Wairan washia saudia wasunni...watapatanaje mkuu?
anglican muingereza , romancatolic waitaly , watajuaje dini hawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wairan washia saudia wasunni...watapatanaje mkuu?
Mbeya nzima muislam ni Juma Mwambusi
Yaani kujua Muhammad kuwa alikuwa Sunni,Shia au ahmadiya.wahhab no nalo linahitaji kuwa na ELIMU.?Kuna Quran Kuna hadithi za mtume umeshindwa kutafuta huko?hayo madhehebu mliyojipa ndo chanzo cha waislam KUBAGUANA.na mtume hakufundisha hivyoMpaka hapa naona upo mbali na watu wenye elimu
Epuka kua mbishi mpaka jina lako ilo likakusadifu kua ni kweli
Nadhani hayo unayaongea ukiwa pemba njoo mbeya basi useme hayo maneno yako.
#MaendeleoHayanaChama
Yaani kujua Muhammad kuwa alikuwa Sunni,Shia au ahmadiya.wahhab no nalo linahitaji kuwa na ELIMU.?Kuna Quran Kuna hadithi za mtume umeshindwa kutafuta huko?hayo madhehebu mliyojipa ndo chanzo cha waislam KUBAGUANA.na mtume hakufundisha hivyo
Na kengele vipi!?Ata kigali tuu adhana ya asubuhi ilipigwa marufuku kipindi fulani
Sema si vibaya maana haichukui muda sana. Inavumilika.
Hiko kitu hakiwezekani sasa....lazima utafuata mafundisho ya dhehebu fulan.Ndo maana nimemjibu sheikh hapo juu kuwa Mimi ni Muislam ila sipo DHEHEBU lolote .maana haya madhehebu ndo yamekuja kutuvuruga waislam
Kwa hyo mkuu hyo kelele ya dakika tano ni sawa na yale makelele ya siku nzima kutoka kanisani mnayotumia kumfukuza pepo kweli nyani haoni kundule kuna dini ina kelele kushinda wakristo na maspika siku nzimaMleta uzi upo sawa..mana ni kero kweli kweli kupigizana makelele kuamshana watuwazima kama watoto wadogo ambao hawajui nini cha kufanya.
Wengi wafia dini watakupinga ila zama zimebadilika watumie hata group za WhatsApp kuamshana kuswali.
Kama unaishi karibu na msikiti hakika ni kero kweli kweli wengine hadi sifa sasa..mpaka mawaiza wanafanya hayo maspika yakiwa on.
Mbaya zaidi adhana zenyewe ni full kutishana mara ooh kitanda kaburi mara shuka ni sada..utadhani wao wameyapatia maisha sana kumbe ndio wale wale.
Ni muda sasa wa kuachana na analogia na kwenda kidikitali...alam zinatosha.
#MaendeleoHayanaChama
Kwani wana bifu?anglican muingereza , romancatolic waitaly , watajuaje dini hawa
Nafuata mafundisho ya mtume sala 5 ambazo hata kwenye Quran zipo sio mafundisho ya DHEHEBU fulaniHiko kitu hakiwezekani sasa....lazima utafuata mafundisho ya dhehebu fulan.
Mfano simple, unaswali mara ngap kwa siku?
Sijawahi kupenda makelele hasa ya maspika makubwa yatoke kanisani au msikitini au baa.Kwa hyo mkuu hyo kelele ya dakika tano ni sawa na yale makelele ya siku nzima kutoka kanisani mnayotumia kumfukuza pepo kweli nyani haoni kundule kuna dini ina kelele kushinda wakristo na maspika siku nzima
Siongei sheria, naongea haki.Sheria zetu mwisho saa sita usiku kupiga mziki au aina yoyote ya kelele.. Adhana mwisho saa mbili usiku mpaka afjir saa kumi na moja na adhana ni jambo la imani katika dini ya kiislam kwa mujibu wa katiba kila mtu ana haki ya kuabudu lazima tuvumiliane kwa mwenye dini na asye na dini kwa sababu kila mtu ana haki
Sasa kama sipo unajibizana na nani hapa?Mimi naona hata wewe HAUPO.kama upo nithibitishie Kama UPO.maana sijawahi kukuona.
Kwanza kabisa, GenZ ni nini? Nani GenZ na unajuaje hilo?Tatizo genZ mkiweka neno Quantum tu kwenye statement mnadhani mmeshamaliza kila kitu.
Hata kama cause is effect na zinaloop kama unavyosema haimaanishi hivyo vyote havina cause.
Kwanza hujatoa mfano wa hivyo vitu unavyoongelea kwenye quantum mechanics.
Unachofanya ni kuingiza logic ya kuku na yai kipi kilianza wakati tunajua kabisa there was a time hakukuwa na kuku wala yai, na haziwezi kuanza Both...so it means whatever the case, kati ya hao Kuku na yai ni either kimoja kilianza na kusababisha hiyo cycle ya causality au kuna kitu cha 3 ambacho kiko nje ya kuku na yai ndio kimesababisha hayo yote...Sasa kwasababu sisi hatujui ni kitu gani haimaanishi hakipo. Lakini normal reasoning suggests lazima kiwepo.
mfano wako wa kipofu hata sijauelewa maana rangi hazina sauti (Rangi ni perception/interpretation ya brains zetu juu ya specific electromagnetic wave frequency iliyo kwenye range fulan tunayoiita visible light, sauti ni interpretation ya ubongo wetu juu ya certain frequency of air vibrations) i feel like i shouldnt be explaining this but hizi ni concept mbili tofauti kabisa, maana moja ni mechanical wave nyingine ni electromagnetic....
Back to the topic....Causality is fundamental, You cant prove otherwise...if it wasn't, this university we live in would not make sense.
Effects would occur before the cause. Na hata time isingekuwepo.
Labda mkuu tunaongelea reality mbili tofati, mimi naongelea the reality we live in.
Wake up.
Kwamba unatangaza amani huku umeficha mapanga..dini ya hakhi.
#MaendeleoHayanaChama
Mtume aliruhusu kuzifupisha kuwa 3 hata hadith zimesemea hilo....ila nyie wasunni hamtaki kuelewaNafuata mafundisho ya mtume sala 5 ambazo hata kwenye Quran zipo sio mafundisho ya DHEHEBU fulani
Unahamisha magoli sasa...And this is a cheap trick.sKwanza kabisa, GenZ ni nini? Nani GenZ na unajuaje hilo?
Thibitisha mimi ni GenZ.
Tujue unaandika mambo unayoyaeleea na uliyo na ushahidi nayo, si mtu wa kubwabwaja tu.
Ukishindwa hilo, wewe mzushi, muongo, unaandika kwa mihemko, nitake radhi kwa kunizulia mimi GenZ bila ushahidi.
Kuna ujinga fulani unaoonesha watu bado wana saikolojia ya herd mentality.Heheee..kweli dini ni ujinga fulani hivi..kwamba alla anategemea spika za wazungu kuamshiwa watu wake.
#MaendeleoHayanaChama
Yani wewe uniite mimi GenZ, kama kitu cha kwanza kwenye post yako, bila ushahidi, halafu nikikubana, useme mimi ndiye nahamisha magoli?Unahamisha magoli sasa...And this is a cheap trick.