Waishio milimani Jijini Mwanza watakiwa kuondoka kupisha mwekezaji

habari njema kwa watu wa Mwanza, mwanza inakwenda kubadilika
 
Nimezaliwa Njombe naishi Mbeya na nini shughuli za uzalishaji mali kwenye mikoa 3 tofauti..

Una swali jingine? Unadhani kila anaemsapoti Rais ni mkabila kama yule zwazwa wenu?
Lakini mkuu, sio vyema kuita nyumba za wenzio uchafu, hata hio nyumba yako nzuri kwa wengine ni choo tena cha kujisaidia wageni, tembea uone.
 
Wanafufua miradi yote ya awamu ya nne.

Awamu ya sita ni replica ya awamu ya nne.
 
#HABARI WAKAZI wa Jiji la Mwanza waliojenga maeneo ya milimani wanatarajiwa kuondolewa ili kupisha wawekezaji kutoka nchini Brazil./https://t.co/QD6YHUbiF5 https://t.co/8CILpXP7qFView attachment 2260361
Muondoke huko Milimani ila mlipwe au mjengewe apartments. Nyumba bila barabara? Hivi waafrika tutaelimika lini? Tunaongeza slums kwenye miji yetu...Hakuna mpangilio, muondoke haraka sana.
 
Hii mambo ya kuuza nchi vipande vipande tunapata hasara, kama vipi tuuze jumla kila mtu apewe chake asepe.

Lakini hiyo familia ya Brazil itajenga kwenye milima yote ya Mwanza Mabatini, Kirumba, Igogo, Mahina mpaka Ibanda huko?
nadhani umeishia kusoma kichwa cha habari tu kwa uvivu wako
 
Haya, tukitoka huko tunaingia Posta,Dar es Salaam.
 
Mimi kwetu Igogo, Naunga mkono wahamishwe.

Ukiangalia vizuri pale igogo ni karibu kabisa na mjini kati ambapo ni eneo zuri sana kibiashara pia limepakana na ziwa ambapo zinaweza jengwa hotels n.k

Ujenzi wa kwenye mawe ni gharama ndomana wakazi wengi wa igogo wanishi kwenye nyumba za zamani ambazo nyingi zimechakaa sana.

Wakazi wa igogo hawana uwezo wa kupaendeleza pale.

Kuna baadhi ya matajiri wao waliona fursa mapema igogo wakawa wanawaamisha watu.
 
Hasara gani? Anauziwa nani? China wangeendelea kuwachekea wajinga kama nyie isingekuwepo pale ilipo..

Maendeleo yana gharama ikiwemo kufyeka wajinga kama nyie,MKapa aliwafukia kule kwenye migodi walipoleta ubishi wa kitoto.
Mkapa wako sasa hivi ana tofauti gani na hao aliowafukia si, tena bora aliowafukia maana yeye anaoza huko kuzimu.

Unasifia ujinga wa kuuza nchi kwa mikataba isiyo na masilahi na taifa.

Walifukia watu kwenye migodi ili wawekeze kwenye dhahabu mpaka Jiwe ndio akaja kutusanua kwamba jamaa wanasomba dhahabu bure. Kusifia upuuzi kama huu ndio kuwa na akili wewe punguani?

Mikataba ya miaka kibao watu wanachukua rasilimali za nchi bure ndio maendeleo?

Sijawahi kuona chawa mpumbavu kama wewe.
 
Tofauti ipo yeye kaacha familia yake kwenye neema
 
Lakini mkuu, sio vyema kuita nyumba za wenzio uchafu, hata hio nyumba yako nzuri kwa wengine ni choo tena cha kujisaidia wageni, tembea uone.
Hizi sio nyumba ni mabanda hata pa kuweka kimba zao hakuna..

Au maana ya Nyumba siku hizi imebadilika? Acha unafiki,Hizi ni nyumba? 👇
 

Attachments

  • IMG-20220509-WA0008.jpg
    44.5 KB · Views: 3
Vile vibanda pale mlimani vibomolewe tu,ile sehemu kama tunapata muwekezaji ni sehemu nzuri sana kwa utalii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…