Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
Mnyaazi ndo nn?Majini ni viumbe vyake Mnyaazi... Na ndiyo viumbe vya kwanza kabisa kusilimu kuwa Waislamu ndo wakafuata Binadamu. Walisema hii ndiyo dini inayomwabudu Mola wao. Wewe unaleta maandiko gani kutaka kutupotosha?
Eeeeh wametakaa uongee naweee umefungukaaaaTukikaa kimya mnatutaka tuongee, tukiongea mnataka tukae kimya.
Ukweli ni kwamba mashehe wote wanamiliki majini. Muislamu asiyewasiliana na majini labda ni wa level ya chini.
aliekwambia jini mzuri na mbaya ndo sheikh wa mchongo...sheria zetu zimepinga vikali matumizi ya hao spiritSi tulikubaliana kuna majini wazuri na wabaya..leo wewe unasema majini wote wabaya..utakua muislamu wa mchongo wewe.
#MaendeleoHayanaChama
Sio kweli, tena ni dhambi kufanya kitu hicho, katika dhambi zinazotajwa kuwa mtu akifanya analaaniwa na Mungu ni ushirikinaWaislam wote mnafuga majini.......acheni kujitetea
Ukiona huna jini Basi ujue ww bado upo shallow sana
Hao Masharifu mala kadhaa tunaona ndio waalimu wazuri wa dini.kuna mambo unashindwa kuelewa mkuu, Majini ni viumbe kama binaadamu, wapo wa aina tafauti, wapo waislamu na wasio waislamu, wapo Waumini nawasio waumini. Jini yoyote ambaye ana mashirikiano na binaadamu kwenye mambo ya uchawi huyo ni shetani mkuu. Amelaanika kabisa. hao masharifu unaowazungumza wote ni washirikina na wachawi, Uislamu hauwatambui kabisa.
Na zawadi kibao wanampaHao Masharifu mala kadhaa tunaona ndio waalimu wazuri wa dini.
Akizaliwa mtoto Sharifu anatembezwa sehemu mbali mbali kutoa mihadhara ya dini na kuombea waislamu wenye madhaifu mbali mbali.
Wewe bado hujaufamu Uislamu kwa usahihi.
Uzi umeshaharibiwa tayari na wewe thibitisha kama ni binadamuWewe pia thibitisha huko motoni kupo kweli.
Waislamu wengi hawaufahamu uislamu wao.Na zawadi kibao wanampa
Huwezi yakandia majini au kuyakana sababu yanatambulika vizuri na yana sura yao kabisa. Usilete Ukristo wako kwenye Uislamu kutaka kuyafanya yaonekane mabaya.Sijui kama umesoma Uzi wote au ndio nyie mnao komenti tuu kichwa kichwa
Unataka unitunukuSawa mkuu nitamfikishia
Karibu sana
Mnyaazi Mungu. Huelewi matamshi yetu. Hata Shetani anatamkwa Shetwain. Hujui wewe....Mnyaazi ndo nn?
Maimuna wenzio watakuja ku likeAlipouojiwa Malcom X kwa nini aliachana na dini yake na kujiunga na uislam alijibu ya kwamba uislam unafafanua vema mambo yanayoonekana ja yasiyoonekana
Mungu hakuona aibu kuvizungumzia viumbe vyake viitwavyo majini kwenye Qur'an ati kwa kua havionekani,
Kumbukeni mkatae au mkubali majini yapo na hayajajiumba yenyewe yupo aliyeyafinyanga japo dini yenu inayaogopa pia haiyataji ama inayataja kwa wogawoga
Uislam pekee ndio dini ya haki inayoweza kukuelezea ni nini kinatokea kaboa mtu hajafa, akiwa anakata roho, akizikwa, maisha yake ya kaburini yapoje na siku ya ufufuo ni uislam pekee utayakuta haya dini nyingine zote ama hazijui ama zinaogopa
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Watoto wa madrasa banaMnyaazi Mungu. Huelewi matamshi yetu. Hata Shetani anatamkwa Shetwain. Hujui wewe....
Kwani wapi mimi niliwahi kusema mimi ni binadamu?Uzi umeshaharibiwa tayari na wewe thibitisha kama ni binadamu
Mtu akishaandika "bana" huwa namdharau naona ndo tuvijana ambato tumemaliza darasa la saba bush tumekuja town.Watoto wa madrasa bana
Mtu akishaandika "bana" huwa namdharau naona ndo tuvijana ambato tumemaliza darasa la saba bush tumekuja town.
We ni jini mbona iko waziKwani wapi mimi niliwahi kusema mimi ni binadamu?
Unaelewa binadamu maana yake ni nini?
Katika ubongo wako wa kidege usioweza kushikilia mambo zaidi ya mawili, kama si binadamu ni jini.We ni jini mbona iko wazi