The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Nimekutaka uweka utafiti wako hapa acha porojo,au ulikua unaropoka tu ili uchekewe?Wala hautaji japo elimu ya form four kujua hili......au hamziitagi ndoa za uji nyie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekutaka uweka utafiti wako hapa acha porojo,au ulikua unaropoka tu ili uchekewe?Wala hautaji japo elimu ya form four kujua hili......au hamziitagi ndoa za uji nyie
Wewe acheni mambo yenu wakristi mnaweka nguvu nyingi kwenye harusi na sio ndoa. Sas basi bora ata tungekuwa tunaoa bikra, watu wenyewe tunao oa ni breki pumbuz tuu na mchungaji anakaa kabisa anabarkki ndoa. Usanii tuu huo.Unacheka Nini na wewe?😂😂😂😂Kwani hizo ndoa za ramadhani asiyezijua Nani?
Single maza wakulaumiwa wazaziNa ndiyo wanaongoza kujaza single mothers mtaani
Mimi dini yangu ni UPENDO ila nawakubali sana Wakristo kuhusu dini yao na hata jinsi wanavyoishi na Watu popote duniani.Mimi ni mkristo ila naikubali dini ya uislam sanaaa, ni dini imezingatia watu wa madaraja yote
😂😂😂😂😂Wengi nilowashuhudia ndoazao ni miaka Sasa na Wana watoto
Umenikumbusha yule Tajiri mfanyabiashara wa kimataifa Mmarekani aliyetaka kumuoa Ke Muislam Sudani 2019 afu Ke alitengwa na familia ya kwao na kumfungia kabisa asitoke nchini wala asiolewe na Mmarekani sababu tu ya Ukristo wa Me.Tafuta hela maisha ya ndoa ni zaidi ya mahari.
Kwani mnalazimishwaga kuoa breki p!endeleeni kuwaoa hao mnaowaoa asubuhi jiona mnawataliki.Wewe acheni mambo yenu wakristi mnaweka nguvu nyingi kwenye harusi na sio ndoa. Sas basi bora ata tungekuwa tunaoa bikra, watu wenyewe tunao oa ni breki pumbuz tuu na mchungaji anakaa kabisa anabarkki ndoa. Usanii tuu huo.
Hapa mie ndio napo wapendea wataliban. Hapo na msimamo thabiti
Nimekuelewa vizuri sana Chifu, japo sentensi ya mwisho kabisa ilipaswa iwe hivi;HOJA niliyokuelewa ni Moja tu kuwa Maisha bila Yesu ni Bure kabisa.
1. Ndoa ni gharama sana ukiwa umependa kweli Mahali hata iwe M 10 huoni kama ni chochote.
2. Ndoa za WAISLAMU ni za muda wa Mwezi mmoja Tu. OGOPA sana vitu VYA Bure Bure. No free lunch in America.
3. Hakuna Binadamu anayeridhia kutoka MOYONI mme wake kuwa na wake wa nne.
Ndoa ni watu wawili kuwa mwili mmoja. Nyama Katika nyama mfupa Katika mfupa.
4. Mohamed alioa katoto ka miaka SITA Alikapiga MITI kakiwa na miaka 9 HUO NDIO UISLAMU.
N:B USILINGANISHE UKRISTU NA MAMBO YA DINI. UKRISTO SIO DINI.
Watu waache kufanyiwa Mambo sensitive research waweke pesa kufanya research Mambo yenu yaliyo wazi kabisa unadhani muda huo Nani anao?labda Dr Mwaka,Bugatti,na Alhad ndio wafanye hiyo researchNimekutaka uweka utafiti wako hapa acha porojo,au ulikua unaropoka tu ili uchekewe?
