Sasa ulinzi uko pale pale kibin ya gari tena scania inachukuliwa ilivyo kubwa kuifungua na kuitoa tena kwenye maji na na kuna mamba nao walinzi mle kibin inaondoka wee unafikiri ni mlala hoi kama mimi na wewe naweza fanya hivyo bila mimi mwizi nisilindwe?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapo sawa mamaeeee....itakuwa wamepita nayo huko chinii yanii khaaa
Aisee msalaa sanaa...hapo mama kachezewa mchezoo!! Kama kuna walinzi walikuwa wanalinda usikuu imeishaa hiyooo na wale waliojaribu kuitoaa mara ya kwanzaa wanaweza kuwa wanahusika kwa asilimia 80Sasa ulinzi uko pale pale kibin ya gari tena scania inachukuliwa ilivyo kubwa kuifungua na kuitoa tena kwenye maji na na kuna mamba nao walinzi mle kibin inaondoka wee unafikiri ni mlala hoi kama mimi na wewe naweza fanya hivyo bila mimi mwizi nisilindwe?
Pale juu kulia kama unatoka tanga kuna kambi kubwaaa ya jeshi na pale pale mtoni pembeni kushoto kama unaenda kuna kituo cha polisi. Hivyo hao wezi nao wanaujuzi fulani.
Kingine huwezi jua mamba nao mle wamo
Hiyo ishu ni kubwa sana uchunguzi ukifanyika bila upendeleo kuna watu watafungwa kwa kuhusikaAisee msalaa sanaa...hapo mama kachezewa mchezoo!! Kama kuna walinzi walikuwa wanalinda usikuu imeishaa hiyooo na wale waliojaribu kuitoaa mara ya kwanzaa wanaweza kuwa wanahusika kwa asilimia 80
Hiyo ishu ni kubwa sana uchunguzi ukifanyika bila upendeleo kuna watu watafungwa kwa kuhusika
Eheeee.. ndio hao haosasa wee ndio umenielewa.mamba wameanza lini kula chuma..au unataka kutuambia mamba waliifungua cabin na engine na kuondoka nayo........
Ndio havyo mamba nao wamefaidiNoma aisee ila yule mama ana bahati mbaya sana...!!
Mimi sijakuelewa. Hapa sasa unamaanisha injini imechomoka na kuzama majini au?Mkuu, ebu kwa akili ya kawaida jaribu kifikiria uzito wa Geabox na Engine. Kisha jiulize Cabin mbona haijatoka na chassis??
Kisha nikujibu tu kwamba bolts zinazo kamata Engine mauntain ni nne pekee zenye unene wa 16 millimeters.
Gearbox inaunganishwa na bolts 10 zenye unene wa 10 millimeters kutoka kwenye flyn wheel pamoja na pressure, inayo ungana na bell housing ya aluminum.
Sasa.....
Ile impact ya force plus weight kutoka kule juu darajani ingeweza kuhimili kuto kusambaa kwa gari lile...??
Wahuni hawa deal na mitandaoKama ni kweli maneno yako Mkuu basi na walaaniwe hao wahuni,Sasa hapo tukimuita yule Bibi wa Kijaluo Awafanyie dawa waje Kunywa Maji ya Mtoni mtatulaumu kweli?Wahuni ebu rudisheni haraka Engine ya Dada wa Watu.
Misaada ya nchi hii inatolewa kwa kikiHilo Lori limeopolewa kwakuwa Mmiliki wake Yule Mama alionekana akilia Mitandaoni au? Je, na wenye Umasikini nao Wakilia hivi watasaidiwa?
Walioiba watakuwa watoto wa dawaπKama ni kweli maneno yako Mkuu basi na walaaniwe hao wahuni,Sasa hapo tukimuita yule Bibi wa Kijaluo Awafanyie dawa waje Kunywa Maji ya Mtoni mtatulaumu kweli?Wahuni ebu rudisheni haraka Engine ya Dada wa Watu.
π π π π πCc:farouk karim
Mimi nitakua wa mwisho kuamini hili kwasabu.... Ebu kwa akili ya kawaida jaribu kifikiria uzito wa Geabox na Engine. Kisha jiulize Cabin mbona haijatoka na chassis??
Kisha nikujibu tu kwamba bolts zinazo kamata Engine mauntain ni nne pekee zenye unene wa 16 millimeters.
Gearbox inaunganishwa na bolts 10 zenye unene wa 10 millimeters kutoka kwenye flyn wheel pamoja na pressure, inayo ungana na bell housing ya aluminum.
Sasa.....
Ile impact ya force plus weight kutoka kule juu darajani ingeweza kuhimili kuto kusambaa kwa gari lile...??
Roho inamuuma kuona yule mama amesaidiwaKwa hiyo unalalamika?
Nashangaa mpaka leo hajaifungulia thread hii habari na ishu zake sijui jicho la tatu sikio la nne mara roho ya Nini sijui Mara nafsi ya kumiNitakuwa wa mwisho kuamini kwamba imeibwa.
Namsubiri Mshana Jr atupe bandiko kwanini tukio liwe hivi.
Atupe uchambuzi nyuma ya pazia
Nami naungana na wewe, injini itakuwa imebaki ndani ya maji kutokana na impactMkuu, ebu kwa akili ya kawaida jaribu kifikiria uzito wa Geabox na Engine. Kisha jiulize Cabin mbona haijatoka na chassis??
Kisha nikujibu tu kwamba bolts zinazo kamata Engine mauntain ni nne pekee zenye unene wa 16 millimeters.
Gearbox inaunganishwa na bolts 10 zenye unene wa 10 millimeters kutoka kwenye flyn wheel pamoja na pressure, inayo ungana na bell housing ya aluminum.
Sasa.....
Ile impact ya force plus weight kutoka kule juu darajani ingeweza kuhimili kuto kusambaa kwa gari lile...??
hahahahah una ufala mwingi sanaKumbuka wami kuna mamba wenda walianza kula hivyo vitu taratibu