Waislamu kwenye ndoa na mazishi wametuacha mbali sana Wakristo

Waislamu kwenye ndoa na mazishi wametuacha mbali sana Wakristo

Sorry hapa sijakuelewa vizuri,Kama nimeachana naye baada ya eda kuisha na hatujarudiana na tukiwa tumerudiana ,hatujarudiana baadaye nikataka nirudiane after two years what happened.

Thank you , you're well elaborated Ila sijakuelewa kwenye kurudiana
Okay usijali tupo hapa kuelimishana

Kama umemuacha na eda imeisha hapo INA maana huyo sio mkeo tena,Ila kama baadae ukaona Una mhitaji basi utalazimika kuanza process upya za ndoa na yeye aridhie kuolewa na wewe.

Kwahiyo haijalishi utakaa Mda gani mpaka ulete Hilo ombi lako la ndoa,cha muhimu ukitaka kurudiana nae basi itabidi umuoe upya.

Kwa faida zaidi,mke anayeachwa Kwa talaka moja au mbili,mume unaweza kumrejea Kwa kumuoa kama nilivyo sema hapo awali

Ila

Ukimuachia Kwa talaka tatu,na hapa talaka hazitoki zote Kwa pamoja laa,utaratibu ni kwamba unamuacha Kwa talaka moja,mbili mpaka zatimia tatu maana kuna wapuuzi huwa wanatoa tatu Kwa mpigo ambacho ni kinyume na sheria.

Sasa hiyo talaka ya tatu sheria inasema hivi,hapo hautaruhusiwa kumuoa mpaka aolewe na mume mwingine na akiachika ndio waeza kumuoa tena,ingawa kuna wapuuzi vile vile mke anampenda anakupanga wewe umuoe huyo mwanamke na kisha umuache kisha amuoe tena,hayo ni makosa,unaweza kutuficha Sisi wanadamu lakini Mungu anajua lengo lako na Nia yako.
 
Ndugu zangu japo mimi ni mkristo ila hawa ndugu zetu waislamu linapokuja suala la ndoa na mazishi huwa hawana mambo mengi.

Mtu anafariki leo kesho mapema tu anazikwa kama hakutokuwa na safari ya kumsafirisha.

Kwenye ndoa nako hakuna kuremba watu wamependana wakatambulishana kijana wa kiume akaridhia mahari dhidi ya binti ni fasta to ndoa inafungwa.

Mahari zenyewe ni kawaida tu si kama huku kwetu, wanachojali wao ni watu waowane na ndio maana ni ngumu sana kukuta jamii nyingi za waislamu wanaishi pamoja bila ndoa.
Na Ndio maana kamwe ndoa za kiislam hazivunjiki, si ndio?
 
Kuna watu huwa wanafanya dhihaka kuwa waislamu mahari ndogo na bla bla kibao,hawajui lengo ni kufanya ndoa iwe nyepesi ili watu wafunge ndoa waepuke zinaa,lkn upande wa pili kwakuwa hamuogopi dhambi huwa mnadunda Tu!
Wacha kujifunua makalio punguwani Wahed

Unaposema Upande wa pili hatuogopi dhambi unamaanisha nini?

Kwani hao waislam wanaooa fasta kwa mahari kidogo hawazini nje?

Hata wakioa Wanawake wanne hawazini?

Kuzini sio dhambi?

Usianze kuharahara
 
Hiyo zinaa wanaiepuka?
Nipo hapa nasubiri akudanganye kuwa wanaiepuka
IMG_20230316_203844.jpg
 
Unajiona mjuzi kumbe hamna kitu,

Hata kwa hiyohiyo tafsiri yako mbona unajipinga mwenyewe??

Mimi nilisema ndoa ya kikristo inavunjika kutokana na mmoja wa wana ndoa akutwe na uzinzi, sasa ulikuwa unapinga kitu gani ilhali wewe mwenyewe hapo unasema uzinzi unahusika na watu waliooana!!!.

Uasherati/umalaya ni hali ya kufanya uzinifu/uzinzi kama sehemu ya maisha, kwa maneno mengine ni kitendo cha kujamiana mwanamke na mwanaume bila kuwa ndani ya ndoa. Hivyo huwezi kutenganisha uzinzi na uasherati.
Unalazimisha A iwe B mkuu? Umekataa kuelewa makusudi unataka nn zaidi? Kuna ndo ya Kikristu umewah ona imevunjwa kanisani kisa mmoja Kati yao kafumaniwa? Usipende kubishana Vitu visivyo vya Imani yako mkuu
 
Tena wao (Wakristo) sheria ya talaka inawabana mno, huwezi kumuacha mkeo kwa kosa jingine lolote isipokuwa la uzinifu tu, kwa Waisilamu hiyo hakuna, kama mmechokana basi talaka inaswihi ili kila mmoja akatafute ahueni huko mbele ya safari.
Kwahiyo hata kuchokana ni sababu ya kuachana na ni halali katika Uislam kumbe [emoji15]
 
