Waisrael wawili tu wamejeruhiwa kidogo pamoja na Iran kurusha makombora ya masafa marefu zaidi ya 200 kuelekea Israel

Waisrael wawili tu wamejeruhiwa kidogo pamoja na Iran kurusha makombora ya masafa marefu zaidi ya 200 kuelekea Israel

nimjiuliza sana makombora yote yale!!! na yote yamedunguliwa! hivi kwa nini wasikubali tu wakapatana na myahudi jamani! hivi nyie wairan funzo la hizbollar awalioni kweli?Iran pataneni na israel nyie ni ndugu, Ibrahim baba wa israel alikuwa mkaldayo. Pataneni Dola yenu inaenda kuanguka mazima! Mark my words!
Mkuu yote hayajadunguliwa.
-Kuna ambayo yameripuka yenyewe hewani huko kutokana na over heat pindi yanashuka
-Kuna Yale yamedunguliwa yakaanguka vipande vipande.
-Kuna Yale mengine hayajaripuka kabisa.
-Kuna mengine yameanguka sehemu ambayo hakuna watu yameanguka sehemu ya wazi.

Kwa kifupi yalirushwa bila 🎯 target
 
Hamas walivyofanya ugaidi na kuuwa raia zaidi 1300 ndani ya masaa 8 ule haukua uislam?!
Jeshi la Israel kupitia helcopter zao za kijeshi za Apache ziliua waisrael wenzao wengi sana kupitia ile doctrine inayoitwa Hannibal directive siku hiyo ya october 7.
 
Angetaka kuua watu wengi angerenga Ma hospital kama anavyofanya Netanyau

Amemuonyesha tu kama anao uwezo wa kuingia na kutoka

Inshort Irani hapendi vita ila analazimishwa tu na makafiri wa Israel na mabasha zao Marekani na uingereza
 
Wadau hamjamboni nyote?

Mungu ibariki Israel

Taarifa rasmi ndiyo hiyo

99% yamelipuliwa angani, kudondokea baharini au sehemu isiyokusudiwa

Yale matoi yaliachwa yaelee angani kwa muda na kisha kusambaratishwa

Ukitazama video yake utacheka


Live Update arrow right icon From the Liveblog of Tuesday,
October 1, 2024


Following mass Iran attack, medics say just 2 lightly wounded by shrapnel in Tel Aviv
By Emanuel Fabian Follow
Today, 8:24 pm
14
An Iranian missile attack on Israel, October 1, 2024. (Channel 12 news screenshot)
An Iranian missile attack on Israel, October 1, 2024. (Channel 12 news screenshot)
Only two injuries are reported across Israel in the Iranian missile attack on the country, Magen David Adom says.

The ambulance service says it treated only two people who were lightly wounded by shrapnel in Tel Aviv.

Several others were treated for minor injuries after falling over while running for shelter, and acute anxiety, MDA adds.
Hapo Tina wairan 6 wa kufyeka

Israel 1 sawa napalestine
Lebanon
Hezbollah
Hamas
Na sasa Iran watatu........
Walivyoua 1500 waliambiwa tynahitaji 45000 mpaka 50000

Mpaka sasa wamefikia 44300 kule gaza

Ombeen 700 wafikie haraka wasiz vita

Hawa Iran wetu tunawapigia hukohuko kwao 6 waende kwa aman
 
kaziiiendeleeee tuuu
 

Attachments

  • Screenshot_20241002-092029_Chrome.jpg
    Screenshot_20241002-092029_Chrome.jpg
    295.7 KB · Views: 1
kaziii iendeleeeee
 

Attachments

  • Screenshot_20241002-092211_Chrome.jpg
    Screenshot_20241002-092211_Chrome.jpg
    279.5 KB · Views: 1
Wale waarabu wa buza akina Ritz na THE BIG SHOW na FaizaFoxy wanapaswa kushangilia sana maana Iran imeshambulia Israel kwa makombora 200 na kufanikiwa kujeruhi raia wawili kwa michubuko midogo midogo.

Najua wiki ijayo watakuwa na misiba mingi sana ya kuomboleza.
Besides,we as muslims hatuwezi kushangilia umwagaji wa damu kwa namna yyte kwa CIVILIANS

Hata hivyo alichokifanya IRAN ni kulipa kisasi kwa umwagaji damu mwingi uliofanywa na ISRAEL huko Gaza,Lebanon hata kwa kuua kwa viongozi kadhaa wakiwemo wa hizbollah na Iran.

Iran hajashambulia makazi ya watu,ameshambulia military sites na amefanikiwa kwa kiasi kikubwa kabisa.

ISRAEL akijibu mapigo atapata majibu yake.

If you are celebrating just know that you are definitely celebrating your premature ejaculation.
 
Jiandae kwa msiba mzito, mwambieni allah aandae madem wakutosha.
Mimi sihitaji wengi sana,akinipa wewe tuh kwanza hapa hapa duniani utanitosha,pisi kali kama wewe ningeipata dunia yote ingekuwa yangu madam.
 
Back
Top Bottom