TASK FORCE
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 2,465
- 3,459
Wewe na Huyo dikteta kichaa wote Ni majingaNinyi ndiyo inabidi mfe pimbi kabisa, mnatuletea ngojera za wazungu. Mliambiwa very simple, tuonesheni utabibu wa hiyo chanjo, toeni elimu, nyie mlivyo wajinga mnaibuka tu na korona huku mmepewa hela ili muue watu. Tunamshukuru Mungu Dkt Magufuli kaacha wosia mzuri, "Machanjo hayafai"
Nyang'au mkubwaWewe na Huyo dikteta kichaa wote Ni majinga
kwahiyo unakiri mwendazake alikuwa ana ushawishi mkubwa sana kwny jamii hii.Mkuu, Meko I mean Yesu wa Chato alifanikiwa sana kuvuruga mind za watu kwamba chanjo ni mbaya na zinaletwa kutumaliza.
Hii imeleta madhara makubwa na ndio huu mtanziko wote unaotokea hivi sasa.
Uzuri corona aliyokuwa anaidharau ndio ikamfyeka.
Wenye akili tukachanjwe.
Gwajima achomwe moto ,yeye ndio chanzo kikubwa cha upotoshaji unaondelea aiseeHakika Mzee wetu Lowassa alikua sahihi sana kisema kipaumbele chake ni ELIMU, ELIMU, ELIMU
Rais Samia unakazi sana kuongoza vichwa vya namna hii.
Mtu unamuuliza nipe sababu za kukataa chanjo anakwambia mbona chanjo ya malaria na UKIMWI wazungu bado hawajaigundua, hivi hizi ni akili za kawaida kweli au kuna tatizo?
Maana kama ni ujinga basi Taifa hili ujinga ni wa hali ya juu sana, Serikali naomba iwekeze zaidi kwenye elimu,
Hivi kipindi ebora Imepamba moto Congo, chanjo yake siilitengenezwa faster, chanjo siilileta majibu chanya mpaka sasa hakuna Ebora, Waliochanjwa Ebora mlisikia wamekuabmazombi? Alietemgeneza chanjo ya Ebora ni nani? si mzungu huyohuyo?
Unaacha kuamini wataalamu wa Afya ambao tangu umezaliwa unatibiwa kwa dawa zao unaenda kumuamini Askofu Rashidi ambae hajui hata Paracentamol inatengenezwaje?
Kazi ipo!
Wenye akili ya kuona yajayo mbeleni ngoja tukachanjwe.
Over!
Ww haujui usemalo! Research ya kujua usalama wa dawa au chanjo unachukuaa muda mrefu kwa sababu zifuatazo:Research afanye nani? kabla ya chanjo kuruhusiwa kutumika Researh tayari, huyo kibwetele atafute vibwetele wenzake wakafanye research wao waje na majibu kua haifai
Umechanja lakini??nyie watoto wa kinjekitile si mnakataa chanjo eti ni mpango wa wazungu kuwapunguza?
kweli watu mnamatope kichwani
Mkuu waTZ ujinga upo kwenye damu hata wakisoma haileti mabadiliko makubwa, turudi mwaka mmoja nyuma tuwasikilize Prof Kabudi, Hamisi Kigwangalla, Dr. Dorothy Gwajima, hayati Magufuli, nkHakika Mzee wetu Lowassa alikua sahihi sana kisema kipaumbele chake ni ELIMU, ELIMU, ELIMU
Rais Samia unakazi sana kuongoza vichwa vya namna hii.
Mtu unamuuliza nipe sababu za kukataa chanjo anakwambia mbona chanjo ya malaria na UKIMWI wazungu bado hawajaigundua, hivi hizi ni akili za kawaida kweli au kuna tatizo?
Maana kama ni ujinga basi Taifa hili ujinga ni wa hali ya juu sana, Serikali naomba iwekeze zaidi kwenye elimu,
Hivi kipindi ebora Imepamba moto Congo, chanjo yake siilitengenezwa faster, chanjo siilileta majibu chanya mpaka sasa hakuna Ebora, Waliochanjwa Ebora mlisikia wamekuabmazombi? Alietemgeneza chanjo ya Ebora ni nani? si mzungu huyohuyo?
