Waislamu kwenye ndoa na mazishi wametuacha mbali sana Wakristo

Wala usitoe povu saaana mzee kubali tu yaishe dini pekee ambayo itamjali kiumbe chochote kile akiwemo huyoo binadam ni UISLAM,hivyo usitumie nguvu nyingi kuwajib waislam wkt UISLAM upo pale pale na utakuwepo kwahy tutumie fursa hii kukubalisha ktk UISLAM.
 
Hii pole kama unampa huyo alietaka kutoa mahari hivi?kwamba wenzie wamekula Bure ...yeye atoe mahar??

Hukumpenda huyo jamaa ..umgemwambia atoe barua halafu unabeba mimba....kwenu wenyewe wangeshusha mahari
Hahahah hizi mbinu za kijasusi kama familia inakomaa sana 🤣🤣🤣
 
Hio gharama ndio raha yenyewe. Uzuri mke haachiki bila talaka kwahio kama sijaamua kukupa talaka utaenda hadi Bakwata 🤣🤣🤣 kama mwenzenu Kwini
 
Usinilazimishe kuanza kufunua uvundo ja uozo wa huko, hiyo siyo tabia yangu. Tabia yangu ni kuheshimu imani za watu.
 
Kisheria iko hivyo ila kama ni ndoa ya kiroma hapo mtabadili vyumba tu talaka hampewi ng'o 😀
 
Biblia haijaandika uzinifu sasa mbna unakua mbishi mkuu shida nn kutaka kuforce vitu ambavyo havipo?
 
Kanawe kwanza uso itakua ndio umeamka wewe
 
Muhamdad ndio katunga , ila kama ni Allah ni kichekesho sana
hakujua mwanamke anaweza achika na asitake kuolewa tena
 
Muhamdad ndio katunga , ila kama ni Allah ni kichekesho sana
hakujua mwanamke anaweza achika na asitake kuolewa tena
Sasa kwani kuna mtu kalazimishwa hapo
Alafu kukataa kuolewa ndio maumbile ya mwanamke hayo kwani?

We mke wa papa tumia akili sio mihemko
 
Muhammad alisisitiza lazima apigwe machine , hakuna ujanjaunja hapo

Aolewe apigwe pipe ndio arudi kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…