Waislamu wako vizuri kwenye suala la ndoa

Waislamu wako vizuri kwenye suala la ndoa

Unacheka Nini na wewe?😂😂😂😂Kwani hizo ndoa za ramadhani asiyezijua Nani?
Wewe acheni mambo yenu wakristi mnaweka nguvu nyingi kwenye harusi na sio ndoa. Sas basi bora ata tungekuwa tunaoa bikra, watu wenyewe tunao oa ni breki pumbuz tuu na mchungaji anakaa kabisa anabarkki ndoa. Usanii tuu huo.
Hapa mie ndio napo wapendea wataliban. Hapo na msimamo thabiti
 
Inamaana siku hizi dini ni promotion au vipi?

Watu zaidi ya B 8 duniani kwa dini za Wakristo, Hinduism, Buddhism, Paganism na Rastafarians wote wasiwe na ndoa nzuri isipokuwa Waislamu tu?
 
Tafuta hela maisha ya ndoa ni zaidi ya mahari.
Umenikumbusha yule Tajiri mfanyabiashara wa kimataifa Mmarekani aliyetaka kumuoa Ke Muislam Sudani 2019 afu Ke alitengwa na familia ya kwao na kumfungia kabisa asitoke nchini wala asiolewe na Mmarekani sababu tu ya Ukristo wa Me.

International Relations laws kupitia UN ndiyo ilisuluhisha ule mgogoro ndipo Binti akaolewa na kwenda kuishi na Me USA mazima.

Binti alikuwa PISI KALI hatareee....[emoji16]
 
Wewe acheni mambo yenu wakristi mnaweka nguvu nyingi kwenye harusi na sio ndoa. Sas basi bora ata tungekuwa tunaoa bikra, watu wenyewe tunao oa ni breki pumbuz tuu na mchungaji anakaa kabisa anabarkki ndoa. Usanii tuu huo.
Hapa mie ndio napo wapendea wataliban. Hapo na msimamo thabiti
Kwani mnalazimishwaga kuoa breki p!endeleeni kuwaoa hao mnaowaoa asubuhi jiona mnawataliki.
 
HOJA niliyokuelewa ni Moja tu kuwa Maisha bila Yesu ni Bure kabisa.

1. Ndoa ni gharama sana ukiwa umependa kweli Mahali hata iwe M 10 huoni kama ni chochote.

2. Ndoa za WAISLAMU ni za muda wa Mwezi mmoja Tu. OGOPA sana vitu VYA Bure Bure. No free lunch in America.

3. Hakuna Binadamu anayeridhia kutoka MOYONI mme wake kuwa na wake wa nne.
Ndoa ni watu wawili kuwa mwili mmoja. Nyama Katika nyama mfupa Katika mfupa.

4. Mohamed alioa katoto ka miaka SITA Alikapiga MITI kakiwa na miaka 9 HUO NDIO UISLAMU.

N:B USILINGANISHE UKRISTU NA MAMBO YA DINI. UKRISTO SIO DINI.
Nimekuelewa vizuri sana Chifu, japo sentensi ya mwisho kabisa ilipaswa iwe hivi;

UKRISTO [emoji736]

UKRISTU [emoji777]
 
Nimekutaka uweka utafiti wako hapa acha porojo,au ulikua unaropoka tu ili uchekewe?
Watu waache kufanyiwa Mambo sensitive research waweke pesa kufanya research Mambo yenu yaliyo wazi kabisa unadhani muda huo Nani anao?labda Dr Mwaka,Bugatti,na Alhad ndio wafanye hiyo research
 
Watu waache kufanyiwa Mambo sensitive research waweke pesa kufanya research Mambo yenu yaliyo wazi kabisa unadhani muda huo Nani anao?labda Dr Mwaka,Bugatti,na Alhad ndio wafanye hiyo research
Kama hukufanya reseach na huna vivid evidence ya ulichokidai hapa,acha kututemea matapishi yako yakufikirika hapa,hii ni JF kama huna ushahidi rudi Fesibuku ukaendelee kulike magauni na mitindo ya nywele.
 
Kama hukufanya reseach na huna vivid evidence ya ulichokidai hapa,acha kututemea matapishi yako yakufikirika hapa,hii ni JF kama huna ushahidi rudi Fesibuku ukaendelee kulike magauni na mitindo ya nywele.
Tatizo watalebani mnapaniki mapema Sana... wacha nikalike mawigi yangu usije ukanichinja bureeee maana hapo ukisema takbiriiii Sina kichwa
 
Tatizo watalebani mnapaniki mapema Sana... wacha nikalike mawigi yangu usije ukanichinja bureeee maana hapo ukisema takbiriiii Sina kichwa
Huna ujualo ila punguza kuropoka ili mradi tu eti usisahaulike kama na wewe upo humu JF.
 
Habari za humu!

Naukubali sana utaratibu wa wenzetu wa dini tofauti. Kwao unaweza kuoa na kuingiza mke kwa 200k au hata 100k. Niliwahi kuwa mshenga, kuna dogo alitoa 50k akachukua mke mapema sana maana ilikuwa kipindi cha Ramadhani mwendo wa maandazi tu harusi imeisha.

Nimeishi Kusini yaani kipindi hiki cha Ramadhani ndoa kama zote. Kwetu sisi wa Christ hali ni tete, maana budget ya mali tu kama 2.5mil ukianza maandalizi yaani budget ya chini mil 15, unasumbuka na michango hadi shida bado mwanamke naye anaweza kukusumbua, ukizingatia gharama ulizoingia hata Mahakama haisemi urudishiwe pesa yako.

Kuna wakati natamani nibadili dini nihamie upande wa pili, shida tu itikadi na malezi niliyokulia naamini life is useless without Christ.

Hapo ndio tunatofautiana Imani. Kama wenzangu wengekuwa wanamuamini Christ ndio everything ningehama. Otherwise nikae pale niangalie team kataa ndoa.
Uislam ni mwema kwenye kila kinachohusu maisha yetu ya kila siku, si ndoa tu.

Kuhusu hilo la Yesu, alayhi salaam, elewa kwamba huwezi kuwa Muislam bila kumuamini Yesu, alayhi salaam. Hakuna Muislam asiyemuamini Yesu.
 
Ninyi kwa sababu mmekula kiapo hadi kifo... Kwenye uislamu ikifika mhali hamuezi tena kuishi pamoja kama mke na mume ni bora muachane kwa wema.. maana pia mlioana kwa wem
Sasa kama ulimchagua mwenyewe na ndio ukasema ni chaguo laki kwanini muachane huoni kwamba idadi ya masingle Maza inaongezeka au kwa lugha nyingine niwaite wajane???
 
Back
Top Bottom