The useful idiot
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 1,019
- 2,670
Nimejikuta nahuzunika, duh kwahiyo sipati mke 😢😢Oops 🥺🥺
Nimezaliwa peke angu...Sina ndugu yyt ...wazazi wangu ndo ndugu zangu...😭
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimejikuta nahuzunika, duh kwahiyo sipati mke 😢😢Oops 🥺🥺
Nimezaliwa peke angu...Sina ndugu yyt ...wazazi wangu ndo ndugu zangu...😭
Utapata ila sio kwenye familia yetu🥺Nimejikuta nahuzunika, duh kwahiyo sipati mke 😢😢
😭😭😭 Tatizo wote nakuta used, nikikosa nabaki single tu mpaka mnanizikaUtapata ila sio kwenye familia yetu🥺
Kwa kweli kupata sealed karne hii ni nadra sana....😭😭😭 Tatizo wote nakuta used, nikikosa nabaki single tu mpaka mnanizika
😏😏Used siwezi kuoa kamwe, nimepata kademu used sikai na amani iwe ndio kuoa!Kwa kweli kupata sealed karne hii ni nadra sana....
Itabidi uoe used...sa utafanyaje..?si mna watumia ninyi...
Mm Ilivyokutwa sealed it was June kaa sikosea...basi bana jamaa alikopa kopa anakokokujua barua hiyoo...😅 Kukaa kidogo mahali hiyoo...7M yani kabala ya July.haijesha ndoa Ilikuwa tayari😏😏Used siwezi kuoa kamwe, nimepata kademu used sikai na amani iwe ndio kuoa!
Wow basi wewe ni chombo haswa! Ila nikuulize ulikua sealed ni kwamba hujawahi kutongozwa ama ulimpenda sana kiasi kwamba ukampa kabla ya ndoa maana it was riskyMm Ilivyokutwa sealed it was June kaa sikosea...basi bana jamaa alikopa kopa anakokokujua barua hiyoo...😅 Kukaa kidogo mahali hiyoo...7M yani kabala ya July.haijesha ndoa Ilikuwa tayari
Saivi ndo ana clear madeni😅
😀 😀 😀Unakuta akiwa ni mchumba anapiga night dress kali na kabikini, akishapata ndoa analala na t-shirt ya CWT.
Huyu mwalimu huyuUnakuta akiwa ni mchumba anapiga night dress kali na kabikini, akishapata ndoa analala na t-shirt ya CWT.
😁😁Huyu mwalimu huyu
Umejuaje kuwa kila siku anakula chakula cha housegirl dadaJaman, baadhi ya wanawake walioolewa wanajisahau sana. Unakuta mchafu, ananuka jasho, haogi kwa wakati, hata kufua kwake ni mtihani. Kuna hawa wake za watu walioajiriwa, jamani, hata kama mmeajiriwa, jitahidini kuwajali waume zenu. Wanatoka home rafu sana. Kuna mkaka namjua ameoa, na ndoa yake ya miaka mingi sana, mkewe ameajiriwa. Jamani, huyo baba anaenda kazini, nguo zimejikunja. Nguo zake ni nzuri, lakini hayupo smart. Unakuta shati zimejikunja, kavaa tu, hata hajali. Viatu vimejaa vumbi.
Jamani, mlioolewa, jitahidini kuwajali waume zenu hata kama mmeajiriwa. Wawekeni smart waume zenu, jamani. Inasikitisha sana. Huyo baba akipata michepuko msafi, akamfulia, akampa mapenzi moto, akampikia chakula kizuri, atahamia huko huko. Maana kila siku yeye ni kula chakula cha house girl, nguo anavaa hazilowekwi, kama zimetafunwa. Jamani, sijui kwanini watu wakiolewa wanajisahau. Wajali waume zenu, jamani.
Sasa huyo baba kwa jinsi anavyoishi, utasema hana mke. Ni huruma, kwa kweli. Embu wajali waume zenu waonekane smart. Mtu kaoa lakini mke hata kumuandalia nguo hapana, kumsafishia viatu mke hatimizi majukumu yake kama mke. Inasikitisha. Kuna mwingine yeye ni kulala tu, hana kazi ni mama wa nyumbani, lakini hata kufua nguo za wanae ni mtihani. Nyumba nzima inanuka mikojo na mavi ya watoto. Nepi za mavi anarundika siku mbili, nyumba inanuka uozo, na ni mke wa mtu. Ni mchafu sana. Wanaume wanavumilia mengi, jamani, yaani wanaume wanavumilia jamani hawasemi tu. Jamani, jamani, wake za watu ni wachafu sana, asilimia kubwa wanajisahau, wanabweteka. Hata kujiweka smart hawawezi. Yaani ni huzuni. Poleni sana wale wote mliooa wanawake wavivu.
Si ungesema tu unatafuta mwanaume Kuliko kuanza kuwaongelea vibaya wake za watuKaribu tuyajenge mi nipo tayar kutimiza majukumu yangu kama mke Sitak mume Wangi awe rafu kama ao waliooa lkn wake zao awawajali kw lolote
Mmh 7M yote hiyo kwa mtu asiye na experience?aaah mmempiga baba wa watuMm Ilivyokutwa sealed it was June kaa sikosea...basi bana jamaa alikopa kopa anakokokujua barua hiyoo...😅 Kukaa kidogo mahali hiyoo...7M yani kabala ya July.haijesha ndoa Ilikuwa tayari
Saivi ndo ana clear madeni😅
Yeah na nilikuwa nimemwambia 10m...aka bagein...Mmh 7M yote hiyo kwa mtu asiye na experience?aaah mmempiga baba wa watu