Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au urusi na ukrainBora serikali ya tz haina dini
Maana tungegeuka somalia au Sudan iraq mavurugu tu !!!
Waarabu wamezidi vuruguAu urusi na ukrain
Huelewi Mzee!Bado haijajibu swali la trinity kuwepo katika Quaran.
Naona ni bonge la kosa , Muhammad alilifanya katika harakati zake za ku-copy biblia
Kumbe putini na yeye ni muarabu, hitla na yeye alikuwa muarabuWaarabu wamezidi vurugu
Hawafai hata kidogo kwa bahati mbaya hawana uwezo kama wazungu
Wewe Johnny acha uongo, watu tunajua mpaka kichina sembuse kiarabu ndiyo iwe shida.Nimewachunguza hawa watu wengi hawajui Quran sabb ya lugha.
Wanapata mafundisho ya kukarishana tena mpk ustaz amtafasirie. Hawawezi kukujibu hilo swali.
Sorry mkuu Quran imeandikwa Allah!?Huelewi Mzee!
Nikupe tu mfano sisi kwetu ukiwa mdogo ila unamuita mkubwa mfano baba yako kuwa kuna mtu anamuita utasema hivi "BABA MNAITWA NA MTU HUKO NJE"
sijui umeelewa concept yangu!
Quran 15:26 haipo katika Quaran unayotumia . Je, huo wingi haupo?Ulichocopy na kupest ni uongo mtupu.Inaonesha hizi ni point zenu wakristo mmezianda kuattack uislam mnatumian WhatsApp [emoji23][emoji23][emoji23].Ntakua nakujib kimoja baada ya kimoja [emoji120]
Kuran 15 : 26 " Na tulimuumba mtu kwa udongo unaotoa sauti, unaotokana na matope yaliyo tiwa sura. "
Quran 15 : 26 " We brought man into being out of dry ringing clay which was wrought from black mud "
Waislamu huwa wanapinga Utatu(Trinity), lakini trinity ipo kwenye Kuran.
Katika Biblia, uumbaji ulifanyika kwa Trinity yaani MUNGU Baba(Jehovah), MUNGU Mwana(Yesu) na MUNGU Roho(Roho Mtakatifu).
Ndo mana katika uumbaji kuna wingi , " tumfanye mtu kwa mfano wetu " - Mwanzo 1:26
Tukirejea kwenye Kuran uumbaji umefanyika na wingi (We / Tulimuumba) . Swali : Je , Allah alishiriki na nani katika zoezi la uumbaji?
Ikumbukwe kuwa malaika hawakushiriki katika zoezi la uumbaji.
Kesho ni sikukuu hatutaki mambo ya ubaguzi.Kuran 15 : 26 " Na tulimuumba mtu kwa udongo unaotoa sauti, unaotokana na matope yaliyo tiwa sura. "
Quran 15 : 26 " We brought man into being out of dry ringing clay which was wrought from black mud "
Waislamu huwa wanapinga Utatu(Trinity), lakini trinity ipo kwenye Kuran.
Katika Biblia, uumbaji ulifanyika kwa Trinity yaani MUNGU Baba(Jehovah), MUNGU Mwana(Yesu) na MUNGU Roho(Roho Mtakatifu).
Ndo mana katika uumbaji kuna wingi , " tumfanye mtu kwa mfano wetu " - Mwanzo 1:26
Tukirejea kwenye Kuran uumbaji umefanyika na wingi (We / Tulimuumba) . Swali : Je , Allah alishiriki na nani katika zoezi la uumbaji?
Ikumbukwe kuwa malaika hawakushiriki katika zoezi la uumbaji.
Umekosea tafsiri,sio UDONGO WENYE SURA.NI UDONGO MWEUSI(Black mud)Kuran 15 : 26 " Na tulimuumba mtu kwa udongo unaotoa sauti, unaotokana na matope yaliyo tiwa sura. "
Quran 15 : 26 " We brought man into being out of dry ringing clay which was wrought from black mud "
Waislamu huwa wanapinga Utatu(Trinity), lakini trinity ipo kwenye Kuran.
Katika Biblia, uumbaji ulifanyika kwa Trinity yaani MUNGU Baba(Jehovah), MUNGU Mwana(Yesu) na MUNGU Roho(Roho Mtakatifu).
Ndo mana katika uumbaji kuna wingi , " tumfanye mtu kwa mfano wetu " - Mwanzo 1:26
Tukirejea kwenye Kuran uumbaji umefanyika na wingi (We / Tulimuumba) . Swali : Je , Allah alishiriki na nani katika zoezi la uumbaji?
Ikumbukwe kuwa malaika hawakushiriki katika zoezi la uumbaji.
Kusema Kuna sikukuu kumbe ni lugha ya kibaguzi eeh.Wapi kuna ubaguzi?
Wewe ndio unaleta ubaguzi , kusema kuna sikukuu
Acha kutututenga ,