Sisi tunachoshukuru atufugi majini wala hatutumii majini waislam na majini ni baba mmoja mama moja[emoji1787][emoji1787]
Ndo mchangungaji wako ngwajima amekuambia hivyo ,
 
Unalazimisha A iwe B mkuu? Umekataa kuelewa makusudi unataka nn zaidi? Kuna ndo ya Kikristu umewah ona imevunjwa kanisani kisa mmoja Kati yao kafumaniwa? Usipende kubishana Vitu visivyo vya Imani yako mkuu


Wewe hiyo imani ya kikristo ni mali yako??, hebu nionyeshe hati miliki yako ya hiyo imani ya kikristo ili kuanzia leo nikitaka kuzungumzia kitu chochote kinachohusu ukristo nije kukuomba ruhusa.

"Kulingana.na Biblia ni uzinifu tu ndio sharti la wana ndoa wa kikristo kuvunja ndoa yao"

Ama nishuhudie ndoa zikivunjwa kanisani au laa hiyo sio kazi yangu, kazi yangu ni kunukuu maneno ya Biblia tu.
 
Okay usijali tupo hapa kuelimishana

Kama umemuacha na eda imeisha hapo INA maana huyo sio mkeo tena,Ila kama baadae ukaona Una mhitaji basi utalazimika kuanza process upya za ndoa na yeye aridhie kuolewa na wewe.

Kwahiyo haijalishi utakaa Mda gani mpaka ulete Hilo ombi lako la ndoa,cha muhimu ukitaka kurudiana nae basi itabidi umuoe upya.

Kwa faida zaidi,mke anayeachwa Kwa talaka moja au mbili,mume unaweza kumrejea Kwa kumuoa kama nilivyo sema hapo awali

Ila

Ukimuachia Kwa talaka tatu,na hapa talaka hazitoki zote Kwa pamoja laa,utaratibu ni kwamba unamuacha Kwa talaka moja,mbili mpaka zatimia tatu maana kuna wapuuzi huwa wanatoa tatu Kwa mpigo ambacho ni kinyume na sheria.

Sasa hiyo talaka ya tatu sheria inasema hivi,hapo hautaruhusiwa kumuoa mpaka aolewe na mume mwingine na akiachika ndio waeza kumuoa tena,ingawa kuna wapuuzi vile vile mke anampenda anakupanga wewe umuoe huyo mwanamke na kisha umuache kisha amuoe tena,hayo ni makosa,unaweza kutuficha Sisi wanadamu lakini Mungu anajua lengo lako na Nia yako.
Thank you somo limeingia. Barikiwa
 
Kwanza na kupinga kwa hoja zako alafu ni kufundishe labda hujui chochote
Kuzika mtu tu pale anapokuwa amekufa ni kukosea kuna watu wanafufuka nafikiri ilo unalijua ndio maana wazungu ili kudhibitisha kama mtu amekufa wanamuacha kwanza siku 7 wakiona hakuna lolote ndo wanazika wengine wanafufuka kabisa ndani ya siku 7 hizo
Sasa wewe just imagine utu anakata roho na kwenda kumzika hapo hapo je kama alikuwa amezimia si utakuwa umezika mtu mzima wewe

Pili maswala ya ndoa wakristo sisi hatuhusiki na mambo ya mahari kabisa sisi tunabariki ndoa tu na kufungisha ndoa
mambo ya pesa hayo ni ya familia yenu sio ya kikristo
Hakuna mchungaji au mwalimu yeyote wa dini ambaye atakuja kukuambia fanya ivi au atoe pesa kaza ilo hapana kabisa kwetu
 
Nilitaka niolewe nyumbani wakataja mahari jamaa akasema ngoja ajipange. Alirudi baada ya mwaka nikawa nimebadili mawazo. Ningekuwa muislamu ningeshaolewa. Ila daah jamani hizi mahari zetu za kikristo sio fair. Yani wenzio wamemla buuure na wataendelea kumla tu bila kulipa hiyo mahari. Halafu wewe unaenda kutoa milioni kadhaa? Dah poleni wanaume.
Mahari ni swala la kiutamaduni sio swala la Kikristo
 
Ndoa za kiislamu ni za kimchongo wala hazina mashiko, unaoa leo unaacha kesho…. huna cha kupoteza.
Kuna haja ya kukaa tukatafakari upya katika suala hili la ndoa Kwa kweli,ukisoma vizuri maandiko mwanamke ni msaidizi WA mwanaume.hivyo tuwe tunakubaliana na Hali na siyo kuwa na misimamo isiyo na manufaa

IMG-20230306-WA0056.jpg
 
Hali ya kutohitaji tena kuishi na mwenzio kama Wanandoa

Una maana tofauti? Iweke hapa tuendelee

Wabillah Tawfiq,


Hiyo Maana yako inayo mapungufu,, ungesema ni hali ya kitohitaji kuishi na mwenzio kama mwanandoa kwasababu fulani. Neno kuchokana kwa kizungu ni fed up au tired of one another.
 
Back
Top Bottom