Unaacha kuamini wataalamu wa Afya ambao tangu umezaliwa unatibiwa kwa dawa zao unaenda kumuamini Askofu Rashidi ambae hajui hata Paracentamol inatengenezwaje?
Kazi ipo!
Wenye akili ya kuona yajayo mbeleni ngoja tukachanjwe.
Over!
[emoji120][emoji120][emoji120]Serikali isipokua makini na wasomi wapumbavu wanaoneza ujinga kwa wananchi wetu maskini wasiojua dunia jinsi inavoendelea, taifa litaangamia.
Ujinga kama huu nchini Nigeria zidi ya chanjo ya POLIO ulienezwa na MASHEIKH wenye msimamo mkali, kwa kuwaabia wananchi kuwa chanjo ya POLIO ni mpango wa nchi za magharibi kuzibiti waafrika na waislamu wasizaliane, matokeo yake watoto wengi wamekufa kwa POLIO na wengine wakapooza kwa kukosa chanjoya POLIO.
Wewe ni kichaa kama baba yako mwendazake alivyokuwa kichaa. Mawazo ya vichaa yanafanana. Wote wanapinga chanjo ilijali wanatembea nazo kwenye miili yao tangu wakiwa watoto.qWewe ngedele kabisa, hivi tangu lini ugonjwa wa mafua ukaangamiza mwaafrika, usiwe lijinga la kukaririshwa eti mafua yatatuangamiza, kwa akili zako za kijinga unataka ufungiwe kama Kenya? Huu ugonjwa ni wa kuishi nao kama magonjwa mengine, tunachokataa sisi ni kutiana hofu za kijinga kijinga kama vile eti huu ugonjwa umekuja 2021 au baada ya Dkt Magufuli kufariki. Ni wapumbavu na wajinga ndiyo mnataka kuharibu kwa kuamini kuwa Dkt Magufuli alikuwa muongo wakati alipotutia moyo na kutufanya tujiamini na kuhimiza tule na kufanya mazoezi na ninyi mlikubaliana naye, ila sasa hayupo mnamgeuka kenge nyie
Unapomuita kipanga Hon. Dr. J P M kichaa, hapo hatuhitaji mbobezi kumjua kichaa halisi ni yupi!Next time wafanyie kazi mawazo ya Antony Diallo.
Japo CCM kuna unafiki wa hali ya juu ila ni likely vichaa walijipenyeza kipindi cha nyuma na kugombea uongozi na wakapewa dhamana hiyo !
Ni muda sasa tuangalie tulijikwaa wapi tusirudie tena makosa! 100% mawazo hayo ya kupinga chanjo yalitoka kwa kichaa baada ya kushauriana na vichaa wenzie
Kwa hiyo huyo muuwaji mwenzio atafufuka kuja kugombea?Subirini 2025 mtuone majibu yetu, maana mnashupaza shingo. Nadhani salamu mlizipata wakati wa kuaga.
Tuhakikishie kuwa Mabeyo hakuchomwa maji?
Utofauti ni kwamba athari za maambukizi ikiwemo kufa ni kubwa kwa asiyechanja kulinganisha na aliyechanja.Aliyechanja ameongezewa resistance against virus.Ikiwa nikichanja bado kuna uwezekano wa kuambukizwa korona au kufa kwa korona, je chanjo ina msaada gani? Nini tofauti kati ya mtu aliyechanjwa na mtu asiyochanjwa ikiwa wote tuna uwezo wa kuambukiza, kuambukizwa au kufa kwa korona?
Unayesema alichomwa maji ndo inabidi uthibitisheTuhakikishie kuwa Mabeyo hakuchomwa maji?
Ndivyo ulivyokaririshwa hivyo! Unaithibitishaje hiyo wakati waliochanjwa na wasiochanjwa wanakufa kwa rate inayofanana!Utofauti ni kwamba athari za maambukizi ikiwemo kufa ni kubwa kwa asiyechanja kulinganisha na aliyechanja.Aliyechanja ameongezewa resistance against virus.
Niliona sindano ilikuwa ina majimaji ilivyobonyezwa.Nihakikishie yale maji ni dawa na yalipimwa na kifaa gani nielewa kuwa siyo maji?Tuhakikishie alichomwa maji
Macho yangu yaliona majimaji yakisukumwa na bomba la sindano kwenye bega.Unayesema alichomwa maji ndo inabidi uthibitishe