Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

mpk 1919 league of nations ilipomuamuru kuachia makolon km fidia ya vita , pili ilikuwa ngumu kuondoka na mali usafir mkuu ulikuwa bahar na huenda wangeporwa na mataifa yaliyoshinda vita
 
unahis kuna mtu atakufanyia tafit akulete hapa jf?
 
Jeshi la Mtu Mmoja hakuachia kirahisi kama unavyofikiri nadhani, nasema nadhani alilambishwa asali.

Hii nchi kila kiongozi mwenye final decision anatengeneza njia yake ya 10perc so yawezekana nasema yawezekana JMM alilambishwa asali!.
walilipa ela hao sio 10%
 
unaichawia nyumba yako uKitoka hapo unawasingizia mabeberu kwa umaskin wako
 
mpk 1919 league of nations ilipomuamuru kuachia makolon km fidia ya vita , pili ilikuwa ngumu kuondoka na mali usafir mkuu ulikuwa bahar na huenda wangeporwa na mataifa yaliyoshinda vita
Hii sababu haina nguvu sana, kama waliweza kuondoka na silaha walishindwaje kuondoka na vipaarceli vya madini?
 
Nani ana madini ya ruby jaman nina connection ya soko la ukweli mno aisee mradi mzigo uwe og
 
Kuna mtu ameshawahi kwenda huko morogoro mpaka zilipo but ishu kuzitoa ..kuna hadi zahabu n mercury

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Yaani na utafiti wenu uchwara mmewafanya watu wamekuwa maskini sana kutafuta vitu ambavyo havina maana kabisa kuliko kutafuta hizo lupia heller si wakachimbe dhahabu. Mmewafanya watu wamefilisika kabisa
 
Mikese nakubali, kwenye mashamba ya mkonge wameishi sana pale na kota zao zipo hadi leo ata ukipita na morogoro Road zinaonekana, sema hili jambo kulivalia njuga kisawasawa linataka mtaji na muda wa kutosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…