Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mbona huku bara wanajenga Kila mahaliKama mnavyoona na na kusikia.
Habari ndiyo hiyo. Sijui hizi dini zinatupeleka wapi.
By the way ni vitu ambavyo havitakiwi kudekezwa hata kidogo.
Bahati mbaya politicians wetu huwa wanatumia advantage za kidini na ukabila kushawishi watu. Jambo ambalo siyo Sawa hata kidogo.
View attachment 2381744
CCM na USA Si ndio sababu ya matatizo yote duniani?Kwanini?
Sasa kama hampendi maisha ya hapa duniani, kwanini msijiue kuliko kuua wengine na kuwa kero kwa wanaoyapenda?Kumbuka tajiri wa kidunia ndiye maskini wa akhera
Kwa Akili yako ulaya ni ya waislam? Stupid kufar talk nonsenseZuzu mimi?? Ila mkifika nchi za Ulaya hamkufuru kwa nguruwe wanaouzwa na kuchanganywa na kuku
Mimi naona waislam wangeishia kuwa wajinga tu ingetosha.....ila ujinga + unafiki???? Aaah it's too much aiseeWana wasiwasi ukristo utashika atamu kwenye maeneo yao, yani kule Zanzibar wanafanya mambo ya ajabu utakuta kijana wa kizanzibari anavuta bangi mlevi hafanyi ibada mwizi lakini ikifika wakati wa mfungo wa Ramadhani akikuona mkristo unakula tu anataka kukupiga, mfano wazazi wakule mtoto wao akila kitimoto familia inamtenga lakini mtoto huyo huyo akivuta bangi akiwa mlevi akiwa mwizi familia haioni tatizo, kule wazanzibari bari ndiyo wanaoongoza kwa uasherati na ulevi, yani wakati wa mfungo wa Ramadhani bar zote zinafungwa mama lishe hawaruhusiwi kufanya biashara ya vyakula mchana, Ramadhani ikiisha kesho yake bar na Gest zinafunguliwa.
Mzee fal..a na mnafiki kiseng..e yule.Nyuzi kama hizi huwezi kumuona mzee Mohamed Said , ingekuwa vice versa angekuwa mchangiaji wa kwanza hapa akitoa historia ya unyanywaswaji wa waislamu
Acheni roho mbaya chuki na unafiki kisa dini..kila mtu ana haki na uhuru wa kuabudu...popote pale JMT.Utakufa na chuki zako wewe mvaa rozari ya mpapai...
Unataka kuniambia hayo machoko yaliyojaa zenji..ubakaji wawatoto wadogo ndio tamaduni zenu za asili.?Tatizo Ni moja hao watu huwa Wana plans za kuvuruga tamaduni zilizopo...athari za hao Ni long-term effects......Nina mifano mingi hasa nyumbani,,,hapo watajenga na bar,guests kumbi za miziki na kutoa misada ya kukufurisha waislamu
Ninakadhia ya kuishi na hao jamaa karibu kwhy siungi mkono mkristo kutoka Mara aje kunijengea Mimi kanisa Mtwara ....kila watu na tamaduni zao kwhy tusiingiliane...Wao hufanya hayo hadharani, lakini yafanywayo gizani na hao waislamu wanaopinga gesti, bar etc ni hatari sana. Kama unakufahamu Msimbati, kule mtwara, kile kijiji kina % kubwa ya waislamu. Hawataki gesti ijengwe pale. Lakini nenda beach kuanzia saa 1 usiku wakati giza lishaingia, NI UZINZI KWA KWENDA MBELE KULE KWENYE MCHANGA WA BICHI..!! Halafu kijiji ni kidogo na almost wote wanafahamiana. Sasa unamuna fulani yule anazini hapo na wewe upo na wako hapa..!!
Huoni aibu kuropoka huu utumbo....huna reference kaa kimya dogoKila sehemu wanapokaa waislam ni machafuko. Kanisa lijengwe kuwafundisha ustaarabu hao viumbe.
Naam,kwa sababu ataabudia kisichostahiki kuabudiwaYaani mtu akijenga kanisa karibu yako ndo kakukufurisha?
Usihusianishe uovu wa mtu na Imani yake anaweza kuitwa Musa lkn akawa Ni kufar...kule Moshi mchungaji kafanya yake kwa mabinti zaidi ya 10 Tena mtu mmojaUnataka kuniambia hayo machoko yaliyojaa zenji..ubakaji wawatoto wadogo ndio tamaduni zenu za asili.?
#MaendeleoHayanaChama
Naam na ndio maana ulaya na America na popote palipo makanisa ndipo kwenye viwango vikubwa vya Mambo Kama uzinzi,ujambazi,,madawa ya kulevya,wizi,dhuluma,ukimwi,ulevi na kila Aina ya mabayaKwahiyo kanisani wanaubili maovu?
Nini hukuelewa ndugu!?Zuzu kweli wewe,mahusiano ya kijamii ya kukufurishana???
Mmomonyoko wa maadili na maovu mengi yanayotokea Zanzibar offcourse ni kwa sababu ya external forces,hivi huoni kiwango Cha wageni wanaoingia kutalii kule? Hivi hujaona tofauti ya sehemu zisizotembelewa na idadi kubwa ya wageni na zile zinazotembelewa?Unataka kuniambia hayo machoko yaliyojaa zenji..ubakaji wawatoto wadogo ndio tamaduni zenu za asili.?
#MaendeleoHayanaChama
Kuhusu nn?N
Nini hukuelewa ndugu!?