Waha tupeni majibu ya hii kauli ya Lissu; 'Kuna kijiji kinaitwa Kazura Mimba kipo Kigoma, kina watoto wengi kweli kweli'

Waha tupeni majibu ya hii kauli ya Lissu; 'Kuna kijiji kinaitwa Kazura Mimba kipo Kigoma, kina watoto wengi kweli kweli'

Nakumbuka ilikuwepo camp ya wakimbizi mitaa hiyo, wale warundi wanazaliana sana kwakuwa UN inawalisha regardless of how many they are
 
Hicho kijiji kimetumika kama mfano tu kwa sababu katika watu wanaozaana sana, wao wanaonekana kushinda ligi.

Ila, kiujumla, Watanzania wanazaana sana. Kuanzia kwa Waha magharibi, mpaka kwa Wasukuma kanda ya ziwa Nyanza, mpaka mashariki Pemba kwa Wapemba. Kwa mifano michache tu.

Kwa hii national population growth rate ya 3% Tanzania ita double population in 23 years. Yani katika miaka 23 ijayo, idadi ya watu itazidi milioni 140. Miji kama Dar wenye population growth rate ya 4% or more inaweza ku double population katika miaka 15 tu.

Sasa hapo maendeleo tutaweza vioi wakati kika cha ziada tynachopata kinaenda kulisha watoto?

It's like we are running on a treadmill, running just to stay at tge same place, how do we expect to get ahead like that?

Muache Tundu Lissu aseme ukweli tu. Huo ndio uongozi.
Na kichocheo kikubwa cha Tanzania watu kuzaana sana nahisi ni upatikanaji wa chakula. Hii nchi watu wanakula vizuri sana tena sana.

Kuna sehemu inaitwa Matombo Morogoro aisee yaani ukienda kule mavitu ya kula ni nje nje, watu hawana fedha mfukoni ila mavyakula ni ya kumwaga.

Ndo maana pia inakuwa ngumu sana kwa raia wa nchi hii kupigania mabadiliko ya kisiasa, wanaona kwamba hayana mashiko kwenye maisha yao kwasababu wanakula wanashiba kila siku na chakula kipo tu.

Nchi kama Kenya ambayo ni semi desert pamoja na kuwa na GDP kubwa hakuna chakula, wana struggle sana huo upande, hawana misosi kama sisi ndo maana pia population growth yao sio kivile
 
Back
Top Bottom