mambo madogo hivi mnashindwa kung'amua. Tumia kichwa kufikiri sio kufugia nywele tu na kujaza story za abunuasi 🤣🤣🤣

Bado mnarukaruka tu kama maharage badala ya kutoa uthibitisho wa story zenu za hearsay. Uzwazwa ni janga la taifa.
 
Wewe bado mtoto na bado unalelewa na umekulia ndani kama kuku wa kisasa huna lolote unalo lijua katika kichwa chako zaidi ya theories za kukalili darasani ndio maana huwezi bishana na watu wazima walio ona mengi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]

Hawa watoto ndio maana wanakuwa machoko kihasara hasara wanajikuta wanaliwa viboga!

Anajitia ubishi mwenyewe, amekariri vitini vya CIVICS humwambii kitu [emoji851]
 
Back
Top Bottom