Kama hukufanya reseach na huna vivid evidence ya ulichokidai hapa,acha kututemea matapishi yako yakufikirika hapa,hii ni JF kama huna ushahidi rudi Fesibuku ukaendelee kulike magauni na mitindo ya nywele.Watu waache kufanyiwa Mambo sensitive research waweke pesa kufanya research Mambo yenu yaliyo wazi kabisa unadhani muda huo Nani anao?labda Dr Mwaka,Bugatti,na Alhad ndio wafanye hiyo research
Sio ndoa kudumu wanaongoza kuuwana kwa kuvumilia kuachana.Upande wangu Nina mifano hai mingi tu nimeshuhuduia watu wakiachana wakristo ghalama ya mahari kubwa inasaidia ndoa kudumu ukifikiria huyo ulie mtolea hiyo mahari unajikuta unamvumilia tu kitu ambacho wao hawana ni uvumilivu.
Tatizo watalebani mnapaniki mapema Sana... wacha nikalike mawigi yangu usije ukanichinja bureeee maana hapo ukisema takbiriiii Sina kichwaKama hukufanya reseach na huna vivid evidence ya ulichokidai hapa,acha kututemea matapishi yako yakufikirika hapa,hii ni JF kama huna ushahidi rudi Fesibuku ukaendelee kulike magauni na mitindo ya nywele.
Huna ujualo ila punguza kuropoka ili mradi tu eti usisahaulike kama na wewe upo humu JF.Tatizo watalebani mnapaniki mapema Sana... wacha nikalike mawigi yangu usije ukanichinja bureeee maana hapo ukisema takbiriiii Sina kichwa
Ila kuna utofauti mkubwa kati ya aliye olewa na uji na wewe unaye dangaUnacheka Nini na wewe?😂😂😂😂Kwani hizo ndoa za ramadhani asiyezijua Nani?
Uislam ni mwema kwenye kila kinachohusu maisha yetu ya kila siku, si ndoa tu.Habari za humu!
Naukubali sana utaratibu wa wenzetu wa dini tofauti. Kwao unaweza kuoa na kuingiza mke kwa 200k au hata 100k. Niliwahi kuwa mshenga, kuna dogo alitoa 50k akachukua mke mapema sana maana ilikuwa kipindi cha Ramadhani mwendo wa maandazi tu harusi imeisha.
Nimeishi Kusini yaani kipindi hiki cha Ramadhani ndoa kama zote. Kwetu sisi wa Christ hali ni tete, maana budget ya mali tu kama 2.5mil ukianza maandalizi yaani budget ya chini mil 15, unasumbuka na michango hadi shida bado mwanamke naye anaweza kukusumbua, ukizingatia gharama ulizoingia hata Mahakama haisemi urudishiwe pesa yako.
Kuna wakati natamani nibadili dini nihamie upande wa pili, shida tu itikadi na malezi niliyokulia naamini life is useless without Christ.
Hapo ndio tunatofautiana Imani. Kama wenzangu wengekuwa wanamuamini Christ ndio everything ningehama. Otherwise nikae pale niangalie team kataa ndoa.
Sasa kama ulimchagua mwenyewe na ndio ukasema ni chaguo laki kwanini muachane huoni kwamba idadi ya masingle Maza inaongezeka au kwa lugha nyingine niwaite wajane???Ninyi kwa sababu mmekula kiapo hadi kifo... Kwenye uislamu ikifika mhali hamuezi tena kuishi pamoja kama mke na mume ni bora muachane kwa wema.. maana pia mlioana kwa wem
Kasoro mimiSio wewe tu, hili ni janga
ikifika kwenye ndoa kila mtu anatamani angekua muislam
Options hamna wengi tulishawakula sie wenyewe🤣🤣🤣🤣Kwani mnalazimishwaga kuoa breki p!endeleeni kuwaoa hao mnaowaoa asubuhi jiona mnawataliki.
Of course, tofauti Ni kubwa darling....yeye ana uhakika wa kupigwa mashine asubuhi mchana na jioni kwa gharama ya uji tu na baadae kuachwa kurudi kudanga.Ila kuna utofauti mkubwa kati ya aliye olewa na uji na wewe unaye danga