gonamwitu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 2,187
- 2,794
Mtoto anaesoma english medium anaweza kuzungumza kiingereza vizuri tu kama kajifunza tangu mdogo hadi kufikia darasa la 5 au 6 flani hivi. Kwanini? Kwasababu anajifunza lugha ya kiingereza na anafanya mazoezi jinsi ya kuongea au kuwasiliana kwa kiingereza.
Mtoto anayesoma madrasa hajifunzi lugha ya kiarabu wala hafanyi mazoezi ya kuongea au kuwasiliana kwa lugha ya kiarabu ila anajifunza aya zilizoandikwa kiarabu kwa kukaririshwa kumbuka madrasa mtoto mdogo anakaririshwa aya tu haambiwi maana ya hizo aya mpaka awe mkubwa ndio anaanza kukaririshwa tafsiri ya baadhi ya aya so anakuwa anajua aya na tafsiri zake but lugha anakuwa hajui.
Mtoto anayesoma madrasa hajifunzi lugha ya kiarabu wala hafanyi mazoezi ya kuongea au kuwasiliana kwa lugha ya kiarabu ila anajifunza aya zilizoandikwa kiarabu kwa kukaririshwa kumbuka madrasa mtoto mdogo anakaririshwa aya tu haambiwi maana ya hizo aya mpaka awe mkubwa ndio anaanza kukaririshwa tafsiri ya baadhi ya aya so anakuwa anajua aya na tafsiri zake but lugha anakuwa hajui.