Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Mtume anasema "umma wangu utagawanyika makundi 73 yote yataingia motoni isipokua moja tu ambalo litakua kama yeye na maswahaba zake walivo" sasa ww unasemaje huna dhehebu?
Dhehebu la haki na la kulifuata ni lile lenye kufuata Qur'an na sunna za mtume na hao si wengine nao wanajulikana ni Assalafiyun peke ao
Acheni kutisha watu..kifo kipo tu.Duuuuu! Ukiwa na uzima binadamu unakuwa na jeuri kwelikweli ,hongera sana mkuu na hicho kiburi chako cha uzima
Kwamba unatangaza amani huku umeficha mapanga..dini ya hakhi.Mtaongea sana, adhana itaendelea kama kawaida,,,, sasa ajifanye mtu kuzuia, atakipata akitakacho na huko ataenda kusimulia
Ndio mafunzo yenu makubwa kutukana...uwezo wa kujibu hoja hamnaga.Nyie mbwa hizi spekaker mmezikuta huku mitaani na mtaziacha. Na hakuna cha kutoa spekaker misikitini. Kama hamtaki kusikia adhana nendeni mkaishi mbali na misikiti mbuzi nyie
Hizo Adhana ndio zinakusaidia kuwahi kukiamsha ili uende kwenye Shughuli zako.Mleta uzi upo sawa..mana ni kero kweli kweli kupigizana makelele kuamshana watuwazima kama watoto wadogo ambao hawajui nini cha kufanya.
Wengi wafia dini watakupinga ila zama zimebadilika watumie hata group za WhatsApp kuamshana kuswali.
Kama unaishi karibu na msikiti hakika ni kero kweli kweli wengine hadi sifa sasa..mpaka mawaiza wanafanya hayo maspika yakiwa on.
Mbaya zaidi adhana zenyewe ni full kutishana mara ooh kitanda kaburi mara shuka ni sada..utadhani wao wameyapatia maisha sana kumbe ndio wale wale.
Ni muda sasa wa kuachana na analogia na kwenda kidikitali...alam zinatosha.
#MaendeleoHayanaChama
Nadhani hayo unayaongea ukiwa pemba njoo mbeya basi useme hayo maneno yako.Nawaona mnaanza choko choko, watu wenyewe ni wachache mkijichanganya tutawamaliza.
Mbeya nzima muislam ni Juma MwambusiNadhani hayo unayaongea ukiwa pemba njoo mbeya basi useme hayo maneno yako.
#MaendeleoHayanaChama
Wewe ni wamotoni dhehebu lako sio la mtume..pole sana.Kwahiyo Assalafiyun ndio dheheb pekee sahihi? Ibadhi, Sunni n.k ni wamotoni??
Ndugu yangu, unajua Bid'aa ni nini kwanza kishari'ah ?Haya Sheikh niambie hayo niliyopinga, kama ni loudspeakers enzi za Nabii Muhammad (SAW) hazikuwepo. Hata enzi zetu tulipokuwa wadogo watu wakiadhini tu kwa kutumia sauti na watu wakienda kusali kama kawaida.
Munaongeza mambo ya bid'a halafu munasema eti tunapinga. Subhaana 'llah
Najua umeandika kutukejeli Waislam ila fahamu Adhana ni jambo la Kishari'ah. Sio kwamba wakati ule labda Adhana ilikuwa ni ubunifu fulani hivi wa kiteknolojia, la, bali hiyo ni Ibada iliyowekwa Kishari'ah.Hizi simu za wazungu?
Elimu dunia hiyo hatuitaki
Wairan washia saudia wasunni...watapatanaje mkuu?Mimi naona saudia uislam upo maka na madina TU.angalia wafanyakazi wa ndani wanavyopata shida huko saudia utasema uislam ndo unafundisha haya?dola la kiislam linashindwa vipi KUTETEA dhulma inayofanywa na watu wake?haya leo saudia na Iran hawapatani nao NI waislam wenzetu lakini haziwivi.saudia yeye ni Kama mama anatakiwa atuunganishe waislam yeye ndo kioo ila anayifanya anayajua mwenyewe.mimi uwa nasema SINA DHEHEBU Mimi ni muislam.kama nakosea Mungu atanisamehe
Ndo maana nimemjibu sheikh hapo juu kuwa Mimi ni Muislam ila sipo DHEHEBU lolote .maana haya madhehebu ndo yamekuja kutuvuruga waislamWairan washia saudia wasunni...watapatanaje mkuu?
Mpaka hapa naona upo mbali na watu wenye elimuNitajie DHEHEBU la mtume muhammad.kati ya haya tuliojipa waislam
Kasome nduguKwahiyo Assalafiyun ndio dheheb pekee sahihi? Ibadhi, Sunni n.k ni wamotoni??
Nini maana bid'aa?Haya Sheikh niambie hayo niliyopinga, kama ni loudspeakers enzi za Nabii Muhammad (SAW) hazikuwepo. Hata enzi zetu tulipokuwa wadogo watu wakiadhini tu kwa kutumia sauti na watu wakienda kusali kama kawaida.
Munaongeza mambo ya bid'a halafu munasema eti tunapinga. Subhaana 'llah
Mimi sina tatizo,ongezeni sauti kabisaNajua umeandika kutukejeli Waislam ila fahamu Adhana ni jambo la Kishari'ah. Sio kwamba wakati ule labda Adhana ilikuwa ni ubunifu fulani hivi wa kiteknolojia, la, bali hiyo ni Ibada iliyowekwa Kishari'ah.
Na kuhusu "Elimu Dunia"; Uislam haukatazi kusoma "Elimu Dunia" wala kutumia teknolojia za kisasa. Itoshe tu kusema hivyo kwa sasa.